Kila siku Punyeto, Punyeto imekuwa Punyeto. Mtuache bhana wanachama wa CHAPUTA niko kwenye chama hicho huu ni mwaka wa 35 na hakuna madhara yoyote yale.

MGC
 
Hizo porojo zote lengo lako utangaze DAWA

Muwe mnalipilia matangazo ya namna hii
 

Hiyo dawa sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu shikamooni kwa wakubwa na kwa rika langu habarini za muda huu.

Nimeandika thread hii kutaka kujua kuhusu masterbation/punyeto/kujichua

Je ni dhambi kufanya hivo hasa kwa wanaume? Na kama ni dhambi mwa nini ngo's kama femina hip wamekuwa wakiisema kama ngono salama.

Naomba kwa wanaofaham wanisaidie katika hili

NB: nimeuliza tu am not a victim of this
 
Walioipiga kipindi cha sabuni ya REVOLA wajitokeze humu.
 
Ni dhambi kwakuwa **** ipo kwaajili ya kusuguliwa na mmboo, kwahyo hivi vitu unapo vitumia tofauti inakuwa ni dhambi kubwa mno..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…