Nakushauri kuwa wazi kwa mwenza wako ili akusaidie ktk muda ambao hautakuwa na nguvu.
Jitahidi kuondoa mawazo ya kuwa na tatizo na ujiamini kuwa tunaweza.
Acha kabisa matumizi ya madawa kwa kuwa yanakupunguzia uwezo wa kujiamini na yatakuongezea tatizo la maradhi ya moyo na figo.
Kula ndizi mbivu zisizipungua 5 kila siku.
Tumia tende japo tunda 3 hadi 10 kwa siku na jipe muda wa mazoezi na mapumziko.
Pole na jiamini utarudi ktk halo yako ya kawaida.
Tafuta nyanya chungu za asili(sio zile nyeupe).Chemsha na upate juisi yake japo kwa siku 14 kila siku jioni.
Usirudie kufanya tena tendo hill.
Jitahidi kuondoa mawazo ya kuwa na tatizo na ujiamini kuwa tunaweza.
Acha kabisa matumizi ya madawa kwa kuwa yanakupunguzia uwezo wa kujiamini na yatakuongezea tatizo la maradhi ya moyo na figo.
Kula ndizi mbivu zisizipungua 5 kila siku.
Tumia tende japo tunda 3 hadi 10 kwa siku na jipe muda wa mazoezi na mapumziko.
Pole na jiamini utarudi ktk halo yako ya kawaida.
Tafuta nyanya chungu za asili(sio zile nyeupe).Chemsha na upate juisi yake japo kwa siku 14 kila siku jioni.
Usirudie kufanya tena tendo hill.