Nilifanya hy kazi kwa muda wa miaka 13 na uwezo wa kufikiri ulipungiua performance yng shule na chuo ilipungua,mwili ulidhofika sn lkn namshukuru mungu nina miezi 5 sasa cjapiga punyeto nguvu za kiume zimekuja lkn bado nina tatizo la kumbukumbu nakua sina vyema lkn matumaini yng soon nita_recover
 
utarecover mkuu
 
Shukuru mungu!! Haya nayoyasema sikutunga Mimi pia nilikua kama ww watu wakisema Ina madhara mi nasema huu mwaka wa NNE napiga sioni madhara.. Kumbe madhara yake ni ya muda mrefu. Sasa baada ya miaka 10 kwenye gemu naona na ninajuta. Kipindi ambacho ni haki yangu na wajibu kupata mpenz tukaridhishana Mimi imekua vice versa.. Na ubaya wake nilichokiona kupona inahitaji rehab kama ya unga tu
 
Doh, wewe inapaswa uwe mlezi wa CHAPUTA. Maana ushavuka vigezo vya uwenyekiti na ujumbe wa bodi.

Bro, you are speaking almost 30 good years in bussines.
hahahahahha mewenyewe nilijua nipo kwenye game mda mrefu kumbe kuna ndugu yangu kaanza miaka ile bado shilingi moja inafanya kazi.
 
Chama cha wapiga punyeto tunakemea taarifa za uongo kama hizi.

We Huna kazi na matatizo ya kimaisha yamekuelemea alafu unasingizia punyeto imekuathiri ebooooo
 
Mkuu....hivyo mwaka huu utakuwa na anniversary ya kupiga puli miaka 30!!!!haaaa haaaa haaa!!
 
Hongela
 
wengine mbona tunapiga hii kitu tangu tukiwa teenager lakini hadi leo ni mzazi wa watoto 5 na bado jogoo yuko poa tu!

halafu kama unapiga sana ulabu na kubwia vitu vyenye sukari kwa wingi...wafwaaa!!
 
Nishawahi kupima hormone hospitali ila nkashindwa gharama za matibabu. Nilikutwa na hormonal imbalance yani za kiume ziko chini halafu zile za kike zipo juu wakat mimi ni mwanaume
Hilo ndio tatizo lako kuu na siyo punyeto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…