MC na ww unajilipua?maana unaujua hadi mudaAfu umeandika mida yenyewe ya kujilipua kabisaaa yaani,.dah!!!
Tupe mbinu ulivyoweza kuachaNi ngumu ila nyeto hutaki tena unaacha tu bila kuweka hata nadhiri
Hadi baraza letu la chaputa tunalo😎Na wamama mnafanya
😂😂😂🤸🤸🤸WooiiMC na ww unajilipua?maana unaujua hadi muda
Nilipata madhara,nadhani hii ndo sababu kuu iliyonifanya hata nisiteseke sana kuamua kuacha.Hivyo niliacha tu.Tupe mbinu ulivyoweza kuacha
Tupe mbinu ulivyoweza kuachaNi ngumu ila nyeto hutaki tena unaacha tu bila kuweka hata nadhiri
Haha!na huo muda unakuta genye zinapanda kweli,ukiteleza kidogo tu unajikuta unashika sheria mkononi😂😂😂🤸🤸🤸Wooii
Vp baada ya kupata hayo madhara na kuacha ulirudi kuwa normal?Nilipata madhara,nadhani hii ndo sababu kuu iliyonifanya hata nisiteseke sana kuamua kuacha.Hivyo niliacha tu.
Ulishasikia wale wanaopiga nyeto na mafuta ya upako? 😅Ni janga zito haswaa, na sikuhizi sio ajabu mtu anaweza akawa ana mke au girlfriend ambae wala hana shida lakini bado mwanaume akaendeleza uraibu wake wa kujipiga nyama, haijalishi mtu ana cheo gani, hali ya uchumi, rika, elimu, n.k hili tatizo limemeza wengi sana ila ni jambo linalofanywa kwa usiri mno.
Chukua kurani au biblia, apa kwa imani kwa Mungu kwamba hautapiga punyeto kwa mwezi hivi (au wiki mbili kama una hali mbaya)
weka agano na Mungu kwamba ukienda kinyume na uliloapa basi akupe adhabu kali mno.
Huo uoga utakufanya uogope kuvunja agano pale unapopata ashki, baada ya kipindi hicho kuisha, weka agano upya, Nina imani ya kwamba kama kweli unataka kuacha huu mchezo basi ukufanya haya utaweza.
Yani we wa kike ulipata madhara?😅Nilipata madhara,nadhani hii ndo sababu kuu iliyonifanya hata nisiteseke sana kuamua kuacha.Hivyo niliacha tu.
You are right bro!Nyeto inakua stopped kwa kiasi kikubwa kutokana na kupata constant supply ya sex partner. Hayo mengine ni temporary solutions tu.
Naona kabisa 100% wewe ni mgeni ktk chama chetu pendwa cha CHAPUTA baharia wanaweka maagano mpaka na mizimu na bado wanajikoa kama kawa kama dawa
Unataka ujichukulie sharia mkononi sio 😅mi nikaamini we ni my wife wa mtu bana unakula hogo 24/7Afu umeandika mida yenyewe ya kujilipua kabisaaa yaani,.dah!!!
Aaahg we!!! Kupiga self service si ni bora niombe assist hata kwako jirani,au unasemaje??😜Unataka ujichukulie sharia mkononi sio 😅mi nikaamini we ni my wife wa mtu bana unakula hogo 24/7
Kweli kabisa, tulipewa bure na mwenye dunia kwanini tubaniane jamani wakati ni jambo la burudani😅 ukizidiwa unasema tu mi sina hiyana!Aaahg we!!! Kupiga self service si ni bora niombe assist hata kwako jirani,au unasemaje??😜
Dunia ni yetu basii,.we piga tuu hata mizimu yenyewe itakusamehe buuree,.Tupe mbinu ulivyoweza kuacha
Haha!na huo muda unakuta genye zinapanda kweli,ukiteleza kidogo tu unajikuta unashika sheria mkononi
HAPANA KUBWA.Nyeto inakua stopped kwa kiasi kikubwa kutokana na kupata constant supply ya sex partner. Hayo mengine ni temporary solutions tu.