Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Pole mkuu. Jitahidi urejeshe hali yako pambana na hofu pia mazoezi pia usisahau kegel exercise nimeona humu wengi wakiizungumziaMkuu kilichnifanya niache kwa iyo miez mitatu nilipata dem nikashindw yaan uume uligoma kabsa kwanzia hapo ckuwai kupiga tena mpak sasa nahisi kilich changia ile hali ni punyeto na ule uvivu wang wa kula
Asant mkuu saiv napiga tizi ile mbaya Ila bado na hofu ya kujaribu tenaPole mkuu. Jitahidi urejeshe hali yako pambana na hofu pia mazoezi pia usisahau kegel exercise nimeona humu wengi wakiizungumzia
Unakwama wapi ndugu..😂walembo wadar wanavyo linga sasa
Mh!😅View attachment 1991808
Wa kuitwa MASANABI SATO huyu ndio anaijua nyento wengine wote michosho tu!!!
Mkuu ukipiga kawaida unaweza kupiga kamoja na ukaacha, ila ukiwa unacheki porn daah ni hatari sana maana kunauwezekano mkubwa sana wa kupiga kupitiliza.Mhh kuna tofaut gani kupiga kawaida na kupiga huku unaangalia porn
Duh!Unapiga NYETO wakati siku hizi kuna utelezi hadi wa Buku3 hapa Mwanza😂😂.
Vijana munajiharibu wenyewe Dadek
Soma makala zinazohusu hofu na tiba zakeAsant mkuu saiv napiga tizi ile mbaya Ila bado na hofu ya kujaribu tena
Akili ndo uharibika, badara ya kuzoea kusimamisha kwa hiasia ya binadam, inazoea kwa kuona picha, its all in muscle memoryMhh kuna tofaut gani kupiga kawaida na kupiga huku unaangalia porn
sana sana ni maumivu uuume ukisimama, au maumivu wakati wa kumwaga. Na hapa tunazungumzia zile hernia zinazohusisha maeneo ya karibu na uume...either inguinal or femoral..ukifanyiwa upasuaji utakua poaJe maradhi ya hernia yanachangia Kwa kiasi Gani upungufu wa nguvu?
Mara mbili kila sikuupungufu wa manii husababishwa sana sana na vyakula duni,,,manii huzalishwa na vyakula vyenye protein nyingi na zinc ikiwa kama kichocheo....sex kupita kiasi unamaanisha mara ngapi kwa siku au kwa wiki ?
lazima zitapungua. coz unamwagaMara mbili kila siku
kutoa manii nyingi si tatizo. Ni kwamba zimezalishwa kwa wingi mwilini.Kutoa manii nyingi kwa mshindo mmoja kunasababishwa na nini?
N.B wanawake zaidi ya 5 baada ya kushiriki nao waliniambia kuwa ninatoa manii nyingi sana.
sasa hili ni tatizo la kimkakati zaidi...maana yake unahitaji kutibu saikolojia yako, then uje kuandaa mchakato wa kuacha kuangalia punyeto kisha ndipo tuutibu uume ili kuurudisha kwenye hali yake ya mwanzo. Nikuambie tu, haitakuwa rahisi. ila it is possibleMe nilikuw natumia iyo namba mbili mkuu
Kuuza dawa za kienyeji tu hamna kingineHivi ninyi ambao mpo busy sana na mijadala inayohusu masuala ya punyeto lengo lenu huwa ni nini ?
So mkuu unatafuta sababu ya kuhalalisha hili jambo..? Sasa ubake ukishikwa ukawekwe jera miaka 30 what this..??Kipi bora kati ya kubaka na hii mambo?
Dah! Mimi wa dawa za kienyeji..😅Kuuza dawa za kienyeji tu hamna kingine
Kwan wanaouza dawa wakoje?Dah! Mimi wa dawa za kienyeji..[emoji28]