Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Bora unge endelea tuu nyeto kama ujakapima hako katoto kazuri maana unaweza kuwa umeruka mkojo then ukakanyaga mavi
 
Naombe ushauri
Mwenzen naomben mnisaidie jinsi ya kustop selfie ( masterbation) yaan nisipopiga 1au 2 siwez kulala wala kupata usingizi...sasa hv ni SAA 7 nilisema leo hapana bt usingizi umegoma mpaka nimepiga selfie 1 ndio nahisi usingizi...kwel sipendi na nikimaliza hua nachukia sana bt nakuta narudia tena jmn nifanyeje?? Ninamuda mrefu siko ktk relation lkn wala sijutii maana ham najimalizia mwenyewe
Ndugu zangun naomben njia serious jins ya kustop
 
Kuacha kwa ghafla itakushinda. Anza kuacha taratibu. Kama ulikuwa unafanya kila siku, basi jaribu kuruka siku. Then after some time unapunguza tena, unakuwa unafanya kila baada ya siku mbili. Then after some time tena unapunguza unakuwa unafanya labda only twice per week. Unaendelea hivyo hivyo kupunguza mwishowe unashangaa umeacha.

Pia jaribu kutokukaa idle. Unaweza ukawa unaangalia movies au series ifikapo usiku, hadi upitiwe na usingizi n.k. Yani, basically uwe na kitu cha kufanya au kukukeep busy. Soon enough utashangaa hiyo tabia umeacha au hizo thought za ku-masturbate kila saa haziji anymore.
 
Naombe ushauri
Mwenzen naomben mnisaidie jinsi ya kustop selfie ( masterbation) yaan nisipopiga 1au 2 siwez kulala wala kupata usingizi...sasa hv ni SAA 7 nilisema leo hapana bt usingizi umegoma mpaka nimepiga selfie 1 ndio nahisi usingizi...kwel sipendi na nikimaliza hua nachukia sana bt nakuta narudia tena jmn nifanyeje?? Ninamuda mrefu siko ktk relation lkn wala sijutii maana ham najimalizia mwenyewe
Ndugu zangun naomben njia serious jins ya kustop
Wewe ni mwathirika kama mimi, ngoja waje tupate faida wote, mi leo ndio nimeacha rasmi baada ya kujilipua kama vi5 asubuhi
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Naombe ushauri
Mwenzen naomben mnisaidie jinsi ya kustop selfie ( masterbation) yaan nisipopiga 1au 2 siwez kulala wala kupata usingizi...sasa hv ni SAA 7 nilisema leo hapana bt usingizi umegoma mpaka nimepiga selfie 1 ndio nahisi usingizi...kwel sipendi na nikimaliza hua nachukia sana bt nakuta narudia tena jmn nifanyeje?? Ninamuda mrefu siko ktk relation lkn wala sijutii maana ham najimalizia mwenyewe
Ndugu zangun naomben njia serious jins ya kustop
Usiache tafadhali kwa hisani ya wanaume wa mikoani.
Wakisoma huu Uzi wako nao huko wanajitungua miselfie ya Nokia tochi.
 
Naombe ushauri
Mwenzen naomben mnisaidie jinsi ya kustop selfie ( masterbation) yaan nisipopiga 1au 2 siwez kulala wala kupata usingizi...sasa hv ni SAA 7 nilisema leo hapana bt usingizi umegoma mpaka nimepiga selfie 1 ndio nahisi usingizi...kwel sipendi na nikimaliza hua nachukia sana bt nakuta narudia tena jmn nifanyeje?? Ninamuda mrefu siko ktk relation lkn wala sijutii maana ham najimalizia mwenyewe
Ndugu zangun naomben njia serious jins ya kustop
lady in action!!! wewe ni jinsia ya kike!
 
Back
Top Bottom