Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Habari zenu wana JF,

Mimi ni mvulana wa miaka 24, nina tatizo la kuwahi kufika kileleni. Tangu shule ya msingi hadi Sekondari nimesoma shule ya boarding ila ya sekondari ilikuwa ni boys school.

Muda wote huo hadi nafika miaka 23 sikuwahi kufanya tendo la ndoa, hivyo nimekuwa nikipiga punyeto tangu darasa la 6 hadi nilipofika form four. Mwaka mpya nilibahatika kupata mwanamke. Katika kutaka kukutana naye kimwili kilichoniumiza ni kuwa nilimuandaa vizuri lakini ile kutaka tu kumuingilia hata dakika haikuisha nikamaliza na kushindwa kuendelea.

Juzi tena tumejaribu na hali imejirudia hiyo hiyo. Naomba ushauri wenu nifanye nini ili niwe nachelewa kumaliza? Bila kwenda hospitali mazoezi yanasaidia? Tafadhali nisaidieni mawazo katika hili tatizo langu.

Asanteni.

Sasa mkuu hili tatizo lako ni sugu, unatakiwa kujiandaa kisaikolojia kwanza
 
Mimi namshauri aachane kabisa na jambo linaloitwa punyeto. Madhara ya punyeto baadaye ndiyo kama hayo. Lakini usiwe na shaka unaweza kurudi vizuri kwa kuchukua hatua ya kuachana na punyeto na kuweza kutafuta lishe nzuri ya kufanya urudi katika hali ya kawaida. Mojawapo ya lishe nzuri sana ni REVIVE. Hii ni mojawapo ya products muhimu zilizoandaliwa kiasilia na zisizokuwa na madhara kiafya. Fuatilia maelezo muhimu kwa ajili ya hizi products.

MAGILIM

Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM

  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

WASIOPASWA KUTUMIA

  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14

REVIVE

Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.

KAZI YA REVIVE

  • Kuongeza libido(ashiki au nyege)
  • Kutibu impotence(mahanisi)
  • Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37’’C.
  • Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
  • Kutibu maumivu ya kiuno
  • Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
  • Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
  • Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa


CA + FE + ZI PLUS

  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA

  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA

  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI

  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.


Kwa mawasiliano zaidi: 0776491294, ishealthy@hotmail.com
Gharama za MAGILIM=62500/-
REVIVE=60500/-
CA+FE+ZI Plus=51000/-
 

Attachments

  • MAGILIM.jpg
    MAGILIM.jpg
    15.2 KB · Views: 509
  • REVIVE.jpg
    REVIVE.jpg
    13.9 KB · Views: 215
achaaaa!!! nyeto tamu ww usipime!!!
hakuna uhusiano na boding wala kuwa na demu! ni kitu inajitegemea na feelings zake si mchezo!!!
usiache ila mwambie mwenzio na ukiweza uipige kwa uhuru na furaha, CONQUER YOUR THIRST
 
Mkuu.@dfreym Kwa Tendo la kupiga Punyeto Mkuu Rtd amesha athirika kimwili Nguvu za kiume zimesha punguwa ushauri wako hautaweza

kumsaidia ili aweze kuwa na nguvu za kiume kinachotakikana kwanza kabisa aache kupiga punyeto jambo la

pili atafute Dawa za kuweza kurudisha nguvu zake za kiume.

MAMBO 13 YANAYOSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa nguvu za kiume husababishwa na magonjwa ya moyo, kisukari,mafuta mengi mwilini (high cholesterol), uvutaji sigara, matumizi ya madawa ya kulevya, matatizo katika uhusiano, mawasiliano duni na mwenza wako, matatizo ya kisaikolojia, msongo wa mawazo, wasiwasi(anxiety),unywaji pombe,upungufu wa homoni aina ya testerone, kuongezeka uzito au uzito uliopitiliza, tabia ya kujichua kwa muda mrefu Punyeto (masturbation).

