dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
hongera ila punguZa totoz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kawaida tu mkuu sio sanahongera ila punguZa totoz
haya bana chief[emoji276]kawaida tu mkuu sio sana
mkuu ilinitesa sanaMh,,,miaka sita tu?
nifaid papuchKwann umeacha?
nifikishie salamu zangu mkuu
Dah chama chetu cha CHAPUTA mbona kinapungukwa na wanachama?
Tunakuhitaji sana Mr Suprize..
Tafadhali rudi kundini.
kwa ulikuwa hupigi papuch? au umepata tatizo lolote ambalo limekufanya uache?nifaid papuch
hamna yan nilikuwa sisimamii vizur show. aibu niliyoipata nikaamua kuacha mkuukwa ulikuwa hupigi papuch? au umepata tatizo lolote ambalo limekufanya uache?
Hivi mtu mpaka unafikia hatu ya kujichua n uogaJina la Bwana Lipewe sifa wakati wote!.
Habarini wana Jf doctors! Poleni na majukumu mazito ya kuhakikisha shibe inapatikana kwa kila MTU!
Nianze kwa kusema namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa afya na nguvu ya kuendelea kulitumikia taifa langu pendwa Tanzania.
Leo nimeamka nikiwa na tabasabu la furaha kwa kufikisha siku 365 na robo tangu niache kujihusisha na mchezo wa kupiga punyeto. Mchezo ambao nimeutumikia kwa kipindi kisichopungua miaka 6.
Nakumbuka niliuanza huu mchezo wakati nikiwa kidato cha tatu kutokana na makundi rika nikaamua nami nijue utamu wa punyeto. Siku moja nikiwa pekeangu mtoni naoga nikaamua nijaribu, kweli nilifanya, aisee nakumbuka nilitumia kama dakika 26 hivi hadi kupizi nilipata shida kweli, nakumbuka siku ya pili naniliu ilivimba na nikahisi maumivu kwa ndani. nikatulia baada ya siku 2 nikafanya tena nikawa naanza kuuzoea mpaka ikawa desturi kila siku lazima nifanye.
Hadi naingia chuo nilikuwa muumini niliyezoea zaidi .
Shidaah ilianza nilipoanza kudate na wanawake yani kula papuchi ngozi laini, daah nilipata aibu sana mashine ilikuwa haiinuki ipasavyo naishia kupiz before sijaingiza kunako. Aibu niliyoipata ndo nikaamua kujaribu kuuacha huu mchezo nikawa nashindwa, nikiweza sana nilikuwa nakaa hadi wiki mbili bila punyeto ila siku nikitingwa nilijikuta nimefanya tena. nilihangaika sana kuacha lakini sikufanikiwa.
Nakumbuka ilikuwa 2016/May/06 baada ya kumaliza mitihani yangu ya chuo nikaamua kwenda bafuni kujipongeza kwa kazi ngumu. hiyo siku ndo ilikuwa siku yangu ya mwisho kupiga punyeto, hadi Leo naandika Uzi huu nimetimiza mwaka mmoja sasa bila punyeto. Namshukuru mwenyezi Mungu na hili jukwaa kwa ujumla mmefanikisha Mimi Leo kuandika hivi. Nasema asante sana!
Nafahamu wapo wengi wanatamani kuacha huu mchezo lakini wanashindwa kutokana na ugumu uliopo katika kuacha punyeto.
Binafsi sikufanya kitu kipya au kigeni sana hadi nimefanikiwa kutimiza mwaka mmoja bila kupiga punyeto, Nilichofanya Mimi ni kufuatilia mawazo ya wataalamu mbalimbali yaliyotolewa humu ndani jinsi ya kuacha punyeto nikauafanyia kazi kwa uaminifu ndo maana Leo naandika hivi.
Binafsi nitakumbushia machache ya kuyafanya kwa wale wanaohitaji kuacha punyeto.
1.Fanya mazoezi.
ufanye mwili wako muda wote ujisikie maumivu kwenye misuli na viungo vingine kwa kufanya mazoezi makali kila siku walao kukimbia uwanja mara 10,kuruka kichura umbali mrefu, pushup na yale mazoezi ya kukata tumbo. mwili ukiwa umechoka kwa kufanya mazoezi itasaidia kupunguza hisia za mapenzi, yaani badala ya kufanya punyeto utatamani zaidi kupumzika kitandani kutokana na mwili kuchoka sana,. walioenda jkt naamn tupo pamoja,
lakini pia kupitia mazoezi utaujenga mwili wako vizuri ikiwa ni pamoja na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea kutokana na punyeto.
