Watu wenye hili tatizo kama lako wengi wao baadae hugeuka kuwa ' Mashoga '.
 
Mkuu mimi nakushauri USIIACHE maana inaonekana punyeto haina madhara kwako kabisa.

Kama unaweza kupiga bao tano na una mke na mtoto. We endelea tu.

Au ulikuwa na sababu gani haswa ya kuacha huu mchezo mtamu?
 
hivi hujajidharau tu kwa kuendekeza huo upumbavu halafu unaombaje ushauri wakati hizi thread zimeja jamii forum tafuta uzisome but samahani kama nimekukwaza.
 
 
Usiache mkuu, nakutia moyo endelea, tena safari hii ongeza kasi ikibidi izidi 4G, namaanisha uendelee kutafuta suluhisho la tatizo hili.[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Kuwa bze na maisha jikite zaid kuwaza na kutekeleza mawazo yako ktk harakat za kuutafuta utajir
Acha kabisa kuangalia porno
Anza ratiba ya kupiga zoez ktk mda wako wa ziada hii itakuchosha na kuunguza yale mafuta na steroid zinakunyegeza hovyo
Jichanganye na marafik usipende kukaa mwenyew haswa ukiwa idle minded kumbka an empty mind is devil workshop

Njia ya mwisho kabisa kama zote hapo zisipokusaidia kajishtak kwa mkeo mwambie akusaidie uweze kuacha huo upumbavu... Atakushangaa sana kitu kitakachopelekea ww mwenyew kujionea aibu na dhamira yako itaanza kukusuta kila unapowaza nyeto***
[emoji768]nakuhakikishia matokeo chanya kwa asilimia 100% endapo utatumia hyo combination ya hzo njia hapo juu bila kuacha hata moja...

*****NakutakiaKilaLaHeri*****
 
Miaka 15 hongera kwa mtoto mkuu!

Unataka kuacha na hamna madhara unayopata...
 
Mkuu umetisha madem watanp plus mke na nyeto juu huo mda unautolea wapi wa kufanya mambo yote hayo [emoji23][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
 
njia rahisi ya kuacha piga punyeto kwa kutumia pilipili mbuzi iliyosagwa changanya na upupu kidogo weka na mdarasini kidogo.hapo lazima uache usipoacha inatakiwa uoge kwa mafuta ya upako lita kumi pepo LA punyeto na uzinzi likutoke.
 
Nikisikia mtu anataka kuacha punyeto ananikera!!.. kwa nini lakini?
Mungu ibariki kazi ya mikono yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…