mhhh kakaaa acha kupiga puchu kaka
 
Punyeto haina shida...

Tatizi nyinyi mnapiga daily...

Piga kwa utaratibu..
 
Punyeto tamu shostii ataachaje
Dada acha mawazo potofu ...punyeto kwa wanaume ina madhara sana yaani mimi hapa ni mmoja wapo baada ya kutoswa na girls wengi nkashangaa naangukia huko sasa madhara yananipata sasa bora ningekuwa natafuta tuu wadada wanaojiuza maana walikuwapo toka enzi za yesu masiah
 
Kukojoa ni kule kule ama kwa mkono ama kwenye njia ya mwanamke. Madhara ya kweli ni ya kisaikolojia tu.
 
Mkuu huna sababu za msingi kabisa..! Na bado hujanisawishi kuacha hii kitu! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Thanks to #JF_moderators kwa kurekebisha makosa waliyoyaona hayafai...,much respect
To you.
 
Mkuu huna sababu za msingi kabisa..! Na bado hujanisawishi kuacha hii kitu! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Basi mm kama muathirika nimeleta hii ili kusaidia wengine sasa kama ww hutaki hata kuelewa hii basi sawa mkuu ww endelea tuu
 
Hapo ndo uliposahau..! Hakuna any scientific facts zinazoonyesha ubaya wa puchu..! Jus ni religion garbage tu ndo zilizobakia..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Basi mm kama muathirika nimeleta hii ili kusaidia wengine sasa kama ww hutaki hata kuelewa hii basi sawa mkuu ww endelea tuu
Wewe kapime mambo mengine.. Usisingizie puchu! Angalia labda utakuwa unaumwa tezi dume..! [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…