Kama mkristo funga na kuomba siku tatu itaishaMimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
uko sawa kabsa,afuate ushauri wako!Mi mwenyewe nilikuwa na hilo tatizo huwa najikeep busy ..nikiweka mawe,x,porn kwe kompyuta au cd..nikiamka lazima nifute kutokana na guilt conscious fanya mazoezi na epuka kukaa peke yako na kupiga sana stori za mapenzi...
mkuu, asubuhi huwa unasimamisha kweli mashine yako??
una mpenzi kweli??
dawa ya dushe ni papuchi, sio sabuni kitu kingine!
we utakuwaje na nyege halafu eti dawa yake iwe ni mazoezi?? WIZI MTUPU!
eti mfano mtu ana njaa, umwambie akapige pushapu, haiwezekani kabisa!
When it comes u cant resist it..! Lakini jitahidi mno kujizuiya inaharibu mishipa ya uumeMimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
When it comes u cant resist it..! Lakini jitahidi mno kujizuiya inaharibu mishipa ya uume
Fanya uwezavyo usiwe bored au kukaa pekeyako mahali pamoja kwa muda mrefu ukiwa huna la kufanya
KonoNaomba kujua kuna tofauti gani kati ya vitendo hivyo viwili?
Kutokana na thread nyingi humu jf, punyeto si kitu kizuri, ninachojiuliza nikwa vipi hand job inakubalika ilihali inafanywa kwa mikono?
Au sababu ni kuwa inafanywa na mpenzi wa kike?
KonoNaomba kujua kuna tofauti gani kati ya vitendo hivyo viwili?
Kutokana na thread nyingi humu jf, punyeto si kitu kizuri, ninachojiuliza nikwa vipi hand job inakubalika ilihali inafanywa kwa mikono?
Au sababu ni kuwa inafanywa na mpenzi wa kike?