Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Top 5 Ways How to Stop Masturbating. NJIA 5 ZA KUACHA KUPIGA PUNYETO.....ANGALIA VIDEO
Mtu mwenyewe kumbe mfungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Top 5 Ways How to Stop Masturbating. NJIA 5 ZA KUACHA KUPIGA PUNYETO.....ANGALIA VIDEO
Dah hatari sanaIngelikuwa Nyeto inaleta Maumivu Ya Magoti Mimi Nisingeliweza Kucheza Mpira Kwa Dakika 90 tena Jua Kali la Saa Nane Mchana bila ya Hata ShinGurd......
Huyu siyo Mfungwa huyu Daktari mchunguzi wa madhara ya kupiga punyeto.Mtu mwenyewe kumbe mfungwa
Mi sio mwanachama mkuu nimeongea kile nikijuachoNaona umepinga kwa nguvu zote vp mwanachama nn
Una miaka mingapi mwenye mademu5 mke1 na mtoto mmoja? huo mda unapata wapi ya kufanya hayo manyago? nilidhani watoto wa5 kumbe mademu wa5, hongera wewe Chiboko..Wadau habari zenu
Bwana Yesu Asifiwe
Aslaamhaleykhum
Baada ya salamu naomba niende Moj kwa Moja kwenye hoja
Hoja yangu ni njia ya kuacha punyeto nlianza kupiga nipo boarding form 1 miaka zaidi ya 15 iliyopita ,nimejaribu kuacha lakini after 1 or 2 week natamani kuipiga na nna piga,nna mademu watano ,MKE halali mmoja na mtoto mmoja
Naweza nikasex na demu goli 5 akasepa lakini ghafla natamani Nyeto Sasa sijui nitumie njia Gani kuacha kabisa najua tatizo hili linawakumba wengi so sio mbaya tukashauriana hapa kuachana na kadhia hii
Naona unautafuta UKIMWI kwa juhudi zote.Wadau habari zenu
Bwana Yesu Asifiwe
Aslaamhaleykhum
Baada ya salamu naomba niende Moj kwa Moja kwenye hoja
Hoja yangu ni njia ya kuacha punyeto nlianza kupiga nipo boarding form 1 miaka zaidi ya 15 iliyopita ,nimejaribu kuacha lakini after 1 or 2 week natamani kuipiga na nna piga,nna mademu watano ,MKE halali mmoja na mtoto mmoja
Naweza nikasex na demu goli 5 akasepa lakini ghafla natamani Nyeto Sasa sijui nitumie njia Gani kuacha kabisa najua tatizo hili linawakumba wengi so sio mbaya tukashauriana hapa kuachana na kadhia hii