funga kula siku tatu

maombi tu, bila kulisoma neno la mungu, ni kazi bure kwa ndg huyu, ni roho ya jini maaba inatenda kazi ndani yake, amwite yesu kwa uaminifu kwani yesu ndio kiboko ya majini na mapepo yote,awe anasoma neno la mungu na kuudhuria semina mbali mbali za watumishi wa mungu,atakua kiroo na kushinda majaribu yote,
 
bora yako kaka kwako ukimwi hauna nafasi.mimi mwenzako siwezi kulala bila changu.nimejaribu kulala na wadada wastaarabu du!! nimeshindwa wananiboa tu.
 
We zawadi ''mastablesheni'' ukiiendekeza hutakaa uache zawad,we chakufanya zawadi ni kupekua thread za jf zinazohuzu ''mastablesheni''
kuna watu wana shuhuda za kutosha zawadi...
Achana na ''mastablesheni' chali angu utapinda mgongo zawadi we haya we🙂
LMFAO🙂🙂🙂
mwaya ntakuombea pia.
Mungu hashindwi ila nawe weka nia.
 
mbona mnanichanganya mim, baba kaniambia nije jamii jf nitapata majibu y home work yangu! sasa mbona nyie mnatukana?

Ahaaaaaaaaaa kwikwiiiiiiiii......teh teh teh ......babaako lazma atakuwa hamnazo...haya kakojoe ulale sasahv!
 
Ondoa na kaa mbali na vitu vinavyokuchochea ,funga one week na ombea tatizo..litaisha kabisaaaaa
 
Kama we ni mkristo. Kemea hiyo hali ni pepo linakutawala kichwani. Katika jina la Yesu nakemea juu yako pepo la kupiga punyeto na kufikiria mapenzi nje ya ndoa. Sali utapata ufumbuzi punde. Kurejesha nguvu zako kila unapofikiria kupiga pull we kemea tu utajikuta umesahau na utaingia kwenye dunia ya kawaida.
Mungu akubariki
 
na kwa nini upige nyeto wakati wanawake mungu katuwekea wengi tu! achana na hiyo kitu ondoa akilini mwako. utaona kama unaweza rudia tena. hiyo ni akili umeisha ilemaza dogo 19 years?
 
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?

pole kwa tatizo mkuu.. ngoja nitoke kwenye test ntakuja kukushauri.

but i doubt, wewe ni me au fe?
 
Pole dogo wangu,

Acha hiyo kitu, tuliza akili yako na soma hapa chini!!!

Pole saana CHEUPE Josephina,

Ushauri sahihi ni huu hapa: Nenda hospital, mwone daktari, utapimwa, na hope utapewa tiba sahihi. Mimi nilisumbuka saana, niliibiwa hela, nililishwa pumba nyingi mnooo. Sikupata tiba. Hata waganga wa HUMU JF nao nilikula pumba zao, lakini sikuwa/sikupata tiba. Soma hapa Chini:

Ushuduhuda: Upungufu wa Nguvu za Kiume - Tiba Halisi

Ushuduhuda: Upungufu wa Nguvu za Kiume - Tiba Halisi

Ndugu Zangu wanaJF poleni na Mihangaiko ya kila mara na haya na yale yanayoendelea humu kwetu. ni upepo utapita tu.

Mwaka jana nilipost humu jamvini thread kuomba msaada wa tiba ya nguvu za kiume. Kwa kweli ni tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu. Sikuwa naweza hata kusimamisha kwa dakika. Kabla ya kuja jamvini nilikuwa nimetembea kwa waganga wengi mnoooo. Nilikula dawa zao za kutosha. Nilienda Mwanza, Arusha, Mbeya, Kenya, DSM, Dom na kwingine kwengi tu. Sikupata hata nafuu kidogo. Nilipokuja humu jamvini nilipata ushauri na hata waganga wengine walinialika nitumie dawa zao kwa kunihakikishia kuwa ni tiba sahihi kwa 100%. Sitawataja kwa sababu ya maadili na kwa kuwa wako kazini na kwa kuwa nimekujatoa ushuhuda. Ukweli ni kuwa nimenunua hizi dawa za hawa waganga nyingine kwa Tshs, USD, rand n.k na nilizitumia kwa uaminifu mkuwa kabisa. Tofauti na nilivofikiri kwa kweli ckupata nafuu hata kidogo.

Kuna jamaa mmoja alinitonya kuwa nenda hispital umwone Dr wa hiyo issue yako. Niliamua kwenda MNH ingawa kwa aibu kubwa mnooo. Wakati najieleza Dr alikatisha maelezo yangu akaniuliza km nna sukari, pumu, k/kikuu nk. Nikamwambia hapana, tatizo langu ni hili hapa. Akaniambia kapime hivi haafu ulete majibu, ckujua ninini. Nilienda kwa vipimo nikachukuliwa damu baada ya muda nikapewa majibu na nikauliza walipima nn. Mtaalamu wa vipimo akaniambia alipima hormones mwilini bac nikarudi kwa dr. Dr baada ya kupitia majibu akaniambia hormones za kiume (testosterone) zimeshuka. Nikamwambia sasa? Akajibu zipandishe. Akaniandikia dawa za miezi mitatu. Kwa kweli nilitumia dawa kuanzia mwezi August 2012 na kufikia september mambo yalianza kubadilika kabisa na mpaka sasa natoa ushuhuda mm ni mwingine kabisa. Sasa nazingatia mlo na mazoezi (gym).

Ushauri wangu kwa wengi wenye hii issue ni kuwa nendeni hospital mkajue ni nni hasa tatizo ndo muanze tiba. Najua Waganga wa humu JF hamtaipenda hii lakini tukubali ukweli, ili watu wasipoteze muda na pesa nyingi km mm nilivofanya.

Yeyote anaetaka maelezo zaidi an-PM.

Mudushi


 
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?

Ongeza juhudi fanya kila saa ukipata muda ukichoka utaacha tu mwenyewe
 
Fanya mazoezi sana, at least kila asubuhi na jioni! Na usipende kukaa mwenyewemwenyewe na sehemu iliyojificha kama chumbani!

hahahaahahaaaaa......pole mangi.....hiyo kitu tamu mno.....unaadjust mwenyewe size ya K......
suala la kuacha ni wewe mwenyewe, haina mbadala, jichangane mazoezini, jisomee,,, ukiwaza hiyo kitu cancel ghafla.....amua na utaweza....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…