Dawa za nguvu ya Kiume kwamwenye kutaka bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html au wasiliana na mimi kwa njia ya Email nitumie barua ya pepe Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com


ulichokisema Mkuu ni kweli kabisa
mimi nilifanya hako ka machezo kwa miaka 6 na baada ya kufika miaka 3 nilitaman sana kuacha nikwa nafanya
mara moja moja sana saa ingine nakaa wiki moja!
Baada ya kufika sasa mwaka 5 nilinza mchezo na videmu lkn tatzo la kuwah kufika kilelen
likaanza kunicost mpka kufikia msichana wa mwisho kabla sjao huyu niliyenae tayar automatc nilikuwa nilianza kuchukia huu mchezo na kuanza kutafuta tiba na kuuchukia kabisa na wala nilikuwa staki kuusikia hata mtu anayesema hawez kuacha au anayeanza huwa namuonea sana huruma
kilichonisaidia nilikuwa sina kiasi yaan mroho wa kufanya mapenz kwahiyo nilikuwa nikikamata demu
cha 1 nawahi kufika cha 2 na cha 3
anaomba poo!!
Kwahiyo nikisikia mtu anasema anapiga ki1 arafu anawahi kumwaga then hasimamish tena inalala doro huyu tafuten mmbadala wake kwakweli!!!
 
Nikupe pole sana..lkn sio kama hivyo misuli imechoka na haswa kwa mazoea ya kupga nyetp bao moja kisha huendelei sasa hapo kisaikojia pameathilika na namna tendo linavyofanyika. Mi msaada wangu kwako ni huu
..kula msosi wa kutosha kabla ya kujamii na mkeo, fanya mazoezi mara kwa mara., pia zingatia aina ya vyakula pendea kula kwa wingi jamii ya nafaka kama karanga, korosho kwa ajili ya kuongeza ashki.
Usiache kula tikiti maji, papai na parachichi daily...ukifanya hivi man kwa muda mfupi tu utaona changes za nguvu na utaenjoy game vere well.!
 
hiii kitu me nimeanza kupga toka darasa la saba na sahv nko chuo mwaka wa tatu ila sion kama inamadhara, maana nikikutana na dem mpango unakuwa poua xo nadhani jamaaa endeleza hii kitu itakupunguzia mawazo,gharama,kupoteza muda na usumbufu wowote toka kwa madem
 
Unakojoa haraka kwa sababu hujawahi kutana na hiyo kitu hivyo akili inachanganyikiwa.

Next time piga punyeto ukojoe kabla hujakutana na demu wako halafu paka mchina. kesho utakuja nisimulia, manake mtaa mzima watajua mkuu uko kazini
 
Habari zenu wana JF,

Mimi ni mvulana wa miaka 24, nina tatizo la kuwahi kufika kileleni. Tangu shule ya msingi hadi Sekondari nimesoma shule ya boarding ila ya sekondari ilikuwa ni boys school.

Muda wote huo hadi nafika miaka 23 sikuwahi kufanya tendo la ndoa, hivyo nimekuwa nikipiga punyeto tangu darasa la 6 hadi nilipofika form four. Mwaka mpya nilibahatika kupata mwanamke. Katika kutaka kukutana naye kimwili kilichoniumiza ni kuwa nilimuandaa vizuri lakini ile kutaka tu kumuingilia hata dakika haikuisha nikamaliza na kushindwa kuendelea.

Juzi tena tumejaribu na hali imejirudia hiyo hiyo. Naomba ushauri wenu nifanye nini ili niwe nachelewa kumaliza? Bila kwenda hospitali mazoezi yanasaidia? Tafadhali nisaidieni mawazo katika hili tatizo langu.

Asanteni.

