Punyeto ni nini na nini madhara yake?
umesema kwel kaka,kitambo sana nafanya hyo kitu,tena zaid ya mara 2 kwa siku,sembuse mara 3 kwa wik,..na sjawai pata tatzo la nguv za kiume,napiga bao 3 kwenda mbele kwa uthibitisho zaid,..ila sio mara zote,skunyingine sjiskii kufanya,napiga 1 tuu la afya,ila dk 15-30,so niko fresh,puli inasaidia sana

Duh we mwisho
 
Shahawa lazima zitoke. Zinabaki kufanya nini.

Shahawa hutolewa endapo unahitaji kupata mtoto.

Kitu kingine utamu wa punyeti/mapenzi haupo kwenye kumwaga shahawa, ukitoa shahawa unaloose energy iwe punyeto au ngono.

Nakushauri kama uko interested na mambo mengi yahusuyo mapenzi/punyeto tafuta kitabu kinachoitwa " tao of sex wisdom" / "sexual reflexology" humo utayakuta mambo mengi sana yenye kukushangaza na ambayo wengi hawayajui.

Ukisoma naomba feedback.
 
Basi watu tunatofautiana,zamani nilipokuwa sipigi nyeto ninapokuwa na mwanamke nikiweka tu nishafika kileleni,baada ya kuzoea nyeto yaani nipo imara naweza nisishuke mzigoni zaidi ya dk 40,na nikianza kazi huwa wanafika kileleni na kuniomba tupunzike kwanza

kuchelewa kufika kilelen ndo faida ya punyeto,hata mim hvyo hvyo tena nkitumia mipira ndo usiombe ila tatzo ukishapiga la kwanza hilo lapili ni baada ya nusu saa au dakik 40 ndo mzuka uje
 
umesema kwel kaka,kitambo sana nafanya hyo kitu,tena zaid ya mara 2 kwa siku,sembuse mara 3 kwa wik,..na sjawai pata tatzo la nguv za kiume,napiga bao 3 kwenda mbele kwa uthibitisho zaid,..ila sio mara zote,skunyingine sjiskii kufanya,napiga 1 tuu la afya,ila dk 15-30,so niko fresh,puli inasaidia sana

Picha please......
 
Ni kweli punyeto inafaida ulizo zitaja ndugu, lakini ukitoa shahawa unajimaliza mwenyewe, faida karibia zote ulizo zitaja zinageuka na kuwa kinyume chake.

Cc: Ibrahim300

Silazima utoe shahawa wakati wa kupiga punyeto, kuna mbinu waweza kutumia ili kuepuka... Lakini ukipiga punyeto au kufanya na mwanamke zote ukimwaga shahawa lazima uchoke....kwa hivyo hapo sioni utofauti wowote
 
Nlianza huo mchezo tangu nipo la 7 had nkamaliza secondar nilikuwa cjui madhara yake now ndo nmejua kwasabab...jogoo haamki asubuh akiamk mara moja kwa mwez,nmekuwa msahaulifu na nyeto ndo chanzo,kimekuwa "kibamia",kabla hajasimama inakuwa fupii kama ya mtot wa miak mi4,nmekuwa na aibu sana kwa wanawake (domo zege)labda anipe namb ya simu...yaani ni mengi saana madhara yake sasa ndo najutia

Itakuwa ulikuwa wapiga punyeto kwa uharaka ndio maana washindwa sahiz...bora kama wapiga nyeto jifunze kuchukua dakika zaidi ya 30
 
Nlianza huo mchezo tangu nipo la 7 had nkamaliza secondar nilikuwa cjui madhara yake now ndo nmejua kwasabab...jogoo haamki asubuh akiamk mara moja kwa mwez,nmekuwa msahaulifu na nyeto ndo chanzo,kimekuwa "kibamia",kabla hajasimama inakuwa fupii kama ya mtot wa miak mi4,nmekuwa na aibu sana kwa wanawake (domo zege)labda anipe namb ya simu...yaani ni mengi saana madhara yake sasa ndo najutia

na bado unaendelea si ndio? Kwa sababu kama ungekuwa umeacha ungesha recover kutoka ktk hayo matatzo uloyataja.
 
Silazima utoe shahawa wakati wa kupiga punyeto, kuna mbinu waweza kutumia ili kuepuka... Lakini ukipiga punyeto au kufanya na mwanamke zote ukimwaga shahawa lazima uchoke....kwa hivyo hapo sioni utofauti wowote

Kitu ambacho wengi hatuelewi ni kwamba.

Mapenzi ni spesho kwaajili ya kutengeneza mtoto.

Kwa vile tumeamua mapenzi kuwa starehe basi, hatutakiwi kutoa shahawa, mie nnasema upige puli au ufanye ngono, hutakiwi kutoa shahawa.
 
Faida nyingine unalabua she yeyote unayetaka, kazi kubwa ni kumuweka mawazoni kisha una adjust kiganja kwa kipimo unachoona kinamfaa......
 
Jamani wana JF hivi....mtu aliye athilika na punyeto hata ikafikia kipindi akikutana na mwanamke jangoo hapandi mtungi.....lakini akiona picha au mdadaa kavaa kisodoma na gomola....inamuwia vigumu kujizuia kupiga punyeto....yaani hana hamu na mwanamke bali punyeto. jamani tusaidiane kwa mtu ka huyu afanyaje ili aweze kurudi katika hali yake kawaida...!!!???:sad::sad:
 
Jamani wana JF hivi....mtu aliye athilika na punyeto hata ikafikia kipindi akikutana na mwanamke jangoo hapandi mtungi.....lakini akiona picha au mdadaa kavaa kisodoma na gomola....inamuwia vigumu kujizuia kupiga punyeto....yaani hana hamu na mwanamke bali punyeto. jamani tusaidiane kwa mtu ka huyu afanyaje ili aweze kurudi katika hali yake kawaida...!!!???:sad::sad:

Mkuu huu ni ugonjwa tena mkubwa!!! Sasa kwa nini unaficha si useme ni wewe ndio unashida ili upate msaada!!?
 
Unaposema hali ya kawaida unamaanisha nini?? Je kuacha kupiga pulu au kurudisha nguv za dushe?
 
Jamani wana JF hivi....mtu aliye athilika na punyeto hata ikafikia kipindi akikutana na mwanamke jangoo hapandi mtungi.....lakini akiona picha au mdadaa kavaa kisodoma na gomola....inamuwia vigumu kujizuia kupiga punyeto....yaani hana hamu na mwanamke bali punyeto. jamani tusaidiane kwa mtu ka huyu afanyaje ili aweze kurudi katika hali yake kawaida...!!!???:sad::sad:

Binafsi siamini kama punyeto inamadhara ikipigwa kwa usahihi wake.
 
Back
Top Bottom