Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Inakupandikizia roho za kukataliwa, kupoteza kibali mikosi na mabalaa katika mambo yako na pia kukuharibia pale unapojaribu kuanzisha uhusiano rasmi au utajikuta unaachana na mwenzi wako bila hata kupenda , kuishiwa kipato na mwenzio kuanzisha uhusiano si kwamba humridhishi ila tu ili muachane , inakujengea kudhalaulika, kukosa marafiki wa kawaida na peace of mind ili uwaze hiyo kitu tu. Yote ni kwa sababu hiyo kitu ina-attract roho za giza sana nazo zikiona ziMepata mwanya tu zina -capitalize on it ili ziendelee kukupelekesha huko kwa interest zao .kwa hiyo hazitakuacha uwe na relationship stable ili uendelee na huo mchezo. its very spiritual na ujue kuna uhai unakuwa implicated pale na mapepo wana utilize ile spiritual part za hizo un-contaminated sperms katika ulimwengu wa roho .Take it from me from another level of knowledge.

In short inakufanyia cut -off na ulimwengu wa roho. Hivi vitu viko too spiritual utakapojaliwa kupata upeo kidogo wa mambo ya kiroho utanielewa. Wewe test mwezi mmoja acha mwezi mwingine utaona tofauti kubwa sana katika mambo yako. pia inakujengea tabia ya kukosa confidence ya ku - 'attack' wanawake unaowapenda. Mwisho wa siku unajenga tabia ya kutamani hadi vitoto vya darasa la nne.

Chanzo cha ugumu wa kuacha.

kushinda tabia ambazo zimeambatana na ubongo ni kazi halafu jua kabisa control ya hii tabia ukiisha ianza haitokei tena kwenye ubongo. inakua inbuilt kwewnye pituitary grand ambayo kwa uelewa wangu wa bios, pituitary ni superior kwenye ubongo, ina uwezo wa kukomandi ubongo ukafuata.
issue ya pili kwa kusababisha ugumu wa kuacha hii tabia ni hizo issue za kiroho. huwezi kushinda kitu cha rohoni usipokwenda rohoni.

Jinsi ya kuacha,
jiepushekuwa mahali pa faragha peke yako kwa mfano kujipumzisha ndani, kwenda kuogo usiku sana.
kuangalia picha chafu, kutamani wasichana

tafuta mwenzi wako na jitahidi kuambatana naye most of the time


spiritual solution

kuondoa nguvu za roho njia ya mkato ni kufunga na kuutesa mwili pia fanya maombi. maombi yanayobomoa falme za giza kirahisi ni ya usiku wa manane sijui kwanini. mwanzo itakusumbua but with time utayaona yale mateso ya kufunga si kitu tena utayachukia mambo ya mwilini na tamaa zake zote
kama tatizo ni zito sana anza kwanza kwa kufunga kidogo kidogo kuu -condition mwili then nenda kina kirefu,, funga hata siku mbili kavu, hiyo tabia itayeyuka tu then you will leave a happy guiltless life

10x n be blecd umexema kwel 2pu!
 
Punyeto ni mbaya,utashindwa kwa mke wako then utasaidiwa na watu wengine,ok endelelea na kamchezo kako wanaume wa kukusaidia kwa keo wapo.
 
Chabo sio ugonjwa bali ni uraru ambao utakusababishia upige hio punyeto!

Kwa hivyo ili kuwa salama, fuata ushauri wa doctor MziziMkavu !

Tembea na pilipili kichaa mfukoni ! Just incase!!

Kupiga chabo ni ugojwa. Ugonjwa huu umejikita kwenye saikolojia ya mtu. Nikifanukiwa, na kama kuna mahitaji, nitatoa somo juu ya kukwepa changamoto hii ya afya ya akili.
 
Last edited by a moderator:
Chabo sio ugonjwa bali ni uraru ambao utakusababishia upige hio punyeto!

Kwa hivyo ili kuwa salama, fuata ushauri wa doctor MziziMkavu !

Tembea na pilipili kichaa mfukoni ! Just incase!!
kahtaan so jamaa akiona genye zinapanda anachukua plpl kichaa anapaka! Duh inshtaj moyo
 
Last edited by a moderator:
Kupiga chabo ni ugojwa. Ugonjwa huu umejikita kwenye saikolojia ya mtu. Nikifanukiwa, na kama kuna mahitaji, nitatoa somo juu ya kukwepa changamoto hii ya afya ya akili.

Kwa kweli nami nakuunga mkono, chabo ni ugonjwa. Kimbori utoe hilo somo ili na kahtaan anufaike
 
Last edited by a moderator:
Jamani naomba mnisaidie kujua, nina dada yangu ana ndoa yake, lakini kashindwa kabisa kuacha kufanya punyeto licha ya kuwa mumewe anamridhisha kitandani.
Tumsaidieje?
 
hayo ni maradhi ...hasa ya akili...ni vyema utafute mtu wa kukufanyia counseling....kwani kadri umri unavyozidi kuna uwezekano wa kuugua uwendawazimu.....
 
Hamna cha dada hapa wala kaka,ni wewe,just keep ur self busy usipate muda wa kujitia vidole
 
Najibu kichwa cha habari. Haiwezekani kirahisi kuacha kwa sababu zifuatazo.

1. Haifanyiki hadharani
2. Inahitaji uamuzi na kuusimamia ambao wengi hawataki
3. Haika gharama za kifedha
4. Madhara yake ni mabaya sana ila sio ya papo kwa papo
5. Mtu anajitosheleza kila atakapo na hahitaji kwenda hotelini au guest house
6. Inaleta ukilema ambao hauonekani kwa macho ila unamuumiza sana mhusika.

Ili mtu aache ni lazima kuchukua uamuzi na kuusimamia.


Jamani naomba mnisaidie kujua, nina dada yangu ana ndoa yake, lakini kashindwa kabisa kuacha kufanya punyeto licha ya kuwa mumewe anamridhisha kitandani.
Tumsaidieje?
 
Back
Top Bottom