dawa ni pilipili mbuzi 10 zilizoiva vizuri ,zisage kwenye brenda mpaka upate juisi nzito... baada ya hapo unachanganya na vijiko na vijiko viwili vya asidi
ukijihic kupulika paka mikonon mchanganyiko, hapo utakuwa umekomesha dushe lako kutojenga relation na mikono yako
we relax mambo yatajiset mkuu
pia acha kutazama picha za ngono , futa zote hizo zilizomo kwenye hiyo simu yako na uache kuingia zait za porn!
 
Halaf bao la nyeto huwa linakuja taratiiiiiibu halaf linakata yan ni raha tu ,,, tofaut na ukiwa na mke likitoka ndio limetoka
 
dah hyo k2 ni mbaya kwakwel mm naona bora 2 umshauri awe na maamuzi ya kiume juu ya kuacha hyo k2
 
Hili ni tatizo hata kwangu wadungu nimeoa lkn pul km kwa cku dem wangu hakiwa hayupo,,yaan shida 2tu nimejitaid kuacha lkn nimeshidwa wajamen
 
mkuu
pia acha kutazama picha za ngono , futa zote hizo zilizomo kwenye hiyo simu yako na uache kuingia zait za porn![/QUOTE]


Yap ichi nacho kinachangia sana m2 kupiga pull!!
 
Mimi napita tu jamaa anapiga pulli anamsingizia kaka yake

Kwi kwi kwi.....!!!!jf burudani
 
pull ina raha zake kwanza unafanya na mtu yeyote unayemtaka
 
Kama ni wewe au ni ndugu yako ni nyie na mungu wenu yeye ndio anajua nani anatatizo..navyo amini mimi 90% ya wanaume wamepitia kwenye hichi kipindi cha punyeto..
Punyeto inawezekana kuacha 100%..
Acha kukaa idle(idle mind) bila kufanya kazi au zoezi la wewe kukuweka active(busy)..
Kukaa alone for a long period of time hapo kuna kishawishi..
Jiepishe kula vitu vinavyo chocheo hisia za kimwili kama vile karanga,korosho,parachichi na n.k(too much is harmful).
Jichanganye na watu wa rika tofauti mbadilishane mawazo..
Epuka kucheki porno sex video au site zao..
Jaribu kukontrol akili yako si akili ikukontrol kila wakati unawaza kufanya hilo tendo..
Fanya zoezi

Unaweza kuongezea jinsi ya kuacha punyeto hapo juu..
N.B
Idle mind is devils kingdom

"When you learn, teach, when you get, give."
"We must live together as brothers or perish together as fools."
 
Badala ya kuamua kupiga punyeto ili kuzima tamaa za ngono, jitahidi kukuza sifa ya kujizuia. (1 Wathesalonike 4:4, 5) Ili ufaulu, kwanza kabisa Biblia inapendekeza ujiepushe na hali zinazoweza kuamsha tamaa ya ngono. (Methali 5:8, 9) Namna gani ikiwa umekuwa mtumwa wa zoea la kupiga punyeto? Labda umejaribu kuacha lakini hujafanikiwa. Ni rahisi kukata kauli kwamba huwezi kubadilika, na kwamba huwezi kuishi kulingana na viwango vya Mungu.

Kwa hiyo, jaribu kuwa na usawaziko. Kupiga punyeto ni uchafu. Mazoea hayo yanaweza kukufanya uwe ‘mtumwa wa tamaa na raha za namna mbalimbali' na kukufanya uwe na maoni yasiyofaa. (Tito 3:3) Hata hivyo, kupiga punyeto si upotovu wa kingono, kama vile uasherati. (Yuda 7) Ikiwa una tatizo la kupiga punyeto, usikate kauli kwamba umefanya dhambi isiyoweza kusamehewa. Siri ni kupinga tamaa ya kufanya hivyo na kutokubali kamwe kushindwa!

Chunguza burudani yako. Je, wewe hutazama sinema au programu za televisheni au hutembelea vituo vya Intaneti vyenye kusisimua kingono? Kwa hekima, mtunga-zaburi alisali kwa Mungu: "Uyafanye macho yangu yapite ili yasione jambo lisilofaa."*-Zaburi 119:37.
 
Wakuu naomba tujadili ni ni sababu hasa inayochangia vijana wengi hususan wa kiume kujiingiza kwenye huu mchezo wa kupiga punyeto ahsanteni naomba michango yenu wanaMMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…