Punyeto teh teh teh teh 😀😀 umenikamata Ndipo.... Labda Mtu aniroge Ndiyo Niache..
 
Habari wana jamiiform
Mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa ila naomba msaada wenu mimi ni kijana wa miaka 22 nimeathiriwa na punyeto sana kwani nilianza kupiga punyeto nikiwa na miaka 15 mpaka juzi tu kama miezi miwili iliyopita ndio nimeacha

Nimeacha baada ya kushindwa kabisa kufanya mapenzi na msichana mara mbili kwani kabla sijaweka hata kitu kwenye k ninakuwa tayari nishamaliza na siwezi kusimamisha tena

Nikashauriwa nitumie erecto nikawa naweza kufanya lakini sasa hata erecto nikinywa kidonge kimoja hakifanyi kazi

Naombeni mnisaidie kwani sasa nahisi kuwa mimi sio mwanaume kama wengine naomba msaada wenu jamanii
 
Tumia mkongo mkuu wakati unasubiri kwenda hospital
 
Hiyo ndio laana ya kugeuza Kiganja cha Mkono kuwa Uchi

Pamoja na Mthani huo nakupongeza kwa ujasiri wa kuwa wazi wengine wakija humu wanakuja na story za uongo eti kuna Rafiki yangu anatatizo hilo badala ya kusema Direct kuwa wao ndio waathirika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…