Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan mate huwa yananuka?Ukimaliza hapo mkono si unanuka, maana mate na msuguano.....
Just thinking out loud.
Jitemee mate kwenye kiganja kisha jisugue halafu nusa.....Kwan mate huwa yananuka?
Labda mate yako..!Jitemee mate kwenye kiganja kisha jisugue halafu nusa.....
Utaleta mrejesho.
Mate + Msuguano.....Labda mate yako..!
Anyway hata hivyo sio jukum lake kunusa mkono baada ya tendo..!
Wakuu nina wiki sasa kwenye maungio ya miguu kuna uma yani kama kumesagika hivi
Baadhi ya watu waliniambia synovial fluid ambayo ina act kama lubricant itakuwa imepungua kama sio kuisha kabisa kwa sababu ya over masturbation
Msaada wenu tafadhari nifanyaje ili nirude hali yangu ya zamani maana miguu inauma sana
sababu itakuwa ni nini mkuu?Da pole sana mkuu,ila sidhani kama hiyo sababu ni sahihi.
Najaribu kuacha siweziAcha punyeto, tubu, mrudie Mungu wako
Nipe ushauri miguu inaniumaHR 666 endelea kuji brand
Hakuna uhusiano kati ya punyeto na ugonjwa wako, nenda hospitali ukapimweWakuu nina wiki sasa kwenye maungio ya miguu kuna uma yani kama kumesagika hivi
Baadhi ya watu waliniambia synovial fluid ambayo ina act kama lubricant itakuwa imepungua kama sio kuisha kabisa kwa sababu ya over masturbation
Msaada wenu tafadhari nifanyaje ili nirude hali yangu ya zamani maana miguu inauma sana
Sababu ni kwamba unatafuta kicksababu itakuwa ni nini mkuu?
Viungio vya miguu vinaniumaSababu ni kwamba unatafuta kick