Hivi naomba ufafanuzi kuhusu hiyo kegel maana sielewiKegel exercises pia husaidia iyk kitu
Aya ni mazoes mazuri sana ambayo husaidia kukaza misuri ya uume iliyo legea na uume ambao unawahi kufika kileleni na mengine pia husaidia kwa wanawake wenye uchi mkubwa kuubana ili uwe mdogo na kupunguza majimaji mengi ukeni so kuna mazoezi mengi tuHivi naomba ufafanuzi kuhusu hiyo kegel maana sielewi
khaaa atumie mkono tena[emoji12]Tumia mkongo mkuu wakati unasubiri kwenda hospital
hii Kali asubiri wapiga punyeto kutoka wapi tena![emoji12] [emoji12]Haya subiri wapiga punyeto wanakuja kukusaidia mkuu..!
but, karibu JF
Ulianza ukiwa na miaka mingapi?habari wana jamiiform mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa ila naomba msaada wenu mimi ni kijana wa miaka 22 nimeathiriwa na punyeto sana kwani nilianza kupiga punyeto nikiwa na miaka 15 mpaka juzi tu kama miezi miwili iliyopita ndio nimeacha nimeacha baada ya kushindwa kabisa kufanya mapenzi na msichana mara mbili kwani kabla sijaweka hata kitu kwenye k ninakuwa tayari nishamaliza na siwezi kusimamisha tena nikashauriwa nitumie erecto nikawa naweza kufanya lakini sasa hata erecto nikinywa kidonge kimoja hakifanyi kaxi naombeni mnisaidie kwani sasa naisi kuwa mimi sio mwanaume kama wengine naomba msaada wenu jamanii
Dah... 10mls x 2times x 365days x 7yrs = 51,100mls ambayo ni sawa na Lita 51.....yaani ndoo 2 na nusu za "cream".....kwanini usigombee urais wa CHAWAPUTA? [emoji13] [emoji13]mara mbili kwa siku mkuu
Umetisha mkuuuDah... 10mls x 2times x 365days x 7yrs = 51,100mls ambayo ni sawa na Lita 51.....yaani ndoo 2 na nusu za "cream".....kwanini usigombee urais wa CHAWAPUTA? [emoji13] [emoji13]
Hapana punyeto mbaya sana mkubwa inaharibu mbaya mbovuPunyeto haifanyi uume kushindwa kusimama, utakua una matatizo ya saikolojia... Wewe miaka 7 tu, kuna wengine wana miaka zaidi ya 15 kwenye fani na bado wanagegeda vizuri tuu....
Ilo ni jina mzungu alie anzisha ayo mazoezi ya kegelKegel ni nini? Pia ni neno la kingereza au kiswahili?
Hii ndio nini?Kegel exercises pia husaidia iyk kitu
Soma comment za nyuma tayari imeshaelezwa ila ingia youtube utaona video za kegelHii ndio nini?