Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?
Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.
naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa
Dawa yake ni kupiga vitu live nyama kwa nyamaaaa
Hakuna tiba, madhara yake ni Ushoga...
Hahahaah!! Mkuu umeuwa.......hili tatizo limekua sugu... serikali haina budi kutangaza state of emergency,
Hakuna tiba, madhara yake ni Ushoga...
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?
Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.
naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa
....hili tatizo limekua sugu... serikali haina budi kutangaza state of emergency,
Habari zenu wana JF,
Mimi ni mvulana wa miaka 24, nina tatizo la kuwahi kufika kileleni.
Tangu shule ya msingi hadi Sekondari nimesoma shule ya boarding ila ya
sekondari ilikuwa ni boys school.
Muda wote huo hadi nafika miaka 23 sikuwahi kufanya tendo la ndoa, hivyo
nimekuwa nikipiga punyeto tangu darasa la 6 hadi nilipofika form four.
Mwaka mpya nilibahatika kupata mwanamke. Katika kutaka kukutana naye
kimwili kilichoniumiza ni kuwa nilimuandaa vizuri lakini ile kutaka tu
kumuingilia hata dakika haikuisha nikamaliza na kushindwa kuendelea.
Juzi tena tumejaribu na hali imejirudia hiyo hiyo. Naomba ushauri wenu
nifanye nini ili niwe nachelewa kumaliza? Bila kwenda hospitali mazoezi
yanasaidia? Tafadhali nisaidieni mawazo katika hili tatizo langu.
Asanteni.