2. Acha Kabisa Kuangalia Picha Na Video Chafu Zinazohamasisha Ngono, Pia Kama Unasite Za X Futa Kabisa Japo Wengi Wetu Huwa Tunasave Hizo Tovuti kichwani.
3. Usipende kukaka peke yako, jichanganye kwenye makundi ya watu, ikiwezekana nashauri hata wakati wa kulala/kuoga hakikisha upo na mtu wa kufanana na jinsia yako, ili uone aibu kupiga nyeto.
4.Epuka story za mahaba, huwa zinawashawishi sana punyeto.
5.kama upo kwenye makundi ya whatsapp/fb n.k ya x na ya ujinga mwingine jitoe kabisa.
6.ni vema kumshirikisha mwandani wako (umpendaye naye anakupenda kwa dhati) juu ya tatizo lako, ili naye a-play part yake kama mwanamke, mfano kama yuko mbali asikutumie picha zake za uchi, pia asikubanie sauti pale mnapoongea, maana sauti pia hushawishi punyeto,.
7.kuwa updated person all the time.
chunga muda ukiendekeza sana punyeto unaweza ukajikuta umezeeka na hujawahi kuigusa papuchu. ingia mtaani tafuta mtoto mzuri mwambie "mrembo njoo tujenge malengo baridi itaniua mwenzio, na we upo si utakuwa na dhambi Nikifa" mtoto anakuelewa unakula zako mzigo taratibu unasahau punyeto.
MAENDELEO YANGU YALIKUAJE BAADA YA KUACHA PUNYETO?
Baada ya miezi miwili kuacha punyeto nilikutana na demu yaani ckuweza hata kudindisha , demu anashka dushe limelegea hilo, mara wazungu wanatoka faster before hajaingiza kunako, nililala nae mpaka morning sikufanikiwa kufaid uzur wa yule demu, nilitaman kujiua maana asubuh ilipokaribia demu akanambia live "hujanifurahisha hata chembe" maneno yaliniumiza vibaya, kumbuka hapo ilikuwa miezi miwili sijapiga nyeto..
badae nikamwomba msamaha ,kwa kuwa demu alinipenda kwa dhat akapotezea huku akiniomba sex inayokuja nijitahid kumridhisha. (Mungu ambariki yule mwanamke maana si kwa kunivumilia kule)
baada ya hapo nilianza kufanya yafuatayo
1.niliendelea kuish bila kupiga nyeto wala kukutana na demu.
2.nilianza kunywa maji mengi yasiyopungua lita 4 per day coz maji yanaongeza mzunguko wa damu kuwa mzuri. na dushe ili lisimame vizur linahitaji damu ya kutosha isambae kwenye mishipa yake.
3.niliandaa mbegu za maboga nikatwangwa ziwe unga unga hafu nikawa nachemsha maji nayaweka kwenye kikombe cha chai hafu natia huo unga walao vijiko viwili nakunywa km uji asubuhi, mchana na usiku navyoenda kulala. mbegu za maboga huongeza uwingi wa sperms
4.nikaanza kulamba asali iliyochanganywa na mdalasini vijiko viwili asubuh mchana na jion. asali husaidia kuimarisha misuli ya kiumeni iliyolegea.
5.nilikuwa nachemsha tangawizi na kunywa maji yake asubuhi mchana na jion. tangawizi pia husaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri.
haya mambo nilianza kuyafanya mwez wa nane 2016 ilipofika mwezi wa kumi (miezi mitano baada ya kuacha punyeto) nilikutana na demu nilifurahi kuona demu anakojoa mara tatu ndani ya round moja, ye mwenyewe ananiambia nimekojoa, mimi hata dalili napush mzigo tu mara tena demu anasema "nimekojoa tena" yaani ilifika kipind demu anasema "baby nimechoka naomba ujilazimishe ukojoe please , kumbe cku zote hizi ulikuwa unanibania why?" na kweli mm ilibid tu nijilazimishe nipiz ili demu apumzike coz ni demu niliyempenda sikuhitaj kumkomoa na alikuwa yule yule niliyeaibika kwake kipind kile nina miez miwili sijapiga nyeto..nilistaajabu sana hata sikuamin kama ni mimi.
Juzi nimekutana na mwingine naye kanielewa show ilikuwa vizuri.
Nilichogundua muda unahitajika zaidi Mara baada ya kuacha punyeto ili kupata matokeo tunayoyatarajia. pia kuna vitu inabidi utumie km asali na tangawizi ili kusaidia kurekebisha sehemu za ndani za uume zilizoathirika na punyeto.
Ilinichukua miezi mitano kuanza kumfurahisha mwanamke kitandani baada ya kuacha punyeto.
