Punyeto ni nini na nini madhara yake?
So ukitaka urudi kwenye ubora wako unatakiwa ufanyeje?
kwanza kuna zoez unatakiwa uwe unafanya linaitwa pelvic muscules floor exercise au kama hijakaa sawa ule matunnda karot mbili au tatu ndizi tatu na parachich pamoja na tikit tikit liwe orijinal sio haya ya kichina ya gmo yanaua kwa kansa ukitumia zoez hilo uume utakua imara
 
mke jasiri wewe ndo uzuri wa kuoa mke aliyeanza kwich kwich mapema maana kwa huo ujasiri hakukuta na Bk ila upo vizuri mpo wachache ndio maana kimbilio letu wanaume ni BIKRA TU ukioa aliyeanzishwa kukuvumilia kwa lolote ngumu bila hivyo ushindane kwenye vibanda vya supu ya pweza au Mundende ,vumbi la congo KUJIUMIZA KUSIKO NA MAANA

HONGERA ZAKO
vumbi la kongo linapatikana wapi jmn ni shida nalo sn
 
Pole sana kijana mwenzangu kwa hayo yote hupaswi kulaumia Maana hatujui kampuni yako ulikuwa ni watu wa aina gani pindi unapobalehe, fuata ushauri uliopewa hapo juu pia usisahau kusali ili hiyo roho ikutoke, ukweli ni kwamba huwezi kuacha punyeto kama hofu ya Mungu haiko ndani yako, Maana hiyo ni nguvu za kimapepo ndio Maana ukimaliza kile kitendo unajilaumu na kuahidi hautofanya tena Maana pindi unapomaliza lile Pepo linaondoka
 
Chukua a asali kikombe kimoja changanya tangawizi, mdalasini, pilipili, kijiko kimoja kwa vyote then kula kila siku kijiko kikubwa mara tatu kwa siku
 
Hongera sana mkuu kwa ushindi.Naomba udumu kwa Yesu ili usije ukarudia matapishi tena.Kwa Yesu kuna ushindi mkuu.Kama hujamkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako fanya hivyo,ni jioni mno,Yesu yuko karibu kurudi kulichukua kanisa.
Mkuu umesema kweli; Nilikuwa na tatizo kama hilo nikabahatika kupata ushauri nasaha kutoka kwa Mtumishi mmoja wa Mungu. Kwa kweli alinisaidia na kunijenga mno. Sasa tatizo limeisha kabisa. Kwa kweli huyo mtumishi wa Mungu yuko vizuri sana kwa ushauri. Natamani ungewasiliana naye ni kwa vile siwezi tu kuweka namba yake ya simu hapa. Ni-pm nikupe contact zake atakusaidia sana
Mkuu umesema kweli; Nilikuwa na tatizo kama hilo nikabahatika kupata ushauri nasaha kutoka kwa Mtumishi mmoja wa Mungu. Kwa kweli alinisaidia na kunijenga mno. Sasa tatizo limeisha kabisa. Kwa kweli huyo mtumishi wa Mungu yuko vizuri sana kwa ushauri. Natamani ungewasiliana naye ni kwa vile siwezi tu kuweka namba yake ya simu hapa. Ni-pm nikupe contact zake atakusaidia sana
 
Ila anaetaka kuacha kweli kweli haitaji kwenda kujichoresha kwa mtu anaejiita mshauri nasaha. Aache kimya kimya.
 
kwanza kuna zoez unatakiwa uwe unafanya linaitwa pelvic muscules floor exercise au kama hijakaa sawa ule matunnda karot mbili au tatu ndizi tatu na parachich pamoja na tikit tikit liwe orijinal sio haya ya kichina ya gmo yanaua kwa kansa ukitumia zoez hilo uume utakua imara

Ule matunda kila siku au kwa siku moja tu??

Na Ilo zoezi unalifanya Mara ngapi na kwa muda gani??
 
Narudia tena, Acha punyere kisha Anza mazoezi ya kegel na kukimbia, kunywa maji mengi, pumzika (usingizi) vya kutosha, acha vileo. Wk mbili za mwanzo utaona mabadiliko.
 
Habari wana JF,

Nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now. Niliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri hadi juzi kati tu nilipoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali sio shwari, uume wangu husimama legelege na nikitaka kuanza mchezo uume huzima kabisa.

Nashindwa kujua nifanye nini maana nimemaliza visingizio vyote kwa wasichana niliowahi kuwa nao.

Naombeni masaada wenu.
Punyeto haina effect yoyote kwenye erection.
Hiyo ni psychological kwamba unadhani Punyeto ndio imekusababishia!
Ila kwa kua umeamua kuacha, ni jambo jema!, ila kaa mbali na pono utarudia tena!
Zingatia ushauri uliopewa!
 
Habari wana JF,

Nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now. Niliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri hadi juzi kati tu nilipoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali sio shwari, uume wangu husimama legelege na nikitaka kuanza mchezo uume huzima kabisa.

Nashindwa kujua nifanye nini maana nimemaliza visingizio vyote kwa wasichana niliowahi kuwa nao.

Naombeni masaada wenu.
jibu la kweli ni kumpokea YESU KRISTO, Yaani kuokoka, na kuishi maisha matakatifu na kumwita roho mtakatifu akuongoze!
 
Ule matunda kila siku au kwa siku moja tu??

Na Ilo zoezi unalifanya Mara ngapi na kwa muda gani??
moja kwa siku zoez mara mbili kwa siku au tembea kwa dk 100 go and return jion kama wahind na wazungu wa posta
 
punyere linaleta msongo wa mawazo, unakuwa kama umetumbuliwa aisee
 
Back
Top Bottom