Pole sana mkuu.
 
Mkuu unakaaje three years bila kusex??
 
kwangu ni vigumu maana nilikotoka nashukuru kwa hapa nilipo.. wale mademu niliowatia kipind sijaacha nawawinda niwatie tena ili nifute aibu but bahati haiji mara mbili wamenikataa wote.
Hahahaaa walishakudharau, kumbe hawajui kama sasa hivi ni kiumbe mpya
 
Hiyo sio punyeto no matatizo mengine
 
Hiyo sio punyeto no matatizo mengine
punyeto IPO ya aina nyingi inategemeana na kilainishi utakachokuwa unatumia. withdraw ingawa nayo mi naona ni nyeto.
Yan m naona ungekula alf nd uingie nyetoni manake ile k2 ipo alf ukishanz kuacha n ngumu
ukijikondition unaacha tu Sena hapo itabid use mbali na romantic movie na ujipe makaz magumu ya kuuchosha mwili.
 
Samahani mkuu, unamaanisha ukimwi umeisha au kwasababu dawa zipo?
 
Nimekua nikisikia kuwa moja ya madhara ya punyeto ni maumivu kwenye magoti.
Sasa ningependa kujua uhusiano uliopo kati ya punyeto na maumivu hayo? Nini hasa chanzo cha maumivu hayo?na tiba yake nini?

Asante
 
Nimekua nikisikia kuwa moja ya madhara ya punyeto ni maumivu kwenye magoti.
Sasa ningependa kujua uhusiano uliopo kati ya punyeto na maumivu hayo? Nini hasa chanzo cha maumivu hayo?na tiba yake nini?

Asante
Logically tiba yake nadhani itahusisha kuacha punyeto...

Yaani watu mnapiga punyeto mpaka magoti yanalegea? Kazi ipo!
 
hankuna uhusiano wowote watu wasikudanganye. Achana na madaktari wa vijiweni. Kama magoti yanauma, nenda hosipitali inawezekana umepungukiwa na madini kwa mfano, madini ya magnesium, calcium, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…