Saizi Niko safi, nakunywa maji mengi , pia kutumia asali,tangawizi na mdalasini ni sehemu ya maisha yangu kutokana na faida ya hivyo vitu katika mwili wa binadamu. kwa kumalizia huwa sipendagi boxers zinazobana dushe.
Ni hayo tu waheshimiwa, Mungu awabariki sana na mnisamehe kwa kuwachosha na huu uzi mrefu.
Nimeshangaa hujapata hata LIKE moja, Japo Umetoa Ushuhuda na Elimu ya bure (Hata kama umetuingiza chaka)...Jina la Bwana Lipewe sifa wakati wote!.
Habarini wana Jf doctors! Poleni na majukumu mazito ya kuhakikisha shibe inapatikana kwa kila MTU!
Nianze kwa kusema namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa afya na nguvu ya kuendelea kulitumikia taifa langu pendwa Tanzania.
Leo nimeamka nikiwa na tabasabu la furaha kwa kufikisha siku 365 na robo tangu niache kujihusisha na mchezo wa kupiga punyeto. Mchezo ambao nimeutumikia kwa kipindi kisichopungua miaka 6.
Nakumbuka niliuanza huu mchezo wakati nikiwa kidato cha tatu kutokana na makundi rika nikaamua nami nijue utamu wa punyeto. Siku moja nikiwa pekeangu mtoni naoga nikaamua nijaribu, kweli nilifanya, aisee nakumbuka nilitumia kama dakika 26 hivi hadi kupizi nilipata shida kweli, nakumbuka siku ya pili naniliu ilivimba na nikahisi maumivu kwa ndani. nikatulia baada ya siku 2 nikafanya tena nikawa naanza kuuzoea mpaka ikawa desturi kila siku lazima nifanye.
Hadi naingia chuo nilikuwa muumini niliyezoea zaidi .
Shidaah ilianza nilipoanza kudate na wanawake yani kula papuchi ngozi laini, daah nilipata aibu sana mashine ilikuwa haiinuki ipasavyo naishia kupiz before sijaingiza kunako. Aibu niliyoipata ndo nikaamua kujaribu kuuacha huu mchezo nikawa nashindwa, nikiweza sana nilikuwa nakaa hadi wiki mbili bila punyeto ila siku nikitingwa nilijikuta nimefanya tena. nilihangaika sana kuacha lakini sikufanikiwa.
Nakumbuka ilikuwa 2016/May/06 baada ya kumaliza mitihani yangu ya chuo nikaamua kwenda bafuni kujipongeza kwa kazi ngumu. hiyo siku ndo ilikuwa siku yangu ya mwisho kupiga punyeto, hadi Leo naandika Uzi huu nimetimiza mwaka mmoja sasa bila punyeto. Namshukuru mwenyezi Mungu na hili jukwaa kwa ujumla mmefanikisha Mimi Leo kuandika hivi. Nasema asante sana!
Nafahamu wapo wengi wanatamani kuacha huu mchezo lakini wanashindwa kutokana na ugumu uliopo katika kuacha punyeto.
Binafsi sikufanya kitu kipya au kigeni sana hadi nimefanikiwa kutimiza mwaka mmoja bila kupiga punyeto, Nilichofanya Mimi ni kufuatilia mawazo ya wataalamu mbalimbali yaliyotolewa humu ndani jinsi ya kuacha punyeto nikauafanyia kazi kwa uaminifu ndo maana Leo naandika hivi.
Binafsi nitakumbushia machache ya kuyafanya kwa wale wanaohitaji kuacha punyeto.
1.Fanya mazoezi.
ufanye mwili wako muda wote ujisikie maumivu kwenye misuli na viungo vingine kwa kufanya mazoezi makali kila siku walao kukimbia uwanja mara 10,kuruka kichura umbali mrefu, pushup na yale mazoezi ya kukata tumbo. mwili ukiwa umechoka kwa kufanya mazoezi itasaidia kupunguza hisia za mapenzi, yaani badala ya kufanya punyeto utatamani zaidi kupumzika kitandani kutokana na mwili kuchoka sana,. walioenda jkt naamn tupo pamoja,
lakini pia kupitia mazoezi utaujenga mwili wako vizuri ikiwa ni pamoja na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea kutokana na punyeto.
2. Acha Kabisa Kuangalia Picha Na Video Chafu Zinazohamasisha Ngono, Pia Kama Unasite Za X Futa Kabisa Japo Wengi Wetu Huwa Tunasave Hizo Tovuti kichwani.
3. Usipende kukaka peke yako, jichanganye kwenye makundi ya watu, ikiwezekana nashauri hata wakati wa kulala/kuoga hakikisha upo na mtu wa kufanana na jinsia yako, ili uone aibu kupiga nyeto.
4.Epuka story za mahaba, huwa zinawashawishi sana punyeto.
