Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Kama uko Dar nenda kwa Mzee wa Upako ukafanyiwe maombi, lazima una pepo likatolewe uwe huru.
 
Dawa ya kwanza chukia tabia hyo kwa dhati toka ndani ya moyo wako, pili usiipe kipaumbele hyo tabia hasa pale mzee anapovimba ona kuna solution nyngne zaid ya punyeto,fanya mazoez,kuwa bize hasa kusaka hela,tafuta mke uoe.
 
dawa ya kuacha nyeto ni papuchi tu iwe karibu. sasa sijui umvute girl wako ukae nae karibu au uowe. hakuna njia ingine. miaka 25 lazima mwili unazalisha kila siku.
 
Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?

endelea kupiga tu mkuu hadi mkono upinde, inaweza kuwa dawa nzuri ya kuepuka miwaya
 
Jaluo; hata kufanya saaana na wanawake ina madhara. Prostate cancer.

Muhimu ni jamaa ajikusanye upya kuamua ni nini anataka kuishi katika maisha. Kisha aishi uamuzi wake!
 
sijawahi kusikia mbabu kama dark city au asprin au mbaba kama mtambuzi unapiga nyeto,we endelea tu tu umri sahihi ukifika utajikuta tu umeacha!ukifika miaka 40 bado unapiga hapo ndio utakuwa una matatizo
 
Pole sana, ishakuwa kigonjwa kwa upande wako na sii wewe tu kuna wengine wapo ndani ya ndoa lakini hawaachi puli
 
J.A.Y ; Una evil spirit......atakusumbua sana. Utajikuta unakwama katika maisha yako bila kujua tatizo ni nini.

Atakukwamisha kwenye kazi...biashara..masomo etc

Hutapata raha katika maisha yako.


Hata kama utapata raha itakua kwa muda mfupi.


Kila jambo utakalokua unafanya ni lazima utumie nguvu


I mean, hata kama utapigiwa mchongo...au kurahisishiwa maisha na ndugu; bado hutakua na raha.



#Advice : Watch #EmmanuelTv


Duh! Mkuu unajua kutia watu moyo kishenzi. Ningekuwa na rafiki kama wewe ningekukimbia ile mbaya kama nahitaji mtu wa kunipa moyo.
 
Kwa nguvu au jitihada binafsi haiwezekani my bro, ila kwa upendo njoo life in Christ ministries-ZOE tabata segerea kwa ajiri ya total deliverance ni swala la siku moja tu na baada ya hapo hutopiga punyeto maisha yako yote. Wengi wanafunguliwa kutoka kwenye kifungo cha kupiga punyeto, ushoga, usagaji, uvutaji sigara n.k kama upo tayari nijulishe nikupe namba yangu ili nikuelekeze zaid, usipuuze huu ndo msaada wako, huyo aliyekwambia utazame emmanuel tv hajakosea yuko sahihi kabisa maana yote yanayofanyika kupitia emmanuel tv ndio yanayofanyika life in Christ ministries-zoe, karibu.
 
Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
tafta kazi ..ukipata oa ndoa ya chap chap kama mkeka..ukioa fasta mtie mimba ....
utajikuta unamajukumu adi mda wakukikamua kibamia chako huna:nod:
 
mkuu, asubuhi huwa unasimamisha kweli mashine yako??

una mpenzi kweli??

dawa ya dushe ni papuchi, sio sabuni kitu kingine!

we utakuwaje na nyege halafu eti dawa yake iwe ni mazoezi?? WIZI MTUPU!

eti mfano mtu ana njaa, umwambie akapige pushapu, haiwezekani kabisa!

kwa staili hii bora nijipigie puli nirudi kulala

sex-wheel-of-fortune_253090.jpeg
 
Kama huda demu basi tafuta upige japo mara mbili kwa mwezi halafu acha kuangalia mapicha ya ngono, tamthilia chafu, story za mapenzi na uwe bize....kama unaweza kwa wiki ufunge hata mara mbili kwani kufunga kunapunguza hisia za ngono....bila hivyo mkuu utaangamia kwani punyeto inatakiwa iishie miaka ishirini tuuuu..sasa ukiendelea zaidi ya hapo ni majanga.
 
hahahaaaa!! mkuu, we've millions of chicks out there... mpaka wengine unaskia huko udsm wanajitongozesha...

kwanini sasa upizi kwa sabuni..?

imagine we si mtu wa michepuko na unazinguliwa au umepangiwa ratiba utafanyaje
 
Back
Top Bottom