Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Walioathirika na hiyo Punyeto bora kuanzia sasa Waache kupiga hiyo Punyeto .Haya tumesasikia. wale waliokwisha athirika na kupiga punyeto unawasaidiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioathirika na hiyo Punyeto bora kuanzia sasa Waache kupiga hiyo Punyeto .Haya tumesasikia. wale waliokwisha athirika na kupiga punyeto unawasaidiaje?
Walioathirika na hiyo Punyeto bora kuanzia sasa Waache kupiga hiyo Punyeto .
Ndodi ndio anajua hii habari vyema.......
Ni kweli jamani punyeto ina madhara makubwa, acheni
You are a Layer kuna madharaa tena makuwa sana
Huku ni kuingilia chama chetu na kutaka kutuvuruga tu.....CHAWAPUTA oyeee
Mkuu ulisoma Jitegemee nini miaka ya 2000 mwanzoni?? Maaana pale ndipo nilipoijua hiyo chawaputa na viongozi wake waliokuwa wakiranda kutafuta wafuasi..
Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu kujisaga, jambo hili huwafanya waharibu mishipa ya fahamu inayounganisha uume na mfumo uliopo kwenye ubongo.
Uharibifu huu humfanya mwanaume apoteze msisimko wa kujamiiana au hata akiupata humfanya ashidwe kufikisha hisia zake kisawasawa khasa akikutana na mwenza wake ambaye sehemu zake nyeti ni laini sana tofauti na mikono alozoea kujichua nayo.
Ndodi ndio anajua hii habari vyema.......
oyeee! kuanzia nianze balehe nalikung'uta daily, mpaka nilipofika secondary magamba boys, hadi tosamaganga boys mpaka UCLAS-boys(sasa ardhi university, enzi hizo mademu wakuhesabu) sijapungukiwa na nguvu za kiume wala kukosa ufundi kwa wale ninaokutana nao, nimeacha puli mara tu nilivyooa, sasa mke ana mimba ya miezi 8, nimeurudia puli hadi atakapojifungua na kuwa fit tena, inanisaidia sitongozi vimalaya, na nikitongoza kakiringa ringa sibembelezi
hivi hata wanawake hujichua? yap ni madhara ya kujichua kwa mwanamke
Hahahaha, nimecheka hapo mwisho, eti MASTURBATE RESPONSIBLY