Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hii kitu Ni tamu..I can't stop it, never!
Ni wewe huyu kwenye avatar yako?
1065882
1554723161637.png
1554723161637.png
1554723161637.png
1554723161637.png
 
Kila siku Punyeto, Punyeto imekuwa Punyeto. Mtuache bhana wanachama wa CHAPUTA niko kwenye chama hicho huu ni mwaka wa 35 na hakuna madhara yoyote yale.

MGC
 
Hizo porojo zote lengo lako utangaze DAWA

Muwe mnalipilia matangazo ya namna hii
 
ACHA ACHA ACHA KUJICHUWA UTAPATA AIBU NA MADHARA KATIKA MAISHA YAKO

ALJALILA HERBAL AND HIJAMA CLINIC

HAYA NDO MADHARA 36 YA PUNYETO YAANI KUJICHUWA KWA WANAUME

PUNYETO.

Ni kitendo cha kusugua sehemu ya siri ya uzazi kwa kutumia mkono au sabuni na kufika kileleni.

MADHARA 36 YA PUNYETO.

1.Ni chanzo kikubwa cha kupoteza kumbukumbu na kukufanya ushindwe kufanya vitu kwa umakini.

2.Kitendo hiki huondoa baraka na neema za Allaah kwani kinamuudhi sana Allaah.

3.Huuwa na kumaliza nguvu za kiume kabisa.

4.Husababisha uchovu muda wote.

5.Humfanya mtu kupoteza nguvu za mwili na kumfanya kuwa legevu na mvivu.

6.Husababisha mwanaume kutoa mbegu haraka wakati wa tendo la ndoa.

7.Husababisha msongo mkubwa wa mawazo.(mawazo kuwa mengi)

8.Husababisha mtu kukosa hamu kabisa Ya tendo la ndoa hata akiwa na mke wake.

9.Husababisha ukhanithi

10.Humfanya mtu ambae hajaowa ashindwe kuowa

11.Husababisha mtu kuathilika kisaikolojia.

12.Huzidisha woga kwa wanawake.(kuogopa ).

13.Humfanya mtu ashindwe kuona umuhimu wa wanawake.

14.Inaweza kumfanya mtu kukonda na mifupa ya mashavu kutokeza.

15.Humfanya mtu kuwa mtumwa wa kitendo hicho.

16.Ni maasi na athari ya kudumu inayouwa afya ya mwili na akili.

17.Kushindwa kusimamisha uume zaidi ya mara 1 na uume kuwa legevu.

18.Maumivu ya mgongo.

19.Kusinyaa kwa nywele.

20.Maumivu ya makende.

21.Maumivu ya kiuno.

22.Pia inaweza kusababisha umasikini kwa sababu mtu hupoteza nguvu,kumbukumbu, na kuwa mlegevu na mvivu.

23.Inachangia kushindwa kufikia malengo kwa sababu huuwa mfumo wa fahamu na uwezo wa kufanya jambo kwa makini.

24.Inadhoofisha mwili na kuufanya jalala la maradhi

25.Huondoa nuru ya macho.

26.Huzidisha mapigo ya moyo kama mtu mwenye presha.

27.Hufanya ngozi ionekane kama ya mzee.

28.Husababisha kuvunjika kwa ndoa.

29.Humfanya mtu kutazama na kuwaza sana wanawake, na pia kutazama sana picha na video za ngono.

30.Kuumwa ma kichwa mara kwa mara.

31.Kukosa nguvu kwenye jointi za magoti.

32.Kupungukiwa mbegu katika mfuko wa uzazi.

33.Kuharibika kwa mishipa ya fahamu na uti wa mgongo.

34.Humfanya mtu kusinzia ovyo kila anapomaliza punyeto.

35.Mpiga punyeto hana uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni.

36.Ni aibu kubwa sana kwa jamii

Baadhi ya watu wengi hawajui faida za nafaka zisizokobolewa kama mtama,ulezi,uwele,mahindi,soya,karanga.

Sasa ni wakati wa kujuwa faida za nafaka hizi ambazo ni muhimu katika miili yetu
Kwani nafaka hizi ni Tiba na lishe toshaa kabisaaaaa

Kaa tayari inshaallah so muda mrefu tutaelezea faida za nafaka hizi uzionazo pichani

Tunaomba ucoment na kushare ili tujuwe tuna compony inayo tu support ALJALILA HERBAL AND HIJAMA CLINIC

TUFUATILIE KATIKA CHANEL YETU YA YOUTUBE SASA BONYEZA MAANDISHI YA blue https://www.youtube.com/results?search_query=aljalila+tiba
usisahau kusabscribe na kubonyeza kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa zetu za kitiba

LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK UZIDI KUELIMIKA JUU YA MARADHI BONYEZA HAYO MAANDISHI YA BLUE UJIUNGE
33417826755097/

NJOO UPATE TIBA YA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI, KUKOSA UZAZI, GESI,UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,KISUKARI,
UTI,MARADHI YA ZINAA PUMU,VIDONDA VYA TUMBO NA NYENGINEZO NYINGI.

OFISI ZETU ZIPO
DARESALAAM MAENEO YA KARIAKOO MSIKITI WA MANYEMA PIGA NO 0659625151
AU 0778888987

UNGUJA TUPO MWANAKWEREKWE MUEMBE DEZO PIGA NO 0772878788

PEMBA TUPO CHAKE CHAKE SOKONI PIGA NO 0776478788

KARIBU TUKUHUDUMIE

DAWA POPOTE UTATUMIWA.

TAFADHALI SHARE MADA HII ILI WATU WAELEMIKE JUU YA MARADHI YANAYOWAKABILI BINADAMU.

Hiyo dawa sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu shikamooni kwa wakubwa na kwa rika langu habarini za muda huu.

Nimeandika thread hii kutaka kujua kuhusu masterbation/punyeto/kujichua

Je ni dhambi kufanya hivo hasa kwa wanaume? Na kama ni dhambi mwa nini ngo's kama femina hip wamekuwa wakiisema kama ngono salama.

Naomba kwa wanaofaham wanisaidie katika hili

NB: nimeuliza tu am not a victim of this
 
Walioipiga kipindi cha sabuni ya REVOLA wajitokeze humu.
 
Wakuu shikamooni kwa wakubwa na kwa rika langu habarini za muda huu.

Nimeandika thread hii kutaka kujua kuhusu masterbation/punyeto/kujichua

Je ni dhambi kufanya hivo hasa kwa wanaume? Na kama ni dhambi mwa nini ngo's kama femina hip wamekuwa wakiisema kama ngono salama.

Naomba kwa wanaofaham wanisaidie katika hili

NB: nimeuliza tu am not a victim of this
Ni dhambi kwakuwa **** ipo kwaajili ya kusuguliwa na mmboo, kwahyo hivi vitu unapo vitumia tofauti inakuwa ni dhambi kubwa mno..
 
Back
Top Bottom