Pole mwenzetu kwa kuota nywele mikononi mithali ya gorilla, maana unaambiwa mchapa nyeto utamjuwa tu kwa kuwa na nywele kibao mikononi (viganjani). Hivi ulikuwa unashuka vingapi kwa siku mpaka ukawa mdhaifu kihivyo? Je, kule shuleni mlikuwa na mashindano ya kupiga nyeto? Sasa iweje mwenzetu umeathiriwa kihivyo?
 
kwaza fahamu kuwa wewe si mgonjwa. ni mzima sema hako kamchezo haujakapatia.

cha kwanza, inaonesha mwenza wako hakuandai baada ya wewe kufika kwa mara ya kwanza. ndiyo maana unashindwa kusimamisha tena, pia inaonesha unamfadhaiko, na unapoingia ulingoni unahisi huwezi, hivyo unakuwa umeshashindwa hata kabla ya mchezo.

CHA KUFANYA.
1. JIAMINI KUWA HAUNA TATIZO
2. UNAPOFANYA TENDO, JARIBU KUPELEKA MAWAZO SEHEMU NYINGINE NA SIYO KWENYE TENDO (WAZA MENGINE, HATA KAMA NI SHIDA, LABDA MADENI, KODI YA NYUMBA, NA MENGINE YATAKAYO CHOTA MAWAZO).
3. PIA KAMA UNAWAHI KABLA HATA YA DKK 1, FANYA KITU KIMOJA, MUANDAE MWENZA WAKO SANA ILA USIMRUHUSU AKUANDAE, HII ITAPELEKEA KUCHELEWA KIDOGO.
4. PIA UNAWEZA KUVAA CONDOM, SOMETIMES HUSAIDIA KUMFANYA MTU ACHELEWE, PIA ITAKULINDA NA MAAMBUKIZO.
5.PIA UNAWEZA KUWA UNAMALIZIA NJE, YAANI UKITAKA KUFIKIA KILELENI, UWE UNACHOMOA (Kwa kitaalamu wanaita withdrawal), PIA ITAKUSAIDIA KUFANYA UUME WAKO USILALE, KWANI KWA KUMALIZIA NDANI NDO KUNAKOLAZA UUME WAKO.
6.PIA KUNAPO FIKA KWA MARA YA KWANZA NA BADO IKALALA, JARIBU KUMWAMBIA MWEZA WAKO AKUTOMASE TOMASE, AKUAMBIE MANENO MATAMU (wengine hupenda kuambiwa rude words, kama honey leo kweli ume...... kweli kweli, n.k),
PIA KAMA HAKUKUANDAA MARA YA KWANZA BASI HUU NDO MUDA WA KUKUANDAA. VILIVYO... BILA SHAKA JOGOO ATASIMAMA TU.
7.PIA ANAWEZA KUKUNYONYA UUME, PINDI UNAPOMALIZA KABLA HII, ITAKUSAIDIA KUSIMAMISHA.
8. ILI YOTE HAYA YAFANIKIWE UNATAKIWA UWE NA MPENZI MMOJA, PIA MUELEZE NA MUELEKEZE TATIZO LAKO NA KWA MSAADA WAKE NA WAKO MSAIDIANE, MTAANIKIWA.

UKISHINDWA NA HAYO BASI MUONE DAKTARI.

SAMAHANI WANABODI KAMA NIMETUMIA MANENO YENYE UKAKASI
MUNGU Wangu SOMETIMES anaweza kuvaa condom!
 
toa mafikilio ya utamu wakati unafanya mapenzi.
dada white umemaliza kazi, asiendelee tena kusoma thread za ushauri!!
Hii ndio dawa pekee hakuna nyingine....................sexual intercourse to ejaculation time ni swala la hisia tu hakuna uchawi mwingine!! Hata km anataka asikojoe masaa 4 mfululizo na zaidi anaweza, ili mradi tu afanye tight control ya hisia zake kwenye tendo!! bhaaaaaaaaaaaaassssssssssssssssss!!!!

Thx!!
 
