Hivo vitau bongo hatuna mwagizie toka ulaya umsaidie
Heshima kwenu wadau.mchezo niliunza mwaka 2008.mpaka .....nikiwa boarding kuuacha nilishindwa....nilivyooa nikapunguza kasi.....sasa mke yupo likizo takriban miez 2..mpaka muda huu naandika huu uzi najiandaa kupiga cha tano.....natamani niache.je nitumie njia gani?
Hapo pamenifanya nicheke saaaana. Dah pole sana ndugu yangu.
mkuu mpiga punyeto izo goli tano unapga mfulululizo ama?!
!
!
safi sana usiache kupiga mkuu kwani ina faida nyingi mno,baadhi ni kama hizi zifuatazo
1. haina gharama
2. unaipata kwa wakati
3. unajipimia size na mlainisho
4. haina ngoma
5. inaokoa muda wa kutongoza
6. inaepusha maugomvi
7...............
8................
9...:........:...
10 ..:..........
ni pm nikumalizie faida zingine kwani huwa napigaga pia,ila nimeiboresha zaidi....tamu sana hiyo makitu
yani wewe unamshauri mwenzi ujinga!!
hebu tuambie kama na wewe unafanya hivyo!!
Madhara ni kama vile kujiathiri kisaikolojia kwamba hutokuwa na hisia na mkeo/mwenza zaidi utakuwa unajimasturbate. Mwishowe hata uone uchi wa mwanamke hautakuwa na hisia za kuamsha uume
Pia kuna tatizo la kulegeza mishipa ya uume kiasi cha kuufanya uume usinyae usiwe na uwezo wa kuerect.