Mim kuanzia mwaka 1992 nagegeda kiganja changu,Sina tatizo lolote na bado kazi inafanyika kote kote yaanPunyeto haifanyi uume kushindwa kusimama, utakua una matatizo ya saikolojia... Wewe miaka 7 tu, kuna wengine wana miaka zaidi ya 15 kwenye fani na bado wanagegeda vizuri tuu....
Ahsante sana mkuu, ngoja nifanye kama ulivyonielekezaAya ni mazoes mazuri sana ambayo husaidia kukaza misuri ya uume iliyo legea na uume ambao unawahi kufika kileleni na mengine pia husaidia kwa wanawake wenye uchi mkubwa kuubana ili uwe mdogo na kupunguza majimaji mengi ukeni so kuna mazoezi mengi tu
Kwa msaada zaidi ingia youtube search kegel exercise for hapk andika jinsia yako itakuonesha kila kitu na inavyo fanya kazi
inaonekana aliji over doze Mkuu aya mambo kama ungaMim kuanzia mwaka 1992 nagegeda kiganja changu,Sina tatizo lolote na bado kazi inafanyika kote kote yaan
kiganja na home kama Bahar imechafuka.Sasa wewe 7yr tu tatizo??
Simamia lishe kunywa juice yenye mchanganyiko wa embe, parachichi,nanasi,tikiti na tangawizi. Kunywa asubuh na jioni. Pili piga zoezi kwa miezi 2 usiache urudishe body na pumzi. Usifikirie mademu sana. Kuwa bize na masuala ya msingi.habari wana jamiiform mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa ila naomba msaada wenu mimi ni kijana wa miaka 22 nimeathiriwa na punyeto sana kwani nilianza kupiga punyeto nikiwa na miaka 15 mpaka juzi tu kama miezi miwili iliyopita ndio nimeacha nimeacha baada ya kushindwa kabisa kufanya mapenzi na msichana mara mbili kwani kabla sijaweka hata kitu kwenye k ninakuwa tayari nishamaliza na siwezi kusimamisha tena nikashauriwa nitumie erecto nikawa naweza kufanya lakini sasa hata erecto nikinywa kidonge kimoja hakifanyi kaxi naombeni mnisaidie kwani sasa naisi kuwa mimi sio mwanaume kama wengine naomba msaada wenu jamanii
Punyeto haifanyi uume kushindwa kusimama, utakua una matatizo ya saikolojia... Wewe miaka 7 tu, kuna wengine wana miaka zaidi ya 15 kwenye fani na bado wanagegeda vizuri tuu....
anaweza chukulia masihara ila uliloliandika ni ukweli mtupu yani tiba pamoja na mazoezi kwa ujumla ni lazima ichukue kipindi ndo awe sawaHiyo itakuchukua muda kam miaka 3 ivi kua mvumilivu
Hapo sahh.Alikuwa anapiga kutwa mara mbili,huyu ni faru John!!inaonekana aliji over doze Mkuu aya mambo kama unga
Punyeto haifanyi uume kushindwa kusimama, utakua una matatizo ya saikolojia... Wewe miaka 7 tu, kuna wengine wana miaka zaidi ya 15 kwenye fani na bado wanagegeda vizuri tuu....
ha ha ha ha ha ha ha ha[emoji23]Haya subiri wapiga punyeto wanakuja kukusaidia mkuu..!
but, karibu JF
Mkuu Rohombaya naomba msaaada wa hesabu hapa tujue huyu jamaa ana mapipa mangapiii.Mim kuanzia mwaka 1992 nagegeda kiganja changu,Sina tatizo lolote na bado kazi inafanyika kote kote yaan
kiganja na home kama Bahar imechafuka.Sasa wewe 7yr tu tatizo??
Umemshauri vizuriKegel exercises pia husaidia iyk kitu
Endelea kujivika manyota kuwa wewe ni mkali wa nyeto sawa General, athari zake ni long term range ipo siku utaona tu gari haliwaki halafu ndiyo upo kwenye ndoa, punyeto ni ya kuacha na kukemea vikali kuipinga sio kitu cha kukenulia menoMim kuanzia mwaka 1992 nagegeda kiganja changu,Sina tatizo lolote na bado kazi inafanyika kote kote yaan
kiganja na home kama Bahar imechafuka.Sasa wewe 7yr tu tatizo??
Gari hisiwake tu kwan kitu gani kitan- cost! Kama watoto ninao wakutosha,Nitashangaa nin hapa duniani.Endelea kujivika manyota kuwa wewe ni mkali wa nyeto sawa General, athari zake ni long term range ipo siku utaona tu gari haliwaki halafu ndiyo upo kwenye ndoa, punyeto ni ya kuacha na kukemea vikali kuipinga sio kitu cha kukenulia meno
Umeshawahi kupiga nyeto..!??Hapana punyeto mbaya sana mkubwa inaharibu mbaya mbovu
Huyu anataka kuifanya nyeto ionekane mbaya...Mim kuanzia mwaka 1992 nagegeda kiganja changu,Sina tatizo lolote na bado kazi inafanyika kote kote yaan
kiganja na home kama Bahar imechafuka.Sasa wewe 7yr tu tatizo??
Mkuu mimi naongelea uzoefu... Nakaribia kufikisha miaka 13 kwenye gemu... Na sijaona tatizo lolote...Kuna upotoshaji sana kwenye mitandao ya kijamii kila mtu atajifanya doctor, hapo kwenye red huo ni upotoshaji, punyeto kwa kiwango kikubwa huathiri sana kusimama kwa uume, wakati wa kufanya nyeto kiganya kinavyosugua uume hasa ukiwa unafanya mara kwa mara upelekea misuri ya uume kushindwa kuwa na nguvu na kudhoofisha kufanya kazi yake,
Pia ina athari kwenye uwezo wa brain to memorise and to work properly , kwa maana unauchocha ubongo kufikiria kile unachokiwaza ili ukojoe, sasa wakati unavutia picha ili ukojoe pale unaufanyisha brain kazi kubwa sana,