Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Kama haujaanza kupga puchu usianze,me kila nikijitahidi kuacha nnashindwa,hla nye.to raha jamani unajipimia mwenyewe saizi unayotaka cyo dem mara k kubwa huku hamna unajipimia
 
basi usitafute papuchi kama utamu unazidiana piga puchu tu inakutosha
 
HIli ni pepo kabisa, kama unafanya hivyo,omba Mungu akusaidie uache. ni roho, inaweza ikakaribisha hata roho chafu wenzie, ukajikuta haujakuwa mtu wa kueleweka kabisa. its sin and I rebuke it in the Mighty Name of Jesus Christ. Amin.
kwanini baada ya miaka 20 hakuna makuaji tena
 
Heshima kwenu wadau,

Nimekuwa nikipufa punyeto walau mara 5 kwa siku. Mchezo huu niliunza mwaka 2008 mpaka sasa naendelea.

Nikiwa boarding kuuacha nilishindwa, nilivyooa nikapunguza kasi... Sasa mke yupo likizo takriban miez 2, mpaka muda huu naandika huu uzi najiandaa kupiga cha tano.....

Natamani niache; je, nitumie njia gani?
 
Heshima kwenu wadau.mchezo niliunza mwaka 2008.mpaka .....nikiwa boarding kuuacha nilishindwa....nilivyooa nikapunguza kasi.....sasa mke yupo likizo takriban miez 2..mpaka muda huu naandika huu uzi najiandaa kupiga cha tano.....natamani niache.je nitumie njia gani?

Hapo pamenifanya nicheke saaaana. Dah pole sana ndugu yangu.
 
kama ni computer ningesema you are running in low disk space, umri wako plse? . halina haja ya kulileta hapa vijana wote wa mashuleni ,vyuo ndiyo kamchezo kao hako inabaki tu ni siri zao . wewe ungetulia tu unafikiri kuna atakayekupa advice hapo? , ukikua utaacha
 
Heshima kwenu wadau.mchezo niliunza mwaka 2008.mpaka .....nikiwa boarding kuuacha nilishindwa....nilivyooa nikapunguza kasi.....sasa mke yupo likizo takriban miez 2..mpaka muda huu naandika huu uzi najiandaa kupiga cha tano.....natamani niache.je nitumie njia gani?

Hapo pamenifanya nicheke saaaana. Dah pole sana ndugu yangu.

ni kweli inachekesha....ila binafsi inanitesa kimawazo.....
 
kama ni computer ningesema you are running in low disk space, umri wako plse? . halina haja ya kulileta hapa vijana wote wa mashuleni ,vyuo ndiyo kamchezo kao hako inabaki tu ni siri zao . wewe ungetulia tu unafikiri kuna atakayekupa advice hapo? , ukikua utaacha

mpaka sasa nina 28yrs....tatizo ni kwamba anapokuwepo wife huwa napunguza kasi mpaka 1 kwa siku na zilizobak anabeba wife.....sasa najiuliza kwa nini najitesa....nakosa majibu..
 
Hakuna shida we piga tu,ama jaribu kukompare HIV/AIDS na punyeto,tena kwa kpndi hk mkeo huyupo we pga tu.
Punyeto ni safe sex iliyothibitshwa.
 
mpaka sasa nina 28yrs....tatizo ni kwamba anapokuwepo wife huwa napunguza kasi mpaka 1 kwa siku na zilizobak anabeba wife.....sasa najiuliza kwa nini najitesa....nakosa majibu..
ndugu yangu dunia ya leo ukikosa majibu kwa mambo mepesi jua una uvamizi ambao siyo rasmi , na mara nyingi huwa uvamizi huo unaanza muda mrefu kidogo , basi haraka tafuta njia ya mungu , ndiyo silaha pekee kwa kujitoa kuwa mtumwa wa shetani , fikiria na jitambue
 
Hilo kamaunaimani yadini mtafute kiongozi wako wakiroho akusaidie ushauri ilahao watoto unao waua kwa punyeto maana kila baoni sehemu ya mtoto mungu atakuhukum2
 
mpaka sasa nina 28yrs....tatizo ni kwamba anapokuwepo wife huwa napunguza kasi mpaka 1 kwa siku na zilizobak anabeba wife.....sasa najiuliza kwa nini najitesa....nakosa majibu..

sikia nikupe dawa iliwahi kunisaidia...kula pilipili kila mlo wako ukifikia muda wa kupiga nyeto ukishika uume wako tu ile pilipili itakuwasha mpaka hamu ya nyeto siku hiyo inaisha
 
Nyege Mshindo hizo.... ongezea na super shafti upige hadi nguzu ziishe kabisa...
 
duh daily unapiga tano wewe ni noma mkuu unaweza kutembea vema kweli? Picha za ngono huwa zinashawishi sana kama unatazama uache then hamu ya kupiga itaisha pia usiwe mwenyewe muda mwingi unaohisi ni wa hatari,fanya mazoezi ya nguvu ukisikia hamu hiyo
 
Back
Top Bottom