Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
Kama mkristo funga na kuomba siku tatu itaisha
 
Mi mwenyewe nilikuwa na hilo tatizo huwa najikeep busy ..nikiweka mawe,x,porn kwe kompyuta au cd..nikiamka lazima nifute kutokana na guilt conscious fanya mazoezi na epuka kukaa peke yako na kupiga sana stori za mapenzi...
uko sawa kabsa,afuate ushauri wako!
 
well said mkuu, wanasiasa ndio wamekuwa wakihubiri eti ukijiskia hamu kafanye mazoezi, upuuzi mtupu


mkuu, asubuhi huwa unasimamisha kweli mashine yako??

una mpenzi kweli??

dawa ya dushe ni papuchi, sio sabuni kitu kingine!

we utakuwaje na nyege halafu eti dawa yake iwe ni mazoezi?? WIZI MTUPU!

eti mfano mtu ana njaa, umwambie akapige pushapu, haiwezekani kabisa!
 
Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
When it comes u cant resist it..! Lakini jitahidi mno kujizuiya inaharibu mishipa ya uume
Fanya uwezavyo usiwe bored au kukaa pekeyako mahali pamoja kwa muda mrefu ukiwa huna la kufanya
 
Funga ndoa na punyeto, acha kuhangaika kuiacha ikumbatie kabisa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Piga punyeto kwenye chuchu ya mwanamke. Sio kwakuchuwa na mikono so mwanangu madhara yake ni makubwa uregeza mishipa ya mboo upunguza uifadhi ya kumbukumbu kichwani inakufanya unakuwa msaulifu sana
 
fanya mazoezi hata mara kumi kwa siku lakini jua kama huna mpenzi ni kazi bure otherwise uwe mtu wa dini sana.nauone kwamba hiyo ni dhambi labda ndo utaacha
 
KonoNaomba kujua kuna tofauti gani kati ya vitendo hivyo viwili?

Kutokana na thread nyingi humu jf, punyeto si kitu kizuri, ninachojiuliza nikwa vipi hand job inakubalika ilihali inafanywa kwa mikono?

Au sababu ni kuwa inafanywa na mpenzi wa kike?
 
KonoNaomba kujua kuna tofauti gani kati ya vitendo hivyo viwili?

Kutokana na thread nyingi humu jf, punyeto si kitu kizuri, ninachojiuliza nikwa vipi hand job inakubalika ilihali inafanywa kwa mikono?

Au sababu ni kuwa inafanywa na mpenzi wa kike?

All are masturbations but in different names
 
KonoNaomba kujua kuna tofauti gani kati ya vitendo hivyo viwili?

Kutokana na thread nyingi humu jf, punyeto si kitu kizuri, ninachojiuliza nikwa vipi hand job inakubalika ilihali inafanywa kwa mikono?

Au sababu ni kuwa inafanywa na mpenzi wa kike?

Blowjob kdg sio punyeto coz ile ni kama unakula papuchi
 
Nimeuliza kwa sababu inaonekana wanawake wengi hushauriana au kufundishana kumfanyia hand job mpenzi wa kiume.
 
Back
Top Bottom