Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hapo ndo uliposahau..! Hakuna any scientific facts zinazoonyesha ubaya wa puchu..! Jus ni religion garbage tu ndo zilizobakia..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ndugu ukiachana na religion facts
Zipo za physical deffect kama penis kurudi ndani na kuwa ndogo kama kidole . Pyschologial _kuwa muoga wa mambo meng hata kujitambilisha kwenye mihadhara unashindwa .ku fail kuchangia reasonable details about matter concerned ila zipo nying mkuu
 
Wewe kapime mambo mengine.. Usisingizie puchu! Angalia labda utakuwa unaumwa tezi dume..! [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mhh tezi dume afu age 20s mhh hapana bana ..kutokana na uelewa wangu kuhusu tezi dume ..gland inayo zalisha kilainishi ndani repro..system bado kiko active..
 
Dada acha mawazo potofu ...punyeto kwa wanaume ina madhara sana yaani mimi hapa ni mmoja wapo baada ya kutoswa na girls wengi nkashangaa naangukia huko sasa madhara yananipata sasa bora ningekuwa natafuta tuu wadada wanaojiuza maana walikuwapo toka enzi za yesu masiah
Kila la kheri
 
Punyeto haina madhara.. Hayo ni maneno ya baadhi ya watu ili kunifitinisha na kamchezo kangu..

Punyeto, pulling, puchu, selfie, kujikamua, kujinyonga for life..!!!
kuliko kuchepuka mr. akiwa mbali hapana bora kujipa raha tu sbb kuchepuka roho inanisuta sana..

kipi bora punyeto au kuchepuka???
 
Umerudisha kadi?

Na ni kwanini mnajaribu kujiengua bila kufuata protokali za Chama?

Kabla hatujaitisha kikao kikuu cha wajumbe ninakuomba uonane na uongozi ngazi ya kata, wilaya kisha Mkoa kwanza hasa na katibu mwenezi wa Mkoa.

Itifaki izingatiwe.

Wako, katibu wa CHAPUTA, Taifa.
hahaaaa dunia simama nishuke.
itifaki izingatiwe
 
Punyeto haina madhara.. Hayo ni maneno ya baadhi ya watu ili kunifitinisha na kamchezo kangu..

Punyeto, pulling, puchu, selfie, kujikamua, kujinyonga for life..!!!
Nakuona mzee wa kujichua,,
 
Kumbe! Puchu....Mim kutwa napiga Mara tatu,,,ila natumiaga mate , hayanA kemikali ila kamgongo kanauma kweli..hata kulala shida,,,jaman Niko mbioni kuacha,,,,,ila mnitaftie demu kutongoza thijui

Nawasilisha my confession
Utakuwa unajipinda sana. Kama nakuona vile [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom