Nimependa avatar yako unajua kuchagua picha nzuri yenye ujumbe mwanana.
 
Sijui umekula maharage ya wapi wewe, huna udaktari wowote, kufa mwenyewe huko
 
Hili tatizo Ni kubwa Sana.ila Kuna siri kubwa ndani yake wengi husema Leo nafanya Mara ya mwisho lkn baada ya siku kadhaa hurudia.kitu cha kushangaza zaidi hujiuliza maswali Na kujipa matumaini kwa majibu mepesiiiii

Sunah mkuu!! Siku moja moja sio haba
 
Mkuu ulitumia njia gani kurudi kwenye Hali ya Kawaida??
 
Habari ya wakati huu wakuu.

Kuna huu uzushi umekua ukienezwa humu na watu kuwa punyeto inasababisha madhara makubwa na kupelekea kupungua kwa nguvu za kiume. Watafiti hao ambao hawasemi utafiti huo wameufanya wapi kuhusisha upungufu wa nguvu za kiume na punyeto hudai kuwa tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume hutokana na madhara ya kupiga punyeto.

Huu uzushi ulianzishwa na wale wanaojiita madaktari wa tiba mbadala kina mwaka na naona siku zinavyozidi kwenda unapata nguvu na tukiuacha hivi mwishowe utaonekana kana kwamba ndio ukweli wenyewe.

Naomba tu kusema kua huo ni uzushi na uongo ulioanzishwa na madaktari na watafiti feki. Punyeto haina mahusiano na upungufu wa nguvu za kiume. Hakuna utafiti wa kisayansi unaosema hivyo, vijana pigeni punyeto kwa raha zenu.
 
Mkuu hiyo issue ina athir saikolijia.. itafikia hatua hauta shiba papuchi hadi umalizie na punyeto au hata ku prefer punyeto over papuchi halisi..

Ikizidi inafika hatua hupati muhemko kutokana na mwanamke
 
Mkuu hiyo issue ina athir saikolijia.. itafikia hatua hauta shiba papuchi hadi umalizie na punyeto au hata ku prefer punyeto over papuchi halisi..

Ikizidi inafika hatua hupati muhemko kutokana na mwanamke
Hayo sio madhara ni faida
 
Ahsante mleta uzi mi nashangaa sana na huu uzushi sisi tuliosoma boarding school ndio tunaojua nakumbuka ilifika kipindi cha mitihani kila baaada ya kumaliza mtihani wa somo tunaingia chooni ku refresh atulali bila kupiga nyeto....
Nilipokuwa chuo tulikuwa tunakesha kuangalia porn movies room mtu akizidiwa anakimbilia chooni alaf anakuja kuendelea na libeneke kiasi kwamba kwa usiku mmoja mtu anaweza kupiga goli hata tano kwa kujichua yaani ilikua too much lkn watu tupo vizuri hakuna anaelalamika mpaka leo na wengine wameoa na wamezalisha....na mi nikimkamata Dem bila Goli 5 na kuendelea sijaridhika na Nyeto naendeleza km kawa...
Chaputa never die walaaniwe wanaoimention km chanzo cha upungufu wa nguvu za KIUME
Upungufu wa nguvu za kiume ni matatizo ya kimaumbile full stop
 
mimi huwa nawasikiliza tu halafu naachana nao,kichwan najiuliza sana hivi hawa wanaongelea nguvu za kiume zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…