mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 957
Hivi kuna mwanaume ambaye hajawahi kupiga puli?!
Shahawa lazima zitoke. Zinabaki kufanya nini.Ni kweli punyeto inafaida ulizo zitaja ndugu, lakini ukitoa shahawa unajimaliza mwenyewe, faida karibia zote ulizo zitaja zinageuka na kuwa kinyume chake.
Cc: Ibrahim300
umesema kwel kaka,kitambo sana nafanya hyo kitu,tena zaid ya mara 2 kwa siku,sembuse mara 3 kwa wik,..na sjawai pata tatzo la nguv za kiume,napiga bao 3 kwenda mbele kwa uthibitisho zaid,..ila sio mara zote,skunyingine sjiskii kufanya,napiga 1 tuu la afya,ila dk 15-30,so niko fresh,puli inasaidia sana
Hivi kuna mwanaume ambaye hajawahi kupiga puli?!
Shahawa lazima zitoke. Zinabaki kufanya nini.
Basi watu tunatofautiana,zamani nilipokuwa sipigi nyeto ninapokuwa na mwanamke nikiweka tu nishafika kileleni,baada ya kuzoea nyeto yaani nipo imara naweza nisishuke mzigoni zaidi ya dk 40,na nikianza kazi huwa wanafika kileleni na kuniomba tupunzike kwanza
umesema kwel kaka,kitambo sana nafanya hyo kitu,tena zaid ya mara 2 kwa siku,sembuse mara 3 kwa wik,..na sjawai pata tatzo la nguv za kiume,napiga bao 3 kwenda mbele kwa uthibitisho zaid,..ila sio mara zote,skunyingine sjiskii kufanya,napiga 1 tuu la afya,ila dk 15-30,so niko fresh,puli inasaidia sana
Ni kweli punyeto inafaida ulizo zitaja ndugu, lakini ukitoa shahawa unajimaliza mwenyewe, faida karibia zote ulizo zitaja zinageuka na kuwa kinyume chake.
Cc: Ibrahim300
Nlianza huo mchezo tangu nipo la 7 had nkamaliza secondar nilikuwa cjui madhara yake now ndo nmejua kwasabab...jogoo haamki asubuh akiamk mara moja kwa mwez,nmekuwa msahaulifu na nyeto ndo chanzo,kimekuwa "kibamia",kabla hajasimama inakuwa fupii kama ya mtot wa miak mi4,nmekuwa na aibu sana kwa wanawake (domo zege)labda anipe namb ya simu...yaani ni mengi saana madhara yake sasa ndo najutia
Nlianza huo mchezo tangu nipo la 7 had nkamaliza secondar nilikuwa cjui madhara yake now ndo nmejua kwasabab...jogoo haamki asubuh akiamk mara moja kwa mwez,nmekuwa msahaulifu na nyeto ndo chanzo,kimekuwa "kibamia",kabla hajasimama inakuwa fupii kama ya mtot wa miak mi4,nmekuwa na aibu sana kwa wanawake (domo zege)labda anipe namb ya simu...yaani ni mengi saana madhara yake sasa ndo najutia
Silazima utoe shahawa wakati wa kupiga punyeto, kuna mbinu waweza kutumia ili kuepuka... Lakini ukipiga punyeto au kufanya na mwanamke zote ukimwaga shahawa lazima uchoke....kwa hivyo hapo sioni utofauti wowote
Jamani wana JF hivi....mtu aliye athilika na punyeto hata ikafikia kipindi akikutana na mwanamke jangoo hapandi mtungi.....lakini akiona picha au mdadaa kavaa kisodoma na gomola....inamuwia vigumu kujizuia kupiga punyeto....yaani hana hamu na mwanamke bali punyeto. jamani tusaidiane kwa mtu ka huyu afanyaje ili aweze kurudi katika hali yake kawaida...!!!???:sad::sad:
Jamani wana JF hivi....mtu aliye athilika na punyeto hata ikafikia kipindi akikutana na mwanamke jangoo hapandi mtungi.....lakini akiona picha au mdadaa kavaa kisodoma na gomola....inamuwia vigumu kujizuia kupiga punyeto....yaani hana hamu na mwanamke bali punyeto. jamani tusaidiane kwa mtu ka huyu afanyaje ili aweze kurudi katika hali yake kawaida...!!!???:sad::sad: