Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Miaka 15 ulijaribu dhambi, dhambi haijaribiwi mkuuu. Sasa hiyo ni rasha rasha bado Mvua kamili.

Hapo subiri muda wa kuoa, ukishakuwa na mke wako ndio utatia adabu. Unajifunza dhambi alafu unataka ubaki bila mashaka.

Jiandae mkeo kubanjuliwa tuu maana hukutaka kuwaheshima wanawake wa wenzako na wako hawatamheshimu.

Malipo ni hapa hapa, jiandae.
Hilo ndio la kukumbuka. Uwe fiti kipindi hichi ili iweje. Ili utende maovu, ili upate ukimwi, au mashaka ya rohoni, au unataka kuchanganyikiwa nafsini mwako.

Wazinzi ndio wanaoshika nafasi ya pili kwa mashaka na kuchanganyikiwa baada ya wauaji.

Hivyo tambua unapanga kuchagua fungu baya
 
Labda una upungufu wa testosterone/hormones za kiume, nenda for checkup, wataalamu wa mambo ya uzazi, urology,lymphocytes nk naamini watakusaidia
 
habari wana jamiiform mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa ila naomba msaada wenu mimi ni kijana wa miaka 22 nimeathiriwa na punyeto sana kwani nilianza kupiga punyeto nikiwa na miaka 15 mpaka juzi tu kama miezi miwili iliyopita ndio nimeacha nimeacha baada ya kushindwa kabisa kufanya mapenzi na msichana mara mbili kwani kabla sijaweka hata kitu kwenye k ninakuwa tayari nishamaliza na siwezi kusimamisha tena nikashauriwa nitumie erecto nikawa naweza kufanya lakini sasa hata erecto nikinywa kidonge kimoja hakifanyi kaxi naombeni mnisaidie kwani sasa naisi kuwa mimi sio mwanaume kama wengine naomba msaada wenu jamanii
Ntafute 0655229028
 
siasa ya bongo mi ishanishidanga naona mapichapicha tu ndio maana nimejkita kutoa formula ya kuandaa matunda ukiwa nyumban yaan unakua unaweka katika ratiba yako ya chakula asubuh au jion unakula huku unajitibu tatizo la nguvu za kiume kama uume kukosa nguvubkushindwa kurudia kunywea katikat ya tendo kukosa manii kukosa hamuya tendo na nk weng wanapona tiba ni uhakika siku ya pili tu unaona change bila hata kufanya mapenz ukisimamisha uume utaoba unakua mgumu kama jiwe gharama zangu ni elfu 20 tu kwa formula inayotumwa via whats app 0712505049 au ingia instagram jina langu dr appoh kishimbo
 
Wewe utakua na tatizo lingine mimi nimepiga nyeto tokea 1992 hadi Leo na bado nikiingia arena ni show show tu!
 
Kuna upotoshaji sana kwenye mitandao ya kijamii kila mtu atajifanya doctor, hapo kwenye red huo ni upotoshaji, punyeto kwa kiwango kikubwa huathiri sana kusimama kwa uume, wakati wa kufanya nyeto kiganya kinavyosugua uume hasa ukiwa unafanya mara kwa mara upelekea mishipa ya uume kushindwa kuwa na nguvu na kudhoofisha kufanya kazi yake,

Pia ina athari kwenye uwezo wa brain to memorise and to work properly , kwa maana unauchocha ubongo kufikiria kile unachokiwaza ili ukojoe, sasa wakati unavutia picha ili ukojoe pale unaufanyisha brain kazi kubwa sana,
acha porojo ww duniani kote tafiti zote hazijaonyesha kama punyeto ina leta matatizo hayo! au ww hiyo reserch ulifanyia wapi??
 
KWA WOTE WALIO COMMENTS UPUMBAVU NDIO WAHASIRIKA WAKUBWA WA PUNYETO.
KITU CHOCHOTE KILICHO KATAZWA KWENYE VITABU TAKATIFU NA MAABARA LA ZIMA KITAKU NA MAZARA TU JUU YAKO, KWAHIYO UNAEJIAIFIA UMEPIGA NYETO MIAKA 15 BILA EFFECT YOYOTE, SASA SUBIRIA MREJESHO WAKO.
duniani kuna imani tofauti usidhani kila mtu ni muumini wa hivyo vitabu vyako vitakatifu
 
sex is mindset game! nilibahatika kupata semina za Afya na uzazi kutoka kwa Madaktari kutoka Uingereza na India tulikuwa wanafunzi by the time watu waliuliza sana hayo maswali but wote walitoa majibu kuwa hamna reserch yoyote ambayo ilisema punyeto ina madhara!
 
sex is mindset game! nilibahatika kupata semina za Afya na uzazi kutoka kwa Madaktari kutoka Uingereza na India tulikuwa wanafunzi by the time watu waliuliza sana hayo maswali but wote walitoa majibu kuwa hamna reserch yoyote ambayo ilisema punyeto ina madhara!
Mkubwa hii kitu ina madhara vijana wengi wanaumia na hii kitu
 
Itachukua miaka mingi sana mpaka nije kuamini punyeto ina madhara.
Nimepiga puli kwa muda wa miaka 13,nimekuja kuacha baada ya kuoa na sijapata tatzo lolote mpaka hivi sasa.
Wewe itakuwa una matatizo yako ya kiafya wala usisingizie punyeto
Inategemea mkuu ulikuwa unapiga kwa stail gani, kama ya mkoni lazima upate madhara baada ya mda.
 
Mume wangu alikuwa na tatizo kama hilo, alinioa halafu akawa hawezi, yaani dushe kubwa halafu kama tu.


Ilibidi nimhoji kwa kina, akanambia alianza punye akiwa at 15yrs mpaka ananioa alikuwa at 30, nilimfariji sana nikaamua kumsaidia.


Kwanza jiamini kwamba wewe ni mwanaume mwenye uwezo wa kupiga show.

Ondoa mashaka kuwa mwenza wako anakudharau au atakuacha.


Anza mazoezi, piga mazoezi hasa yale ya kutoa jasho jingi sana mfano kukimbia umbali wa km moja.


Kula mboga za majani, epuka utumiaji wa nyama, kula dona, mbogamboga hasa matembele nk.


Vaa pensi bila chupi, au boxer zinazobana, make sure that hubani sehemu zako za siri, yaani kuvaa suruali na boxer zako zibazobana sana.

Endelea kupiga mazoezi kila jioni, huku ukijozua kupiga punye kwa miezi sita mfululizo.


Wakati wa kufanya mambo yenu na mkeo chakwanza vaa ndomu, maliza fasta then tulia kwa muda kidogo huku mkipiga story ikiamka piga mambo.


Baada ya miezi mitatu utakuwa poa uje hapa ulete mrejesho.

Kumbuka lazima uwe mwanandoa sio ukafanyie umalaya, ukimwi upo, unaua
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jamaa kweli atakuwa mwanandoa uyu?
 
Back
Top Bottom