We bata tabia yoyote ya uraibu inaachwa kwa nadhiri ndani yako kwanza!,change your fucking psychology first!. Asikudanganye mtu ati epuka mazingira ya kukaa peke yako!,vipi yakipatikana je..? Vipi usiku je,unalala peke yako huo si upekee..? Hamu ikikushika na ukawa haujadhamiria kuacha mbona hayo mazingira utayatafuta labda sio nyege!😂

Angalia vinavyokufanya ufanye huo mchezo na uviache kuanzia kichwani pako. Kama ni x video stop it!,ukiwa umetulia wazo likaja hama taratibu hamisha mawazo kwa kile kitu unachokitaka zaidi ni Kama vile unajilaumu yani nipige punyeto wakati kuna hili linanikabili!!😅

Jitahidi kuona hakuna jipya ukipiga hiyo punyeto! You do something that you know it's end so just start slow to ignore it.. hii inakuwa unaupa ubongo mazoezi kuona hicho kitendo Kama kitu cha kawaida Sana yani sana and nothing you can get when you'll do it!.
Ukiweza kujitahidi mfano ndani ya wiki moja au mbili ama tatu hujapiga Sasa uchukulie huo muda Kama kitu cha thamani! I mean yani umeweza kuacha kupiga kwa muda huo vipi tena upige leo kwa kuharibu ule muda na kuuona Kama haunathamani kumbuka muda hautarudi nyuma just usidharau jitihada ulizozianzisha!.

Jisome hua unapenda kufanya huo mchezo muda gani zaidi..? Ukilijua hilo basi jitahidi katika huo muda ama kuongeza kitu cha kufanya we ni mwanadamu mwenye akili just tafuta cha kuweza kufanya hapo jisome nawewe ulivyo utawezaje kwa urahisi zaidi.

Kama Kuna vifaa unatumia hakikisha havipo tena! Kwa wale wanaotumia nyenzo hakikisha hizo ngoma hazikai karibu nawewe!.. haya ni yaziada tu ila dhamiri kuu ni ndani yako unaweza kuacha kwa kudhamiria hata hivyo vifaa vikiwepo ila itakuwa vizuri zaidi Kama utavitoa..

Fanya kuacha punyeto ni sehemu ya kulinda afya ya kiungo chako na akili yako! Kama unampenzi anza kufikiri Kama ni dhana unayomuhifadhia kwaajili yake ili umridhishe vya kutosha na sio kuitumia kwa vitu vyengine bali kwaajili yake na yako.

Yangu ni hayo machache lakini lakukazia ni kuwa utaweza kuacha huo mchezo ukiwa umeamua kuacha na sio kuigiza.. ukiamua jua unaweza kuangali x na usifanye,unaweza kuwaza na usifanye hata ukiona kitu unachokitumia na usifanye!.. this fucking behavior you have to kill it inside of you first ignore it then dealing with your psychology.
 
Ulishasikia wale wanaopiga nyeto na mafuta ya upako? 😅
 
Nyeto inakua stopped kwa kiasi kikubwa kutokana na kupata constant supply ya sex partner. Hayo mengine ni temporary solutions tu.
You are right bro!

Dawa ya kuacha nyeto ni kuwa na demu ambaye anakupa mbunye kila ukihitaji😅!!! Kinyume na hapo uwe huli chakula unaishi kwa kunywa maji tu ila kama unakula misosi genye lazma zitaambatana na wewe tu hasa ukiwa ni kidume rijali😅
 
Katibu kwanza naazanje kuacha haka kamchezo maana sometime hawa wake zetu wakizingua unapasha kutoa stress sasa kwa nn niache acha km ni zambi basi Mungu atanisamehe tu.Mm ni mwanachama wa kudumu wa CHAPUTA NA KADI NAYO NI NO 17[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona kabisa 100% wewe ni mgeni ktk chama chetu pendwa cha CHAPUTA baharia wanaweka maagano mpaka na mizimu na bado wanajikoa kama kawa kama dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…