Inakupandikizia roho za kukataliwa, kupoteza kibali mikosi na mabalaa katika mambo yako na pia kukuharibia pale unapojaribu kuanzisha uhusiano rasmi au utajikuta unaachana na mwenzi wako bila hata kupenda , kuishiwa kipato na mwenzio kuanzisha uhusiano si kwamba humridhishi ila tu ili muachane , inakujengea kudhalaulika, kukosa marafiki wa kawaida na peace of mind ili uwaze hiyo kitu tu. Yote ni kwa sababu hiyo kitu ina-attract roho za giza sana nazo zikiona ziMepata mwanya tu zina -capitalize on it ili ziendelee kukupelekesha huko kwa interest zao .kwa hiyo hazitakuacha uwe na relationship stable ili uendelee na huo mchezo. its very spiritual na ujue kuna uhai unakuwa implicated pale na mapepo wana utilize ile spiritual part za hizo un-contaminated sperms katika ulimwengu wa roho .Take it from me from another level of knowledge.
In short inakufanyia cut -off na ulimwengu wa roho. Hivi vitu viko too spiritual utakapojaliwa kupata upeo kidogo wa mambo ya kiroho utanielewa. Wewe test mwezi mmoja acha mwezi mwingine utaona tofauti kubwa sana katika mambo yako. pia inakujengea tabia ya kukosa confidence ya ku - 'attack' wanawake unaowapenda. Mwisho wa siku unajenga tabia ya kutamani hadi vitoto vya darasa la nne.
Chanzo cha ugumu wa kuacha.
kushinda tabia ambazo zimeambatana na ubongo ni kazi halafu jua kabisa control ya hii tabia ukiisha ianza haitokei tena kwenye ubongo. inakua inbuilt kwewnye pituitary grand ambayo kwa uelewa wangu wa bios, pituitary ni superior kwenye ubongo, ina uwezo wa kukomandi ubongo ukafuata.
issue ya pili kwa kusababisha ugumu wa kuacha hii tabia ni hizo issue za kiroho. huwezi kushinda kitu cha rohoni usipokwenda rohoni.
Jinsi ya kuacha,
jiepushekuwa mahali pa faragha peke yako kwa mfano kujipumzisha ndani, kwenda kuogo usiku sana.
kuangalia picha chafu, kutamani wasichana
tafuta mwenzi wako na jitahidi kuambatana naye most of the time
spiritual solution
kuondoa nguvu za roho njia ya mkato ni kufunga na kuutesa mwili pia fanya maombi. maombi yanayobomoa falme za giza kirahisi ni ya usiku wa manane sijui kwanini. mwanzo itakusumbua but with time utayaona yale mateso ya kufunga si kitu tena utayachukia mambo ya mwilini na tamaa zake zote
kama tatizo ni zito sana anza kwanza kwa kufunga kidogo kidogo kuu -condition mwili then nenda kina kirefu,, funga hata siku mbili kavu, hiyo tabia itayeyuka tu then you will leave a happy guiltless life