Punyeto ni nini na nini madhara yake?
typing error tu ndugu nlimaanisha VITABU...
natumai kaelewa
Kwa upeo tu wa kawaida nadhani nawe ulielewa namaanisha nini.
hivi vinakilishi tumeletewa sio jadi yetu tulizoea kuandikia kalamu za bic na epica

Hivo vitau bongo hatuna mwagizie toka ulaya umsaidie
 
duh kweli duniani kuna mambo hivi mtu una hisia gani mpk unapiga mara tano punyeto moja tu shughuli,
 
Heshima kwenu wadau.mchezo niliunza mwaka 2008.mpaka .....nikiwa boarding kuuacha nilishindwa....nilivyooa nikapunguza kasi.....sasa mke yupo likizo takriban miez 2..mpaka muda huu naandika huu uzi najiandaa kupiga cha tano.....natamani niache.je nitumie njia gani?

Hapo pamenifanya nicheke saaaana. Dah pole sana ndugu yangu.

kaka yangu mpendwa ushauri mzuri naokupa utakufaa ktk tatizo lako na ipo siku utanikumbuka,
nashauri uaaze mazoezi kwani ni dawa tosha ya kushuhulisha ubongo kutofkiria vitu kama ivo,na chengine utakua bize na uchache wa muda hautokuruhusu kufanya unayoyafanya kwa sababu ya ratiba mpya ya mazoezi utakayoiazisha.
Napia mwili utakua unachoshwa na mazoezi kiasi cha kwamba ukipata kwa wife hutotamani ziada ya jambo lako ulilozoea.
 
pray to God that...he grant u change of mind{repetence}
so tht uache hako kamchezo.
 
Uzi niliupoteza.....Ni kwel ushauri wenu mzuri......lakini hali hii itanichukua muda kuimaliza......
 
mkuu mpiga punyeto izo goli tano unapga mfulululizo ama?!
 
A boy from brazil died from masturbating 42 times a day,41 is the limit so do many times as you can without exceeding the limit...
 
!
!
safi sana usiache kupiga mkuu kwani ina faida nyingi mno,baadhi ni kama hizi zifuatazo
1. haina gharama
2. unaipata kwa wakati
3. unajipimia size na mlainisho
4. haina ngoma
5. inaokoa muda wa kutongoza
6. inaepusha maugomvi
7...............
8................
9...:........:...
10 ..:..........
ni pm nikumalizie faida zingine kwani huwa napigaga pia,ila nimeiboresha zaidi....tamu sana hiyo makitu
 
1. Siamini kama unafanya kazi
2. Kama unafanya kazi basi hutumii akili kwenye kazi zako (punyeto itakufanya usinzie kazini- watakufukuza. Lakini pia punyeto inaondoa kumbukumbu - unasahau sahau sana)
3. Unakula, unalala sana na hufanyi mazoezi yeyote
4. Wewe ni mtu unasumbuliwa na inferiority complexes. Una mipango mingi kwenye maisha ambayo haijawa
5. Huna morals zozote - dead consciousness! Jitahidi utafute reason for living, if you can find one will be really helpful!
 
!
!
safi sana usiache kupiga mkuu kwani ina faida nyingi mno,baadhi ni kama hizi zifuatazo
1. haina gharama
2. unaipata kwa wakati
3. unajipimia size na mlainisho
4. haina ngoma
5. inaokoa muda wa kutongoza
6. inaepusha maugomvi
7...............
8................
9...:........:...
10 ..:..........
ni pm nikumalizie faida zingine kwani huwa napigaga pia,ila nimeiboresha zaidi....tamu sana hiyo makitu

yani wewe unamshauri mwenzi ujinga!!

hebu tuambie kama na wewe unafanya hivyo!!
 
Bila shaka umejazia mkono mmoja maana zaidi ya kwenda gym hiyo,
Endelea kupiga Mkuu mpaka ukiona unatembea upande unainama punguza sasa
 
..Toka nimeandika uzi huu nimepunguza mpaka 3 kila siku.najua ipo siku yatakwisha.....ki ukweli napiga ila nikimaliza tu.najisikia huzuni sana...
 
imenibidi niliweke wazi tu,kupiga punyeto ni jambo linalonisumbua sana kwa muda sasa.Nilianza kpindi nipo o level shule ya bweni ya wanaume kutokana na hali yenyewe ilivyokuwa.Ijapokuwa sasa mpenzi ninaye lkn bado nimeshindwa kuacha,naomba ishauri jinsi ya kuacha punyeto na madhara ambayo yanaambatana na punyeto.
 
Madhara ni kama vile kujiathiri kisaikolojia kwamba hutokuwa na hisia na mkeo/mwenza zaidi utakuwa unajimasturbate. Mwishowe hata uone uchi wa mwanamke hautakuwa na hisia za kuamsha uume

Pia kuna tatizo la kulegeza mishipa ya uume kiasi cha kuufanya uume usinyae usiwe na uwezo wa kuerect.
 
Madhara ni kama vile kujiathiri kisaikolojia kwamba hutokuwa na hisia na mkeo/mwenza zaidi utakuwa unajimasturbate. Mwishowe hata uone uchi wa mwanamke hautakuwa na hisia za kuamsha uume

Pia kuna tatizo la kulegeza mishipa ya uume kiasi cha kuufanya uume usinyae usiwe na uwezo wa kuerect.

Ahsante sana,lkn hv unawezaje kuepuka kitu hiki maana nimeshindwa
 
jimini kama mwanaume wa kawaida ila sio kwamba wanaume sisi hatufanyagi hivo noooooo ni kawaida kwa rijali ila unafanya mara ngapi ilo ndo swla hapo??????kuna muda mtu unashnwa kujizuia unaamua kufanya hivo na pia hata wanasayansi wanasema ni njia salama ya kuondoa hisia/nyege kuliko kwenda kwa malaya uko na kupata ukimwi ,jitaidi kuwa kalibu na mungu afu amini w mwenyewe kuwa unaweza kuacha kabsa
 
Back
Top Bottom