Punyeto ni nini na nini madhara yake?
vumbi la kongo linapatikana wapi jmn ni shida nalo sn
Mimi ninalo lingi Sana uko wapi nikuletee
5673a0bb2f9df601e47ff14c5b324773.jpg
 
Habari wana JF,

Nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now. Niliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri hadi juzi kati tu nilipoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali sio shwari, uume wangu husimama legelege na nikitaka kuanza mchezo uume huzima kabisa.

Nashindwa kujua nifanye nini maana nimemaliza visingizio vyote kwa wasichana niliowahi kuwa nao.

Naombeni masaada wenu.
hahaa pole sana ulikia kama mimi aisee nilimaliza visingizio vyote mara naumwa mara kuna mtu ananisema mara hii ishara ya jambo baya mbelen mawazo maden na nk ila sasa nipo fresh nina watoto wawili na nikipiga game shahawa kama bomba na uume ngangangaaa nilikula ndizi tatu karot tatu tikit kipande na parachichi kisha nikawa natembea dk 50 kwenda na dk 50 kurud mwwndo wa haraka kidogo bas siku ya kwanza tu asubuh kitu mnara ssa nimepona kila siki najiimarisha
 
kibaiolojia hauna tatizo kuwa na amani kabisa maisha yako yote na tena ikibidi endelea, ila tatizo kubwa lipo upande wa kisaikolojia ndipo kuna tatizo mtafute mtaalamu wa saikolojia .
 
Ipo dawa ya kuacha punyeto;ni mafuta maalumu unakunywa kijiko kimoja usiku,pia unajipaka kichwani
 
Masturbation ina madhara ingawa yanaweza kuonekana kuwa sio ya kiafya. Ukiendekeza sana hutakuwa na hamu ya kukutana na mwanamke kabisa na hata ukikutana naye unakuwa na nguvu kidogo sana ya kujamiiana. Na ukimaliza hicho kimoja ndio mpaka wiki ipite. Na hata kama ukiacha hutakuwa na nguvu kwa muda mrefu kitu ambacho hakitakuletea furaha ya mapenzi na mwanamke. Ni vema kutofanya kabisa kama inawezekana.
Siungi mkono punyeto ila hapa hakuna uhalisia.
 
Back
Top Bottom