Punyeto ni nini na nini madhara yake?
nimeona mijadala mingi ya hii kitu ikilalia kwa wanaume

ningependa kujua hasara wanazozipata wadada wanaofanya hii kitu sio mbaya na wao wakitoa ushuhuda wao ili kuwaelimisha wenzao
 
Wanaona Aibu mmoja tu ndio alisema "To yeye "kwenye uzi mmoja siukumbuki ni kukojoa kwa mwanamke au kitu kama hicho.
 
Hawawez kuja maana wakija mtajua wanapenda sana dushe mtaanza kuwasumbua zaid PM.
 
nimeona mijadala mingi ya hii kitu ikilalia kwa wanaume

ningependa kujua hasara wanazozipata wadada wanaofanya hii kitu sio mbaya na wao wakitoa ushuhuda wao ili kuwaelimisha wenzao
Mkuu pamoja na ukweli kwamba huu uzi wako utakosa wachangiaji wengi wa kike au wasiwepo kabisa ila athari kwao ni kulegea kwa uke na uke kuwa Mkubwa,kukosa hamu ya tendo,nyingine zinafanana kama za mwanaume...wengine wanachukuaga dildo au kitu laini mithili ya tango au ndizi cha saizi anayotaka ili aweza kujiingizia taratiiiiiibu huku akikatika na kupiga kelele tena mara nyingi akiwa peke yake....mimi huwa nawajua kwa kuwaangali kitu fulani usoni Mkuu.zamani walikuwa wanatumiavitu vigumu lakini sasa hivi wanaenda kuvinunulia Dubai au uchina....though nasikia hapa daa kuna maduka ya siri yanauza hivi vituu..
 
Mda mwingi hupenda kukaa mweyewe alafu kila mara anawaza ngono tu na pia kutopenda kuingia kwenye mahusiano Kwa wakati muafaka
 
Back
Top Bottom