5.kama upo kwenye makundi ya whatsapp/fb n.k ya x na ya ujinga mwingine jitoe kabisa.
6.ni vema kumshirikisha mwandani wako (umpendaye naye anakupenda kwa dhati) juu ya tatizo lako, ili naye a-play part yake kama mwanamke, mfano kama yuko mbali asikutumie picha zake za uchi, pia asikubanie sauti pale mnapoongea, maana sauti pia hushawishi punyeto,.
7.kuwa updated person all the time.
chunga muda ukiendekeza sana punyeto unaweza ukajikuta umezeeka na hujawahi kuigusa papuchu. ingia mtaani tafuta mtoto mzuri mwambie "mrembo njoo tujenge malengo baridi itaniua mwenzio, na we upo si utakuwa na dhambi Nikifa" mtoto anakuelewa unakula zako mzigo taratibu unasahau punyeto.
MAENDELEO YANGU YALIKUAJE BAADA YA KUACHA PUNYETO?
Baada ya miezi miwili kuacha punyeto nilikutana na demu yaani ckuweza hata kudindisha , demu anashka dushe limelegea hilo, mara wazungu wanatoka faster before hajaingiza kunako, nililala nae mpaka morning sikufanikiwa kufaid uzur wa yule demu, nilitaman kujiua maana asubuh ilipokaribia demu akanambia live "hujanifurahisha hata chembe" maneno yaliniumiza vibaya, kumbuka hapo ilikuwa miezi miwili sijapiga nyeto..
badae nikamwomba msamaha ,kwa kuwa demu alinipenda kwa dhat akapotezea huku akiniomba sex inayokuja nijitahid kumridhisha. (Mungu ambariki yule mwanamke maana si kwa kunivumilia kule)
baada ya hapo nilianza kufanya yafuatayo
1.niliendelea kuish bila kupiga nyeto wala kukutana na demu.
2.nilianza kunywa maji mengi yasiyopungua lita 4 per day coz maji yanaongeza mzunguko wa damu kuwa mzuri. na dushe ili lisimame vizur linahitaji damu ya kutosha isambae kwenye mishipa yake.
3.niliandaa mbegu za maboga nikatwangwa ziwe unga unga hafu nikawa nachemsha maji nayaweka kwenye kikombe cha chai hafu natia huo unga walao vijiko viwili nakunywa km uji asubuhi, mchana na usiku navyoenda kulala. mbegu za maboga huongeza uwingi wa sperms
4.nikaanza kulamba asali iliyochanganywa na mdalasini vijiko viwili asubuh mchana na jion. asali husaidia kuimarisha misuli ya kiumeni iliyolegea.
5.nilikuwa nachemsha tangawizi na kunywa maji yake asubuhi mchana na jion. tangawizi pia husaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri.
haya mambo nilianza kuyafanya mwez wa nane 2016 ilipofika mwezi wa kumi (miezi mitano baada ya kuacha punyeto) nilikutana na demu nilifurahi kuona demu anakojoa mara tatu ndani ya round moja, ye mwenyewe ananiambia nimekojoa, mimi hata dalili napush mzigo tu mara tena demu anasema "nimekojoa tena" yaani ilifika kipind demu anasema "baby nimechoka naomba ujilazimishe ukojoe please , kumbe cku zote hizi ulikuwa unanibania why?" na kweli mm ilibid tu nijilazimishe nipiz ili demu apumzike coz ni demu niliyempenda sikuhitaj kumkomoa na alikuwa yule yule niliyeaibika kwake kipind kile nina miez miwili sijapiga nyeto..nilistaajabu sana hata sikuamin kama ni mimi.
Juzi nimekutana na mwingine naye kanielewa show ilikuwa vizuri.
Nilichogundua muda unahitajika zaidi Mara baada ya kuacha punyeto ili kupata matokeo tunayoyatarajia. pia kuna vitu inabidi utumie km asali na tangawizi ili kusaidia kurekebisha sehemu za ndani za uume zilizoathirika na punyeto.
Ilinichukua miezi mitano kuanza kumfurahisha mwanamke kitandani baada ya kuacha punyeto.
Saizi Niko safi, nakunywa maji mengi , pia kutumia asali,tangawizi na mdalasini ni sehemu ya maisha yangu kutokana na faida ya hivyo vitu katika mwili wa binadamu. kwa kumalizia huwa sipendagi boxers zinazobana dushe.
Ni hayo tu waheshimiwa, Mungu awabariki sana na mnisamehe kwa kuwachosha na huu uzi mrefu.
Kwa haraka haraka...Hivi mtu mpaka unafikia hatu ya kujichua n uoga
Domo zege 😀 😀 😀