Hiyo itakuchukua muda kam miaka 3 ivi kua mvumilivu
Mimi ilinighalimu mwaka mmoja tu mkuu. Ila nilikuw najaribu hata kama nitafedheheka baadae mambo yamekaa poa hadi nikaanza kuwarudia wale ambao mara ya kwanza nilishindw game inakwenda vzr sana
 
TAMKO RASMI

Chama Cha Wapiga Punyeto Tanzania almarufu kama CHAPUTA tumesikitishwa mno na taarifa hii yenye uchochezi ndani yake.

Tunapenda kuwaambia wanachama wetu popote walipo Tanzania na nje ya mipaka yake wapuuze taarifa hii na nyingine za aina hii maana hakuna ukweli wowote ndani yake zaidi ya kuwatia hofu.

Sisi kama viongozi wa Chama tupo busy na wanasheria wetu wa Chama kuangalia jinsi gani tutamchukulia hatua zinazostahili bwana Abu Haarith na wengine wenye tabia za kututia hofu.

asanteni sana.
 
Punyeto haifanyi uume kushindwa kusimama, utakua una matatizo ya saikolojia... Wewe miaka 7 tu, kuna wengine wana miaka zaidi ya 15 kwenye fani na bado wanagegeda vizuri tuu....
naunga mkono hoja
 
Mimi nlipiga hiyo ktu miaka 12, I mean tangu 2004 hadi 2016 October nlipooa, still nauwezo wa kupiga bao 6 kwa night 1,

Kama unapiga Bao Sita na bado dem Ana uwezo wa kuzipokea kajichunguze huenda una tuvibao twa Mjusi!
 
kama tunafikishana mahakamani nijuze mapema nitafute wakili
 
KWA WOTE WALIO COMMENTS UPUMBAVU NDIO WAHASIRIKA WAKUBWA WA PUNYETO.
KITU CHOCHOTE KILICHO KATAZWA KWENYE VITABU TAKATIFU NA MAABARA LA ZIMA KITAKU NA MAZARA TU JUU YAKO, KWAHIYO UNAEJIAIFIA UMEPIGA NYETO MIAKA 15 BILA EFFECT YOYOTE, SASA SUBIRIA MREJESHO WAKO.
 
Ngoja nikupe silaha mdogo wangu... ikiwezekana anza kucheza na mam msapu wako, mturn on...baada ya hapo muombe akusaidie kupiga bao la kwanza lenye kiherehere, ukimaliza bao la kwanza.. mchezee mpaka ufike muda ambao mjomba atasimama tena hardly inachukua 5 to 10 mins na mamsap awe legelege. Alafu anza kazi ila itakusaidia sana kama utatumia mpira (condom). Tumia njia hiyo kuexercise point of no return... usiishie bao moja tu ndio inapokula kwako...
 
Nawacheki tu wapiga punyeto siku naanzisha thread ya kutafuta mchumba msije Pm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahahahaha..... tatizo shule mama mdogo. Ndio nimeelewa why wazungu huwa binti au mvulana akiwa na umri wa miaka 14 anakuwa na kagirl friend au boy friend... wakifika 16 to 18 wanapigana dudu. Waarab huwa wanaoana wakifika age ya kubalehe au 18.

Life style yetu bongo haijakaa sawa kabisa, hadi ufike umri wa kumaliza elimu ya juu ni miaka 22 to 25...kama umepita bording za boys tu from form 1 to 6 kazi unayo.

Shida nyingine kubwa vijana wanakosa elimu ya haya mambo yalivyo... hata simlaumu, kwa vile he didn't know the side effect.
 
Mwanangu fanya mazoezi ya kegeli. Wiki mbili tu, utakua kama kifaru dume
Kula tikiti zima kila siku, chai ya mdarasini na kunywa maji mengi sana
 
Duh pole sana kijana jitahid ule vyakula vya asili kunywa maji mengi na kufanya kegel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…