Punyeto ni nini na nini madhara yake?
jitegemee mkuu acha kusubiri chakula cha kengere uone maisha yatakavyokuchapa lazima uwasahau wazee wa chaputa
 
nakubali lakini nimemwambia hivyo kwasababu kichwa yake inaonekana kama inafanya kazi kidogo ndio maana amekuwa hivyo
Labda.ila nyeto ni ugonjwa wa dunia nzima.ukienda jela,jeshini,vitani,wale walioumizwa na mapenzi,madomo zege.mabachela sugu n.k.
Wengi wao nyeto ndio mkombozi wao.
 
Huu mchezo niliuanza wakati nipo primary wakati ule tunakwenda kuchek movie za kihindi kwenye mabanda ya video,basi navizia usiku mida ya SAA 4,natoroka home nakwenda kucheki movie za x,nimepiga nyeto mpaka namaliza form6,,,baadaye niliona ni ubwege kupiga nyeto,nikatafuta girlfriend,ikawa kama nimejichongea kwani ndio napiga nyeto ya kufa mtu,asubuh,mchana usiku,,,sina raha na hii kitu.punyeto a.k.a nyeto


Ndiyo madhara ya kusikiliza sana bongo fleva haya, kijana unakuwa hujitambui. Anyways ukishakuwa utaacha, kwa sasa endelea tu.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu nakiri kwa kinywa changu kuwa nimeaga rasmi kwenye chama hiki chaputa.

Imechukua muda sana hadi kuja kuacha mchezo huu mara baada ya kupata mtoto mzuri niliyeanza nae mambo ya kikubwa.Aisee asikwambie mtu kusex raha jamani loooh.


By popoma aliyetukuka
 
Back
Top Bottom