CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
Duh alikuwa katika hali mbaya sanaHali yako ikoje kwa sasa mkuu, km ulipiga hadi goli hewa ww ulikua unaelekea kuwa hanithi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh alikuwa katika hali mbaya sanaHali yako ikoje kwa sasa mkuu, km ulipiga hadi goli hewa ww ulikua unaelekea kuwa hanithi kabisa
Duh! Majangayeah,mke akiwepo huwez nyetuka hata mim nilivyokuwa na mke cjawahi piga,so toka aondoke wa 9 katik mwaka huu nimeshapiga sana na mwez huu nataraji kwenda kwa wife.
Kuacha ni mchakato sio tukio la mara mojajamani hiii kitu ni ngumu sanaa huwa najitahdi kuacha lkni miezi kadhaa ikipita nashitukia hamu Tena daaa ni kazi
Sahihi kabisaKusali,sala na mazoezi ndio suluhisho la pekee.
Teh teh teh teh....Utamu wa puchu ni kwamba unampata demu yeyote duniani, ukimtaka miss Chaga unamgegeda chumbani kwako bila ya yy mwenyewe kujua, hata malkia Elizabeth una weza ukamgegeda tu bila ya kukuzungusha wala nn. Ila ukimfuata miss Chaga live atakwambia oh mi na mtu, ila ktk puchu hachomoi.
Nayo ni niia sahihi sanaYote katika yote ni Kumgeukia Mungu, ni dhambi kama ilivyo zingine, tubu, omba rehema na Mungu atakuwezesha.
"Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Wafilipi 4:13
Inaitwaje?Nasikia Kuna spray ya kusimamisha ****?
Hongera kwa maamuzi magum mkuuMi nshaacha puli huu mwezi wa sita sasa na sitamani kabisa
Tuendelee kuwajenga kisaikolojiaWapiga puli wanatia huruma kweli.
Ila msikate tamaa, #maishabilapuliyanawezekana#
HaswaaaPuchu tamu jamani ohooo;!!!
Duh! We mkali wa .....Mkuu hapa ninashushia na nyeto moja kabla sijakutana na wife
Ulifikia hali mbaya sanaAisee m pul ilinisumbua sana..ilifika kipindi nikawa napiga mara 3 kwa siku...ilifika kpind nikawa napiga goli hewa....noma sana
UmeelewekaMkuu me natoa ushuhuda kabisa nilikuwa napiga punyeto miaka kama mitano mfululizo na ikaniathiri Sana lakini nikapata kusoma sehemu kuhusu tiba na kumuomba Mungu sasa hv naendelea vizuri kabisa nakiwasha mpaka kukuche goli la kwanza namaliza kwa dakika 40.
Sasa chakufanya n hv chemsha tangawizi mbichi halafu iteguwe then changanya na asali vijiko viwili pamoja na habati sawda ya unga kijiko kimoja kwa siku mara mbili( asubuhi na jioni). Njia ya pili fanya hivi chukua tende kiasi changanya na habati sawda pamoja na karanga isage halafu uwe unakunywa asubuhi na jioni kwa muda wa mwezi mmoja. Halafu leta mrejesho uone mambo yanavyokuwa hii unapona kabisa tatizo hilo. Ila kikubwa usisahau kumuomba Mungu akisaidie na pia akusamehe.
NB: utuletee mrejesho hapa
Hongera yakoMi niko gudi saivi
Mtafute daktari aliokaribu nawe kwa msaada zaidi.Wakuu naombeni msaada wenu mm nilikuwa napiga sana masterbation au kujichua sasa misuli ya uume wangu umelegea sana na ombeni ushahuri kwa yoyote anaejua dawa ili nulejee kama awali
sawa nipe heading unayoona inafaa ili tuwafahamishe mods waturekebishieUmechanganya mada kibao badilisha heading basi ..maana yenyewe inaonyesha athari za punyeto tu..kumbe ndani kuna kuna kila kitu
hatari sana ndio maana mkuu amekosoa heading yake hapo juu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] msumari