MWENYE HEKIMA
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 373
- 230
hahahhaha hatariiiiiiiKudadadeki [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhaha hatariiiiiiiKudadadeki [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Leo napenda kutoa ushauri kwa wadogo zangu na hata pia watu wazima wenzangu ambao mnatabia ya ajabu ya kujichua.
Kwa wewe ambao unaendeleza huu ujinga nakusihi acha mara moja usije ukawaacha ndugu zako wakiwa wapweke kwa kifo cha kujitakia.
Utafiti unaonesha kuwa upigaji wa punyeto husababisha mwili kukosa nguvu mwisho wa siku mpigaji atakuwa mchovu mchovu na mtu anayependa kulala muda wote. Na kama inavyojulikana kulala lala hovyo husababisha ugonjwa wa kiharusi utakao pelekea kifo.
Pia upigaji wa punyeto husababisha kansa ya ubongo ambayo nayo pia itapelekea kifo. Vile vile upigaji wa puli husababisha magonjwa ya moyo.
Alafu kama tunavyojua Y chromosome ina low life expectancy kuliko X chromosome alafu bado mnaendeleza ujinga ujinga.
Pia napenda kukosoa baadhi ya watu wazima humu kwa tabia yao ya kuwapotosha wadogo zetu na kuwaambia eti puli haina effect yoyote na kuipa sifa kedekede.
NB: Huu ni ushauri tu ukiweza uchukue kama hauna maana yoyote kwako pia nayo iko poa maana imeandikwa Asiye sikia la mkuu huvunjika guu.
Wew jamaaa sio mtu mzuri Hata kidogoUkithubutu kuacha punyeto ndo umekwisha kabisa.
Sema wewe kiongozi
Hili tatizo Ni kubwa Sana.ila Kuna siri kubwa ndani yake wengi husema Leo nafanya Mara ya mwisho lkn baada ya siku kadhaa hurudia.kitu cha kushangaza zaidi hujiuliza maswali Na kujipa matumaini kwa majibu mepesiiiii
Mkuu ulitumia njia gani kurudi kwenye Hali ya Kawaida??Nilishawahi kupatwa na janga kama hili! Sina hamu na punyeto! Vijana wengi wameathirika na punyeto, vijana wengi wameishiwa nguvu za kiume kwasababu ya punyeto! Nashudia punyeto ina addiction kama madawa ya kulevya, kuacha ni tabu! Mtu ukimaliza unajichukia kabisa na kujiona ni mwenye hatia lkn kesho unarudia tena!! What is this?? Devil at work!!.
Baada ya kuhangaika sana kuacha hiki kitendo na kurudia tena na tena, siku moja ilibidi nilie kwa Mwenyezi MUNGU aniokoe na balaa hili maana najaribu nashindwa! Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa dhati kabisa aliivunja ile cycle ya kurudia kutamani tendo lile hadi numeacha na nimepona. It has taken years to get full recovery! Safari ni ngumu maana kumridhisha mke huwezi hata! Unaweza lia kitandani. Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kunijaalia mke mvumilivu hadi sasa nipo normal. Saivi kitanda changu na mke wangu ni kizuri na kina furaha sana. Kwakweli punyeto haifai. Kwa mwanamke mpiga punyeto ni ngumu sana sana kuridhishwa kitandani, kuoa mke wa aina hii ni janga maana kila siku atakusingizia humfikishi kumbe tatizo lipo kwake viungo vyake na hisia zake zimeuawa kwa punyeto.
Hayo sio madhara ni faidaMkuu hiyo issue ina athir saikolijia.. itafikia hatua hauta shiba papuchi hadi umalizie na punyeto au hata ku prefer punyeto over papuchi halisi..
Ikizidi inafika hatua hupati muhemko kutokana na mwanamke
waelezee ni njia gani hizo zitahusika kuondoa genyeAngalizo: wakati unaacha kujichua make sure una njia mbadala ya kupunguza na kuondoa nyege