wakuu kegel ni kitu gani..?Kegel exercises pia husaidia iyk kitu
Utaliona tu we subirMkuu mimi naongelea uzoefu... Nakaribia kufikisha miaka 13 kwenye gemu... Na sijaona tatizo lolote...
Aiseeeeee.......yaaani we jamaaa ungekuwa karibu ningekuagiza uende dukani kwa Mangi ukaagize chochote unachotaka bili ntalipa........yaani umeongea kitu sahihi kupita maelezo.........umefafanua vizuri........huyu bwana mdogo anahisi au anaamini kuwa hali aliyonayo sasa ni matokeo ya matatizo ya kimaumbile kumbe ni ndani ya ubongo ama fikra zake.......Kuna mwanamke au wanawake huwa anafanya nao katika hisia......na hao humpa speed ya kumaliza haraka.......kinga itabidi ni kuwa aache kuilisha akili yake mawazo na taswira za ngono za wanawake ambao hakutani nao kimwili live.......SEX is in your MIND,
you erect your penis by usimg imagination of a DISTANT , WOMAN
Dont ler your mind to believe that situation.
WEWE NI MZIMA HUNA TATIZO
Tatizo linalikusumbuà wew ni uwoga sasa fanya hiv kama mashine ikilala mwambie dem wako aishike shike itasima tenahabari wana jamiiform mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa ila naomba msaada wenu mimi ni kijana wa miaka 22 nimeathiriwa na punyeto sana kwani nilianza kupiga punyeto nikiwa na miaka 15 mpaka juzi tu kama miezi miwili iliyopita ndio nimeacha nimeacha baada ya kushindwa kabisa kufanya mapenzi na msichana mara mbili kwani kabla sijaweka hata kitu kwenye k ninakuwa tayari nishamaliza na siwezi kusimamisha tena nikashauriwa nitumie erecto nikawa naweza kufanya lakini sasa hata erecto nikinywa kidonge kimoja hakifanyi kaxi naombeni mnisaidie kwani sasa naisi kuwa mimi sio mwanaume kama wengine naomba msaada wenu jamanii
Mkuu tupo pamojaAiseeeeee.......yaaani we jamaaa ungekuwa karibu ningekuagiza uende dukani kwa Mangi ukaagize chochote unachotaka bili ntalipa........yaani umeongea kitu sahihi kupita maelezo.........umefafanua vizuri........huyu bwana mdogo anahisi au anaamini kuwa hali aliyonayo sasa ni matokeo ya matatizo ya kimaumbile kumbe ni ndani ya ubongo ama fikra zake.......Kuna mwanamke au wanawake huwa anafanya nao katika hisia......na hao humpa speed ya kumaliza haraka.......kinga itabidi ni kuwa aache kuilisha akili yake mawazo na taswira za ngono za wanawake ambao hakutani nao kimwili live.......
Mimi nlipiga hiyo ktu miaka 12, I mean tangu 2004 hadi 2016 October nlipooa, still nauwezo wa kupiga bao 6 kwa night 1,Hiyo ndio laana ya kugeuza Kiganja cha Mkono kuwa Uchi
Pamoja na Mthani huo nakupongeza kwa ujasiri wa kuwa wazi wengine wakija humu wanakuja na story za uongo eti kuna Rafiki yangu anatatizo hilo badala ya kusema Direct kuwa wao ndio waathirika!
Kweli aisee, mi nimepga miaka 12Punyeto haifanyi uume kushindwa kusimama, utakua una matatizo ya saikolojia... Wewe miaka 7 tu, kuna wengine wana miaka zaidi ya 15 kwenye fani na bado wanagegeda vizuri tuu....
Tangawizi unaifanyajeAisee, pole sana. Tumia tangawizi,fanya mazoezi kama miezi miwili hivi.
Mimi nimeanza kupiga punyeto namiaka 15 sasa nina 28. Nimekuwa addicted na punyeto kiasi kuwa sioni raha ya mwanamke kivile. Kwa sasa kila siku lazima nipige ndyo nilale. Ila nina stail yangu mjarabu ya kupigia nyeto.
Mi nachoshangaaa nyeto inafanya nikikutana na mwanamke nachelewa sana kukojoa. Na hata nikikojoa mkulu halali. Hulala baada ya mabao matatu nakuendelea.
Side effect nyingine. Nyeto inanifanya nimchoke mwanamke mapma sana.