Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Nyeto sio bia , et umeacha kirahis rahisi tu, nyeto ni Kama madawa ya kulevya tu, akikuuzi uyo manzi utarud kujifariji tu
 
Hayo ni maoni yako na mtazamo wako

Marafiki wa shetani

Marafiki wa shetani, hawakai penye jema,
Kazi yao uzaini, ukweli hawatasema,
Usiku ni mumiani, machana ni watu wema,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Ufasidi ni auni, huwasaidia njama,
Mikakati wakibuni, imefurika dhuluma,
Mipango yao uhuni, nchi na watu hukwama,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Tasnia wakibuni, himaya hujijengea,
Waishi wakiamini, hawatakutangulia,
Awasgabgaa Manani, ruia haziamini,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Nawe usiwaamini, au watakutumia,
Hiyo ndiyo yao dini, wataka kuabudiwa,
Ukimkana shetani, hatia watakutia,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Wapo tele waumini, na viongozi wajaa,
Anzia misikitini, hadi kanisani pia,
Wanafiki kwa yakini, Muumba keshawaumbua,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Hugeuza duniani, pepo yao ya kukaa,
Wakamdhihaki Bathini, kiyama kukitania,
Na wengi hujiamini, kumbe wameshapotea,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Wakiitwa mashakani, kama watoto hulia,
Daima hawaamini, dunia itawakataa,
Mateke wakibaini, mshtuko huwaua,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Siku hawaiamini, Ziraili akitua,
Kisha huganda moyoni, na mwilini nako pia,
Mate huisha kinywani, na kauli kupotea,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Awe adui shetani, Mola ikubali dua,
Niepushe mitihani, salamani nikakaa,
Mwisho uwe ni auni, daraja linalofaa,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.
 
Nyeto sio bia , et umeacha kirahis rahisi tu, nyeto ni Kama madawa ya kulevya tu, akikuuzi uyo manzi utarud kujifariji tu
Hahahaaaa,,nikirud wadau kweli watanipokea maana nimenawa uhusika leo
 
Marafiki wa shetani

Marafiki wa shetani, hawakai penye jema,
Kazi yao uzaini, ukweli hawatasema,
Usiku ni mumiani, machana ni watu wema,
Marafiki wa shetani, huo
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Tasnia wakibuni, himaya hujijengea,
Waishi wakiamini, hawatakutangulia,
Awasgabgaa Manani, ruia haziamini,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Nawe usiwaamini, au watakutumia,
Hiyo ndiyo yao dini, wataka kuabudiwa,
Ukimkana shetani, hatia watakutia,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.

Wapo tele waumini, na viongozi wajaa,
Anzia misikitini, hadi kanisani pia,
Wanafiki kwa yakini, linalofaa,
Marafiki wa shetani, huogopa malaika.
Mkuu huu uzi haupo kwenye jukwaa la kidini nayaheshimu maoni yako ukiona huu uzi wa kishetani uachane nao boss kwa lugha nzuri na nyepesi
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu nakiri kwa kinywa changu kuwa nimeaga rasmi kwenye chama hiki chaputa.Imechukua muda sana hadi kuja kuacha mchezo huu mara baada ya kupata mtoto mzuri niliyeanza nae mambo ya kikubwa.Aisee asikwambie mtu kusex raha jamani loooh
By popoma aliyetukuka
Wewe ni Jinsi Gani ke au Me
 
mm siwez kukisaliti chama, kwanza niko nadownload xx clip ili nipate mzuka afu nijilipue kimoja baada ya kutoka kula futariii
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu nakiri kwa kinywa changu kuwa nimeaga rasmi kwenye chama hiki chaputa.Imechukua muda sana hadi kuja kuacha mchezo huu mara baada ya kupata mtoto mzuri niliyeanza nae mambo ya kikubwa.Aisee asikwambie mtu kusex raha jamani loooh
By popoma aliyetukuka
Gentamycine Acha ujinga wako ww ni kama mbuni unaficha kichwa wakati kiwiliwili kipo nje
 
Back
Top Bottom