Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Itachukua miaka mingi sana mpaka nije kuamini punyeto ina madhara.
Nimepiga puli kwa muda wa miaka 13,nimekuja kuacha baada ya kuoa na sijapata tatzo lolote mpaka hivi sasa.
Wewe itakuwa una matatizo yako ya kiafya wala usisingizie punyeto
Tatizo hawapigi punyeto kama inavyoshauliwa wao wanapiga punyeto kama pumzi vile asubui kapiga punyeto kaa kidogo kaenda kupiga tena kwa siku mtu anapiga mpka Mara sita na zaidi lazima apate matatizo
 
Kegeli ndio nini?
Hili swali naona limeulizwa sana hapa naomba kutoa maelezo kidogo kama ninavyoelewa. Kegel ni zoezi ambalo hufanyika kwa wanaume na wanawake ambapo kwa wanaume linahusisha kukaza misuli ya uume inaitwa (PC muscles ) kwa lugha ya wenzetu. Msuli huu upo mwanzo kabisa ya uume kwa chini(katikati ya mk*** na mb**). Jinsi ya kuutambua:
-Wakati wa kukojoa fanya kama unakatisha mkojo kabla ya kuisha. Unaweza kujaribu mara nyingi uwezavyo (msuli huu ndio unaotumika kukatisha mkojo). Pia msuli huu ndio unaosaidia kuwa na (hard erection).
Zoezi hili lina namna nyingi linavyofanywa ila niandike haya machache ambayo mengine unaweza kufanya hata ukiwa ofisini, kwenye gari au hata ukiwa na masela mnapiga stori (just joking).
1)Hili tunaweza kuliita push up ya mb**. Zoezi hili linafanywa uume ukiwa umesimama, ni rahisi ,ukiwa umesimama utakaza uume mpaka ufikie mwisho(ambapo huwezi kukaza zaidi) halafu una (hold) zuia hapo kwa sekunde kadhaa (unaweza ukaanza kwa kujaribu sekunde kumi na kuongeza kadri unavyozoea) halafu unaachia(hapo hauishikilii mb** kwa mkono inajitegemea yenyewe). Kufikia hapo unakua umemaliza (one rep) push up moja. Utarudia mara nyingi uwezavyo kama unaweza ukaanza na kumi upumzike halafu urudie tena.
2)Kwa hili huwa ni gumu haswa kwa wanaoanza kama hujafahamu PC muscle yako ilipo, ila kama umeshaweza kui feel basi ni rahisi.Push up hizi tunapiga uume ukiwa umelala. Maana yake unaweza kufanya mahali popote ukiwa na muda kinachohitajika tu ni kuukaza huu msuli na kuzuia kwa sekunde kadhaa halafu unaachia( uume ukiwa umelala) kama ulivyojaribu ulipokua unakojoa. Fanya mara nyingi uwezavyo ili kuimarisha msuli huu.
Nimeeleza eneo dogo tu kati ya mazoezi yaliyopo ya kegel ambayo ukifanya yatakusaidia sana ku improve erection na pia yanaweza kukusaidia ku control ejaculation.
 
Mi nadhani kinachokusumbua zaidi ni swala la kisaikolojia zaidi kwa mfano kuna jamaa yangu alikua ananiambia yani mpaka akisikia harufu ya sabuni tu anadindisha. Hiyo kisaikolojia ni shida ya association inawezekana kwa kua umezoea puli kwa muda mrefu inakua ngumu kwa mwanamke kuamsha hisia zako hivyo jifunze kuhamishia hisia kwake halafu uondoe mashaka kwamba akikupa gem litakushinda
 