Last edited by a moderator:
Pole mwenzetu kwa kuota nywele mikononi mithali ya gorilla, maana unaambiwa mchapa nyeto utamjuwa tu kwa kuwa na nywele kibao mikononi (viganjani). Hivi ulikuwa unashuka vingapi kwa siku mpaka ukawa mdhaifu kihivyo? Je, kule shuleni mlikuwa na mashindano ya kupiga nyeto? Sasa iweje mwenzetu umeathiriwa kihivyo?

msaidie usimvunje moyo...............pale ana wakati mgumu sana, wanaume wanaelewa vizuri!!
Just soma story yake..........yaani ndo the first time anadu halafu inakuwa majanga, ila pia kaepuka mengi kwa mfano uzinzi angali mdogo na pengine imemsaidia kutulia na shule!!

You know what most men almost 90% wamewah kupitia punyeto time............yawezekana ww, mm na yule hawajawah kupitia ila yawezekana pia yule na wengne wamewahi kupitia..........who knows?!

Ahsante!!
 
kwaza fahamu kuwa wewe si mgonjwa. ni mzima sema hako kamchezo haujakapatia.

cha kwanza, inaonesha mwenza wako hakuandai baada ya wewe kufika kwa mara ya kwanza. ndiyo maana unashindwa kusimamisha tena, pia inaonesha unamfadhaiko, na unapoingia ulingoni unahisi huwezi, hivyo unakuwa umeshashindwa hata kabla ya mchezo.

CHA KUFANYA.
1. JIAMINI KUWA HAUNA TATIZO
2. UNAPOFANYA TENDO, JARIBU KUPELEKA MAWAZO SEHEMU NYINGINE NA SIYO KWENYE TENDO (WAZA MENGINE, HATA KAMA NI SHIDA, LABDA MADENI, KODI YA NYUMBA, NA MENGINE YATAKAYO CHOTA MAWAZO).
3. PIA KAMA UNAWAHI KABLA HATA YA DKK 1, FANYA KITU KIMOJA, MUANDAE MWENZA WAKO SANA ILA USIMRUHUSU AKUANDAE, HII ITAPELEKEA KUCHELEWA KIDOGO.
4. PIA UNAWEZA KUVAA CONDOM, SOMETIMES HUSAIDIA KUMFANYA MTU ACHELEWE, PIA ITAKULINDA NA MAAMBUKIZO.
5.PIA UNAWEZA KUWA UNAMALIZIA NJE, YAANI UKITAKA KUFIKIA KILELENI, UWE UNACHOMOA (Kwa kitaalamu wanaita withdrawal), PIA ITAKUSAIDIA KUFANYA UUME WAKO USILALE, KWANI KWA KUMALIZIA NDANI NDO KUNAKOLAZA UUME WAKO.
6.PIA KUNAPO FIKA KWA MARA YA KWANZA NA BADO IKALALA, JARIBU KUMWAMBIA MWEZA WAKO AKUTOMASE TOMASE, AKUAMBIE MANENO MATAMU (wengine hupenda kuambiwa rude words, kama honey leo kweli ume...... kweli kweli, n.k),
PIA KAMA HAKUKUANDAA MARA YA KWANZA BASI HUU NDO MUDA WA KUKUANDAA. VILIVYO... BILA SHAKA JOGOO ATASIMAMA TU.
7.PIA ANAWEZA KUKUNYONYA UUME, PINDI UNAPOMALIZA KABLA HII, ITAKUSAIDIA KUSIMAMISHA.
8. ILI YOTE HAYA YAFANIKIWE UNATAKIWA UWE NA MPENZI MMOJA, PIA MUELEZE NA MUELEKEZE TATIZO LAKO NA KWA MSAADA WAKE NA WAKO MSAIDIANE, MTAANIKIWA.

UKISHINDWA NA HAYO BASI MUONE DAKTARI.

