spea mkononi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 345
- 324
level ndo nnUko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
level ndo nnUko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yote
Mimi ninalo lingi Sana uko wapi nikuleteevumbi la kongo linapatikana wapi jmn ni shida nalo sn
hahaa pole sana ulikia kama mimi aisee nilimaliza visingizio vyote mara naumwa mara kuna mtu ananisema mara hii ishara ya jambo baya mbelen mawazo maden na nk ila sasa nipo fresh nina watoto wawili na nikipiga game shahawa kama bomba na uume ngangangaaa nilikula ndizi tatu karot tatu tikit kipande na parachichi kisha nikawa natembea dk 50 kwenda na dk 50 kurud mwwndo wa haraka kidogo bas siku ya kwanza tu asubuh kitu mnara ssa nimepona kila siki najiimarishaHabari wana JF,
Nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now. Niliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri hadi juzi kati tu nilipoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali sio shwari, uume wangu husimama legelege na nikitaka kuanza mchezo uume huzima kabisa.
Nashindwa kujua nifanye nini maana nimemaliza visingizio vyote kwa wasichana niliowahi kuwa nao.
Naombeni masaada wenu.
Hiyo asali ni ya nyuki wadogo au wakubwa....?Chukua a asali kikombe kimoja changanya tangawizi, mdalasini, pilipili, kijiko kimoja kwa vyote then kula kila siku kijiko kikubwa mara tatu kwa siku
Kengeli ndio nini??Uko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yote
Siungi mkono punyeto ila hapa hakuna uhalisia.Masturbation ina madhara ingawa yanaweza kuonekana kuwa sio ya kiafya. Ukiendekeza sana hutakuwa na hamu ya kukutana na mwanamke kabisa na hata ukikutana naye unakuwa na nguvu kidogo sana ya kujamiiana. Na ukimaliza hicho kimoja ndio mpaka wiki ipite. Na hata kama ukiacha hutakuwa na nguvu kwa muda mrefu kitu ambacho hakitakuletea furaha ya mapenzi na mwanamke. Ni vema kutofanya kabisa kama inawezekana.
Teh teh shetani akizeeka anakua malaikaHahahahaha acting as if you are innocent
KWA KWELI LITANGAZWE TU SASA!JANGA LA TAIFA HILI ILA LIMENYAMAZIWA TU.
Kweli inawezekana tuPUNYETO
PONOFRAPHY
NI VITU VIGUMU SANA KUVIACHA NI KWA NEEMA ZA MUNGU TU PEKEE