Hili swali naona limeulizwa sana hapa naomba kutoa maelezo kidogo kama ninavyoelewa. Kegel ni zoezi ambalo hufanyika kwa wanaume na wanawake ambapo kwa wanaume linahusisha kukaza misuli ya uume inaitwa (PC muscles ) kwa lugha ya wenzetu. Msuli huu upo mwanzo kabisa ya uume kwa chini(katikati ya mk*** na mb**). Jinsi ya kuutambua:
-Wakati wa kukojoa fanya kama unakatisha mkojo kabla ya kuisha. Unaweza kujaribu mara nyingi uwezavyo (msuli huu ndio unaotumika kukatisha mkojo). Pia msuli huu ndio unaosaidia kuwa na (hard erection).
Zoezi hili lina namna nyingi linavyofanywa ila niandike haya machache ambayo mengine unaweza kufanya hata ukiwa ofisini, kwenye gari au hata ukiwa na masela mnapiga stori (just joking).
1)Hili tunaweza kuliita push up ya mb**. Zoezi hili linafanywa uume ukiwa umesimama, ni rahisi ,ukiwa umesimama utakaza uume mpaka ufikie mwisho(ambapo huwezi kukaza zaidi) halafu una (hold) zuia hapo kwa sekunde kadhaa (unaweza ukaanza kwa kujaribu sekunde kumi na kuongeza kadri unavyozoea) halafu unaachia(hapo hauishikilii mb** kwa mkono inajitegemea yenyewe). Kufikia hapo unakua umemaliza (one rep) push up moja. Utarudia mara nyingi uwezavyo kama unaweza ukaanza na kumi upumzike halafu urudie tena.
2)Kwa hili huwa ni gumu haswa kwa wanaoanza kama hujafahamu PC muscle yako ilipo, ila kama umeshaweza kui feel basi ni rahisi.Push up hizi tunapiga uume ukiwa umelala. Maana yake unaweza kufanya mahali popote ukiwa na muda kinachohitajika tu ni kuukaza huu msuli na kuzuia kwa sekunde kadhaa halafu unaachia( uume ukiwa umelala) kama ulivyojaribu ulipokua unakojoa. Fanya mara nyingi uwezavyo ili kuimarisha msuli huu.
Nimeeleza eneo dogo tu kati ya mazoezi yaliyopo ya kegel ambayo ukifanya yatakusaidia sana ku improve erection na pia yanaweza kukusaidia ku control ejaculation.
Dah sikukuelewa kabisaaaaaaaa Mkuu lbd chora na vipicha katun vya mfano mkuuu
 
Itachukua miaka mingi sana mpaka nije kuamini punyeto ina madhara.
Nimepiga puli kwa muda wa miaka 13,nimekuja kuacha baada ya kuoa na sijapata tatzo lolote mpaka hivi sasa.
Wewe itakuwa una matatizo yako ya kiafya wala usisingizie punyeto
True say bro ninapiga toka 2005 mpk Leo sijawah ona et isisimame mbele ya dem never lbd kinachoniangusha ni kutopiga mishindo Ming lkn dem nikimpiga tu ata ilo bao moja tu hana na nakua nimemkojoza vya kutosha yaan anakojoa Mara Tatu mi Mara moja akiondoka nashushia na moja la mkono nakua Safi kabisa...Kama sasa Nina stress toka mwaka uanzee bas napiga sana mpaka ninavyoongea ivi nshapiga ka Tatu ivi....sijaoa bado ivo uwa napiga dem kwa ndom kwa kua uwa siwaamin na Kama mnavyojua ukipiga kwa cmdom hauwez piga zaid ya bao moja bas uwa napiga moja kwa ndom zen namalizia kwa mikono ata bao mbil...lkn kiukwel sehemu za kiuno ad kwny mgongo uwa ka zinauma ndo madhara ninaoyaona lkn dem uyo ngoma isisimame????. Never
 
True say bro ninapiga toka 2005 mpk Leo sijawah ona et isisimame mbele ya dem never lbd kinachoniangusha ni kutopiga mishindo Ming lkn dem nikimpiga tu ata ilo bao moja tu hana na nakua nimemkojoza vya kutosha yaan anakojoa Mara Tatu mi Mara moja akiondoka nashushia na moja la mkono nakua Safi kabisa...Kama sasa Nina stress toka mwaka uanzee bas napiga sana mpaka ninavyoongea ivi nshapiga ka Tatu ivi....sijaoa bado ivo uwa napiga dem kwa ndom kwa kua uwa siwaamin na Kama mnavyojua ukipiga kwa cmdom hauwez piga zaid ya bao moja bas uwa napiga moja kwa ndom zen namalizia kwa mikono ata bao mbil...lkn kiukwel sehemu za kiuno ad kwny mgongo uwa ka zinauma ndo madhara ninaoyaona lkn dem uyo ngoma isisimame????. Never
mda bado kunawatu wana 36 years walipiga miaka 16 nyuma sasa hormone zimeshuka kwa kasi
 
Kuna haja serikali itangaze punyeto Kuwa ni janga la kitaifa....
Mi nimeoa lakini huwa navizia wife akikoroma nakwenda moja hewani, yaani hata wife simtamani.
 
