PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
funga kula siku tatu
mbona mnanichanganya mim, baba kaniambia nije jamii jf nitapata majibu y home work yangu! sasa mbona nyie mnatukana?
mbona mnanichanganya mim, baba kaniambia nije jamii jf nitapata majibu y home work yangu! sasa mbona nyie mnatukana?
bora yako kaka kwako ukimwi hauna nafasi.mimi mwenzako siwezi kulala bila changu.nimejaribu kulala na wadada wastaarabu du!! nimeshindwa wananiboa tu.
Kata hiyo ndude tupa
nifundishe basi tena kwa vitendo
M nna miaka 17 toka nianze kupiga nyeto Niko vzuri kbsa we itakua unakosea kuipiga
Kwani ina manual mkuu?
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?
Habari zenu binafsi wandugu...
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 19..tatizo langu ni moja nimekuwa mjanga wa kupiga punyeto takribani mwakammoja na nusu.. Shida nikwamba kila nikikutana na mwanamke uume wangu huchukua muda kusimama baada ya bao la kwanza hivyo naomba ushauri ni jinsi gan nitaweza kurudia hali yangu kama zamani na njia za kuacha kupiga punyeto asanten saana
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?
Fanya mazoezi sana, at least kila asubuhi na jioni! Na usipende kukaa mwenyewemwenyewe na sehemu iliyojificha kama chumbani!