10x n be blecd umexema kwel 2pu!
 
Punyeto ni mbaya,utashindwa kwa mke wako then utasaidiwa na watu wengine,ok endelelea na kamchezo kako wanaume wa kukusaidia kwa keo wapo.
 
Chabo sio ugonjwa bali ni uraru ambao utakusababishia upige hio punyeto!

Kwa hivyo ili kuwa salama, fuata ushauri wa doctor MziziMkavu !

Tembea na pilipili kichaa mfukoni ! Just incase!!

Kupiga chabo ni ugojwa. Ugonjwa huu umejikita kwenye saikolojia ya mtu. Nikifanukiwa, na kama kuna mahitaji, nitatoa somo juu ya kukwepa changamoto hii ya afya ya akili.
 
Last edited by a moderator:
Chabo sio ugonjwa bali ni uraru ambao utakusababishia upige hio punyeto!

Kwa hivyo ili kuwa salama, fuata ushauri wa doctor MziziMkavu !

Tembea na pilipili kichaa mfukoni ! Just incase!!
kahtaan so jamaa akiona genye zinapanda anachukua plpl kichaa anapaka! Duh inshtaj moyo
 
Last edited by a moderator:
Kupiga chabo ni ugojwa. Ugonjwa huu umejikita kwenye saikolojia ya mtu. Nikifanukiwa, na kama kuna mahitaji, nitatoa somo juu ya kukwepa changamoto hii ya afya ya akili.

Kwa kweli nami nakuunga mkono, chabo ni ugonjwa. Kimbori utoe hilo somo ili na kahtaan anufaike
 
Last edited by a moderator:
Jamani naomba mnisaidie kujua, nina dada yangu ana ndoa yake, lakini kashindwa kabisa kuacha kufanya punyeto licha ya kuwa mumewe anamridhisha kitandani.
Tumsaidieje?
 
hayo ni maradhi ...hasa ya akili...ni vyema utafute mtu wa kukufanyia counseling....kwani kadri umri unavyozidi kuna uwezekano wa kuugua uwendawazimu.....
 
Hamna cha dada hapa wala kaka,ni wewe,just keep ur self busy usipate muda wa kujitia vidole
 
Najibu kichwa cha habari. Haiwezekani kirahisi kuacha kwa sababu zifuatazo.

1. Haifanyiki hadharani
2. Inahitaji uamuzi na kuusimamia ambao wengi hawataki
3. Haika gharama za kifedha
4. Madhara yake ni mabaya sana ila sio ya papo kwa papo
5. Mtu anajitosheleza kila atakapo na hahitaji kwenda hotelini au guest house
6. Inaleta ukilema ambao hauonekani kwa macho ila unamuumiza sana mhusika.

Ili mtu aache ni lazima kuchukua uamuzi na kuusimamia.


Jamani naomba mnisaidie kujua, nina dada yangu ana ndoa yake, lakini kashindwa kabisa kuacha kufanya punyeto licha ya kuwa mumewe anamridhisha kitandani.
Tumsaidieje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…