SAMAHANI WANABODI KAMA NIMETUMIA MANENO YENYE UKAKASI

Ushauri mzuri mkuu. Ila kama akiwazia madeni si mpenziwe ataona kabisa hawavi pamoja???
 
kwaza fahamu kuwa wewe si mgonjwa. ni mzima sema hako kamchezo haujakapatia.

cha kwanza, inaonesha mwenza wako hakuandai baada ya wewe kufika kwa mara ya kwanza. ndiyo maana unashindwa kusimamisha tena, pia inaonesha unamfadhaiko, na unapoingia ulingoni unahisi huwezi, hivyo unakuwa umeshashindwa hata kabla ya mchezo.

CHA KUFANYA.
1. JIAMINI KUWA HAUNA TATIZO
2. UNAPOFANYA TENDO, JARIBU KUPELEKA MAWAZO SEHEMU NYINGINE NA SIYO KWENYE TENDO (WAZA MENGINE, HATA KAMA NI SHIDA, LABDA MADENI, KODI YA NYUMBA, NA MENGINE YATAKAYO CHOTA MAWAZO).
3. PIA KAMA UNAWAHI KABLA HATA YA DKK 1, FANYA KITU KIMOJA, MUANDAE MWENZA WAKO SANA ILA USIMRUHUSU AKUANDAE, HII ITAPELEKEA KUCHELEWA KIDOGO.
4. PIA UNAWEZA KUVAA CONDOM, SOMETIMES HUSAIDIA KUMFANYA MTU ACHELEWE, PIA ITAKULINDA NA MAAMBUKIZO.
5.PIA UNAWEZA KUWA UNAMALIZIA NJE, YAANI UKITAKA KUFIKIA KILELENI, UWE UNACHOMOA (Kwa kitaalamu wanaita withdrawal), PIA ITAKUSAIDIA KUFANYA UUME WAKO USILALE, KWANI KWA KUMALIZIA NDANI NDO KUNAKOLAZA UUME WAKO.
6.PIA KUNAPO FIKA KWA MARA YA KWANZA NA BADO IKALALA, JARIBU KUMWAMBIA MWEZA WAKO AKUTOMASE TOMASE, AKUAMBIE MANENO MATAMU (wengine hupenda kuambiwa rude words, kama honey leo kweli ume...... kweli kweli, n.k),
PIA KAMA HAKUKUANDAA MARA YA KWANZA BASI HUU NDO MUDA WA KUKUANDAA. VILIVYO... BILA SHAKA JOGOO ATASIMAMA TU.
7.PIA ANAWEZA KUKUNYONYA UUME, PINDI UNAPOMALIZA KABLA HII, ITAKUSAIDIA KUSIMAMISHA.
8. ILI YOTE HAYA YAFANIKIWE UNATAKIWA UWE NA MPENZI MMOJA, PIA MUELEZE NA MUELEKEZE TATIZO LAKO NA KWA MSAADA WAKE NA WAKO MSAIDIANE, MTAANIKIWA.

UKISHINDWA NA HAYO BASI MUONE DAKTARI.

SAMAHANI WANABODI KAMA NIMETUMIA MANENO YENYE UKAKASI

umetisha hakuna cha kuongezea hapo haya kijana kazi kwako halafu hivi vimchezo vyenu vya punyeto acheni oooh! Haya
 
Unazidi kujiharibu kwa negative thoughts zako.
Punyeto mi nimepiga sana, tena hata leo nimetoka vibao vyangu vinne tu.
Wee amini kwamba unaweza kulast muda mrefu kwenye game thats all, na pia ukiwa unamsugua huyo dadalao, uwe unaona kama unataka kufumaniwa vile, au uwe unajijengea mapicha ya kutisha tisha, utajikuta umeenda hadi dakika ya kumi na saba, muda ambao ni mzuri kabisa kwa kumfikisha mwenzako LYAMBA LYA MFIPA.
Pia ikiona unataka kumimina lava, chomoka, mchezee mwenzio, mzuka ushuke, kisha change stle.
Kwa mambinu zaidi njoo chuoni kwangu, pale Mwananyamala
Habari zenu wana JF,

Mimi ni mvulana wa miaka 24, nina tatizo la kuwahi kufika kileleni. Tangu shule ya msingi hadi Sekondari nimesoma shule ya boarding ila ya sekondari ilikuwa ni boys school.