Mi pia ni muhathirika wa hilo tatizo na nimeshindwa hata kuoa nna miaka 29 now
 
Habari wana JF,

Nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now. Niliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri hadi juzi kati tu nilipoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali sio shwari, uume wangu husimama legelege na nikitaka kuanza mchezo uume huzima kabisa.

Nashindwa kujua nifanye nini maana nimemaliza visingizio vyote kwa wasichana niliowahi kuwa nao.

Naombeni masaada wenu.
Hayo siyo Madhara ya punyeto hayo Ni Madhara ya Uoga na Stress pamoja Na Kuona Kuwa Utashindwa ...

Watu wanapenda Sana Kusingizia Punyeto bila Sababu wakati hilo ni Jambo la Akili zaidi
 
Hayo siyo Madhara ya punyeto hayo Ni Madhara ya Uoga na Stress pamoja Na Kuona Kuwa Utashindwa ...

Watu wanapenda Sana Kusingizia Punyeto bila Sababu wakati hilo ni Jambo la Akili zaidi
acha ujinga wewe punyeto inashusha hormone na ina haribu mishipa maalumu ya usimamaji wa uume
 
Mi pia ni muhathirika wa hilo tatizo na nimeshindwa hata kuoa nna miaka 29 now
chukua tangawiz kikombe cha robo kipe kidogo zilizokomaa vizur menya na usage na brenda au kisagio cha karot chuja machicha yake usiweke maji utapata juis kama gram kumi kunywa asubuh na jion ukinywa tu ufanye zoez la squat na unywe ukiwa ushakula week moja tatizo litaondoka pia nina tiba ya matunda gharama ni elfu 20 tu whatsapp 0712504049
 
Acha punyere kisha Anza mazoezi ya kegel na kukimbia, kunywa maji mengi, pumzika (usingizi) vya kutosha, acha vileo. Wk mbili za mwanzo utaona mabadiliko.
Bt muongezee mda wa dozi yake dokta,, wikimbili hazimtoshi ,, then ale vyakula vya kuongeza vichocheo kwa Mwili wake. ( aingie mtandaoni atapata aina izo ya vyakula) ani pm kwa ushauri zaidi.
 
acha ujinga wewe punyeto inashusha hormone na ina haribu mishipa maalumu ya usimamaji wa uume
Unaongea Bila Utafiti hakuna Madhara ya Punyeto kisayansi.... Punyeto haishushi Hormone bali Upungufu wa Protini mwilini na Cholesterol ndo Hupunguza uzalishaji wa Hormone
 
Unaongea Bila Utafiti hakuna Madhara ya Punyeto kisayansi.... Punyeto haishushi Hormone bali Upungufu wa Protini mwilini na Cholesterol ndo Hupunguza uzalishaji wa Hormone
Screenshot_2017-01-08-08-44-16.png
Screenshot_2017-01-08-08-44-16.png
Screenshot_2017-01-08-08-44-07.png
Screenshot_2017-01-08-08-43-58.png

sasaa wee endelea kupiga punyeto
 

Attachments

  • Screenshot_2017-01-08-08-43-29.png
    Screenshot_2017-01-08-08-43-29.png
    46.1 KB · Views: 48
pole sana tafuta mke uoe kama unaouwezo.....kisha ujipe rikizo ya kutokuenda kazini kwa muda wa mwezi mmoja...kisha kila unapojisikia kupiga punyeto unamuingilia shemeji ambae ndio atakuwa mkeo...hapo mwanzo itakusumbua ila kidogo kidogo utazoea...muache shemeji awe anauchezea muogo wako...maana tatizo sio punyeto tatizo inaonekana hukuwahi kuwa na mahusiano na wasichana....pole sana...
 
chukua tangawiz kikombe cha robo kipe kidogo zilizokomaa vizur menya na usage na brenda au kisagio cha karot chuja machicha yake usiweke maji utapata juis kama gram kumi kunywa asubuh na jion ukinywa tu ufanye zoez la squat na unywe ukiwa ushakula week moja tatizo litaondoka pia nina tiba ya matunda gharama ni elfu 20 tu whatsapp 0712504049
Wazee wa kutumia fursa haooo....
 
Back
Top Bottom