Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Usahuri wako namba moja nimeukubali. Huo namba mbili wa kukutafuta means unayo dawa au? Maana dushe haitibu hii kitu....nitapata dushe lakini nitakumbuka tu kufanya.
Nikikupa dushe na kukukip bize ni dawa tosha kabisa
 
Upo vizuri mkuu,,

Yeah. Tule vizuri na mazoezi tufanye. Kuna watu humu hawajala matunda ata wiki inafika sasa. Tikiti maji, nanasi, matango, chungwa, embe, stafeli, papai. Maji ya kunywa. Mtu anakalia chips soda. Chips soda ni moja ya mlo unaotakiwa kuusapoti mlo mkuu. Nyama kilo moja kumaliza kazi. Lazima upate tabu kisaikolojia, kisiasa, kiuchumi, kijamii, na hata kidini. Huwezi kusali vema kama hujaridhika. Nakushauri mtoa mada endelea na puchu tafta na demu badili mwenendo wa maisha yako.
 
Back
Top Bottom