Mh ! mimi hapo nashindwa kuelewa, je hiyo si ni sawa na kupigwa katerelo? maana na yenyewe si inasugua kisimi? maana ukizoea kufanyiwa katerelo alafu siku usipofanyiwa unaona kama vile hujalala na mwanaume, maana unakuwa adictable na hiyo kitu. mm naona ni sawa na mwanamke anavyojisaidia mwenyewe. ingawa nilikuwa sifahamu kama na sisi tunaweza kujifanyia wenyewe.:becky::becky::becky:,
Naomba ufafanuzi kwenu kaka Kiiza, kaka mtambuzi,rutashubanyuma , watu nane ,na wengine