Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
J.A.Y ; Una evil spirit......atakusumbua sana. Utajikuta unakwama katika maisha yako bila kujua tatizo ni nini.
Atakukwamisha kwenye kazi...biashara..masomo etc
Hutapata raha katika maisha yako.
Hata kama utapata raha itakua kwa muda mfupi.
Kila jambo utakalokua unafanya ni lazima utumie nguvu
I mean, hata kama utapigiwa mchongo...au kurahisishiwa maisha na ndugu; bado hutakua na raha.
#Advice : Watch #EmmanuelTv
tafta kazi ..ukipata oa ndoa ya chap chap kama mkeka..ukioa fasta mtie mimba ....Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
mkuu, asubuhi huwa unasimamisha kweli mashine yako??
una mpenzi kweli??
dawa ya dushe ni papuchi, sio sabuni kitu kingine!
we utakuwaje na nyege halafu eti dawa yake iwe ni mazoezi?? WIZI MTUPU!
eti mfano mtu ana njaa, umwambie akapige pushapu, haiwezekani kabisa!
kwa staili hii bora nijipigie puli nirudi kulala
hahahaaaa!! mkuu, we've millions of chicks out there... mpaka wengine unaskia huko udsm wanajitongozesha...
kwanini sasa upizi kwa sabuni..?