Muda wote huo hadi nafika miaka 23 sikuwahi kufanya tendo la ndoa, hivyo nimekuwa nikipiga punyeto tangu darasa la 6 hadi nilipofika form four. Mwaka mpya nilibahatika kupata mwanamke. Katika kutaka kukutana naye kimwili kilichoniumiza ni kuwa nilimuandaa vizuri lakini ile kutaka tu kumuingilia hata dakika haikuisha nikamaliza na kushindwa kuendelea.

Juzi tena tumejaribu na hali imejirudia hiyo hiyo. Naomba ushauri wenu nifanye nini ili niwe nachelewa kumaliza? Bila kwenda hospitali mazoezi yanasaidia? Tafadhali nisaidieni mawazo katika hili tatizo langu.

Asanteni.
 
Kwa kawaida raundi ya 2 inachukua muda zaidi ya raundi ya 1, so ukiwa na game piga nyeto kwanza may be 30minutes kabla ya game ili usije ukapata shida ya jamaa kusimama, then nenda kwenye game ambapo sasa hiyo itakuwa raundi ya 2 ambayo definetely itachukua muda. Ukiweza kufanya vizuri (kudumu kwenye game kwa muda mrefu) mara moja tu itakujengea confidence na utajifunza namna ya control na utaachana kabisa na nyeto.

ila jamaa umesema ukwel, acheze na hisia mm nahakikisha shemejio kafka ndo ananitafuta na mie
 
Fanya kegel's exercise (hebu google).
Lakini kwa ajili ya kutomzoea, inaweza kutokea. Relax, jipe muda. Shukuru Mungu unafika kilele, kuna matatizo humu mjini?
King'asti una visa wewe!,Mungu umemfanya kama mama ntilie.Yaani uzinzi na uzinifu unashauri ashukuru Mungu,u crazy.Jamaa naye ana pepo la uasherati tangu darasa la sita unaanza kupiga nyeto? ,umenifanya nishangae sana.Mie nimepiga shule zote o na A C education na vimwana bomba lakini sikuwahi kupiga nyeto wala kugonga na tulikuwa tunasoma na mabinti bomba tu.Jiangalie vizuri una pepo la uzinzi siyo bure
 
Last edited by a moderator:
Mi natatizo la kuchelewa kufikia lengo. Sometymz mpaka nafumaniwa. Bro naomba tubadilishane ugonjwa kama vp.
 
Piga nyeto kwa afya ila wewe umezidi miaka yote hiyo hujagusa mbunye halafu unataka uwe fit kivipi!?
 
Unazidi kujiharibu kwa negative thoughts zako.
Punyeto mi nimepiga sana, tena hata leo nimetoka vibao vyangu vinne tu.
Wee amini kwamba unaweza kulast muda mrefu kwenye game thats all, na pia ukiwa unamsugua huyo dadalao, uwe unaona kama unataka kufumaniwa vile, au uwe unajijengea mapicha ya kutisha tisha, utajikuta umeenda hadi dakika ya kumi na saba, muda ambao ni mzuri kabisa kwa kumfikisha mwenzako LYAMBA LYA MFIPA.
Pia ikiona unataka kumimina lava, chomoka, mchezee mwenzio, mzuka ushuke, kisha change stle.
Kwa mambinu zaidi njoo chuoni kwangu, pale Mwananyamala
Bujibujinimekusoma mkuu nina mwanafunzi wangu nitakuletea umpe hiyo shule.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom