Kutokua na mpenz ndio kunakufanya ww kufanya hiyo kitu. Jarib kutafuta mtu ambae utakuanae lakin pia awe anakupa doz ya ukweli kiasi kwamba usiku huwez hata kukumbuka hiyo kitu, unakua umechoka na kuridhika sana, jarib kuwa nae karib kila unapohis hizo hisia za kufanya hiyo kitu.. Utasahau baada ya mdaNaombe ushauri
Mwenzen naomben mnisaidie jinsi ya kustop selfie ( masterbation) yaan nisipopiga 1au 2 siwez kulala wala kupata usingizi...sasa hv ni SAA 7 nilisema leo hapana bt usingizi umegoma mpaka nimepiga selfie 1 ndio nahisi usingizi...kwel sipendi na nikimaliza hua nachukia sana bt nakuta narudia tena jmn nifanyeje?? Ninamuda mrefu siko ktk relation lkn wala sijutii maana ham najimalizia mwenyewe
Ndugu zangun naomben njia serious jins ya kustop
Kwel aiseeHamna kitu kigumu kama kuacha nyeto.. We fanya tuu..!!
Usithubutu kujaribu. Umeona mdada mwenzako anavyohangaika kujinasua?Kwani ubaya wake ni nini?
Sio kweli mkuu Akili ukiitune hivyo inakua hivyo kweli, mi nmeacha zaid ya miaka 5 sasa! Kipind napga tena nilikua hata staman demu maana utamu wa nyeto ni zaidi ya demu,Hamna kitu kigumu kama kuacha nyeto.. We fanya tuu..!!
Kwa nini ajinasue? Ni mara elfu kujipa raha mwenyewe kuliko kuhangaika mitaani hovyo hovyo. Bora aendelee tu mpaka atakapopata mtu wa uhakika. Sioni ubaya wowote katika hiloUsithubutu kujaribu. Umeona mdada mwenzako anavyohangaika kujinasua?
Mmh nawe utakuwa mshirikaKwa nini ajinasue? Ni mara elfu kujipa raha mwenyewe kuliko kuhangaika mitaani hovyo hovyo. Bora aendelee tu mpaka atakapopata mtu wa uhakika. Sioni ubaya wowote katika hilo