pole mamii!
hii inaitwa kujichua(nafkir nipo sahihi)
well,kimsingi athari utakazopata ni kuwa utakuwa uemshatengeneza aina fulani ya hisia ambazo la ukitane na mwanaume mjuvi kweli ili ufike hiyoparadise unayofika kwa ujido mwenyewe!ukikutana na wale wa lala niweke nikimaliza ulale walahi hutaacha na mbaya zaidi unaweza kujikuta umeingia kwenye ile habari ilee ya national milling(unalijua hilo shirika ?)muulize Mamndenyi ndo lilikuwepo enzi zake!
so kwa kujiweka mahala salama better of ukaacha!na jinsi ya kuacha ni rahisi kama kweli ni kitu kinakukera lakini kama bado unaamini uanaapa ridhiko hapo huwezi kuacha !na bahati mbaya au nzuri kwa wanawake kujichua haina madhara kimwili zaidi ya kihisia na kiakili!kwa hiyo mara nyng huwa tunatend kusema its okey!
usijisikie vibaya women do such things sometimes!
 
Last edited by a moderator:


WEWE ULISHAWAHI,IKOJE HIYO KITU?
TAMU??
:madgrin: :madgrin:
 
Ukiamua utaacha. Ili uache then fanya yafuatayo:-
1. Acha tele/fone sex whatever name u call it.
2. Acha skype sex
3. Delete all porno pictures ulizonazo kwenye Simu, laptop, tablet au chochote ulicjohifadhia
4. Usiingie jukwaa la wakubwa
5. Tumia kila njia ili mkutane na huyo mpenzi wako more often. Usijali gharama pesa ipo kwa ajili ya kutumika sio kuitumikia.

Mwisho jikeep busy kwa njia yoyote uiwezayo ili ulale hoi.
 
Nyie naona mna utani na Mr. Kongosho, mnataka mumlie mkewe?

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky: Hahahahaa mzee umetokelezea kwa utambulisho :becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
 
Haina Tatizo lolote Mkuu. Asisikilize maneno ya Watu. Endelea kulitwanga mkuu wangu.
 
Ebwana mazoea mabaya hasa kwa cc bachelor yan ukipitisha cku mbili utadhan mwez na tena unaweza ukaanza kuota ndoto za ajabu mpaka ujichue.
 
Jama ngunga ( nyeto) mbaya haifai kabisaaa kwanza bacr kichwa ana kua mdogo pili hauta weza kurudia hata mara mbili taut una legeaaaa nne kutetemeka mikono tano hautaweza kutembea juani coz utakua ukivuja chozi. Dawa na kinga ni mazoezi ya viungo. Ushauri nyeto ina noga lakini uc2mie
 
Punyeto au kujichua ni kulazimisha hisia
ili kujiridhisha kimapenzi kwa kuchukua aidha uume au
kusugua kindnbe.CHANZO:Tabia hii huanza taratibu wakati wa
balehe amcpo ktka kipindi hch
vijana huanya utundu ili
kujitosheleza kimapenzi kwa
kujichua,kupiga punyeto au

kusugua visimi/kinembe. Hali inayowaathir bila

kujijua.Kimaumbile tendo la
ndoa ni tendo hisia 'Simple
Reflex/vokuntary
Action'iambapo uratibu wake

huanzia kwenye ubongo wa nyuma'Medulla

Oblangata'.Kwani unpokuwa na
h hisia ya kufanya tendo la ndoa
ghafla mapigo ya moyo huanza
kwenda mbio huu ni mchakato

ambapo chachu za uzazi'Reproductive Hormones'

huamrishwa toka kwenye
Ubongo kwenda ktta mfungo
wa mzunguko wa damu amcpo
moyo hutiririsha damu kwa kasi

kupita mfumo wa hewa hewa kuchukua hewa aina ya Nitric

Oxide hadi mfumo wa uzazi na
haswa kucmamisha uume tayari
kwa tendo la ndoa na ili uume
ucmame na idumu kucmama
lazima kuwe na uwiano mzuri wa damu,hewa na
madini..AUARI YA

PUNYETO:Unapopiga
punyeto,kujichua au kujisaga
walazimisha mifumo yote

minne ya mwili navyo ni Mfumo Fahamu,Mfumo wa mzunguko

wa damu,Mfumo wa hewa na
Mfumo wa Uzazi kufanya
kitendo ambacho kwa wakati
huo havipo tayari kufanya kwa

wakati huo'Condtitioned Reflex' hali hii humfanya mtendaji

kujenga mazoea'Addiction' na
kumletea madhara kama
kupungukiwa au kuishiwa
nguvu za kiume,kukosa hamu

ya tendo,ucridi wakati wa tendo,kvokufika

kileleni,kulegeza misuli
inayocmamisha uume'Jugular
muscle'na ndo maana wahanga
wengi wa tatizo hl huwahi

kufika kileleni'Pre Mavre ejaculations',uume wao hulegea

pindi wanapotaka kufanya
tendo'Weak erections'hvoa
manii dhaifu,hukosa mccmko
kabla,wakati na mwisho wa

tendo kifupi hufanya tendo almuradi ni tendo nk.Hali hii

husacbishwa na nguvu nyingi
inayotumika wakati wa
kujichua au

kujisaga.UCHUMGUZI:Ni vema
muathrka amuone Daktari ampe maelezo ya kina kuhusu
athari za sasa ndiposa apewe
maelekezo ya tiba kvokana na
ukbwa au udgo wa

tatizo..
TIBA:Hutolewa kutokana
na ukubwa au udgo wa tatizo na kwa vile wahanga huathrka
kimwili na khakili ni vema
apewe
ushauri'Counselling',apate
maticbu ya kuboresha mfumo

fahamu ili amri ya vitendo hiria ya asili irejee ktka hali ya

kawaida na apate huduma ya
kuimarisha upya viungo vya
uzazi na pia misuli zilizolegea.

HAYA WALE WALIOKUWA WANAPIGA PUNYETO NA NGUVU ZAO KWA SASA ZIMEPUNGUWA APITIE THREAD YANGU HII HAPA BONYEZA. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…