Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Piga punyeto yako mwanangu ackwambie m2.ila mtimizie demu wako haja zake zote.punyeto ickulemaze ukasahau wajibu wako,la sivyo watakukombea mpezi wako.pia ucsahau ufanyavyo dhambi.
 
Hawajakwambia kuwa punyeto inasababisha upofu?

How masturbation damages the body



 
Last edited by a moderator:
Huo n upuuz tena ujinga ktk karne hii. Acha maramoja.
Wanawake wanahak ya kukustaka unawanyima hak yako ya msing unampa sabun au mafuta. Shame upon ure face.
 
Kitu chochote kisicho cha asili chaweza kuleta madhara hasa kisaikolojia, ni vema kuacha!!!!!!!!!
 
Umenikumbusha jamaa flani nilisoma nae sekondari ilikuwa kila akiiona sabuni anaionea aibu<br />
<br />
<br />
Unatumia sabuni gani ndugu,ngwanji au komoa?
[/QUOTE]<br />
<br />
Ha ha ha ha ha ha.... Raha jipe mwenyewe. Co mchezo
 
Hahahahaaaa nyie Punyeto ina raha yake..punyeto tamuu wandugu..unajua uzuri wa punyeto we ni kujikadiria,ukisema leo nataka kuvunja bikra basi unakaza mkono na lotion yako(sabuni inachubua sana),ukisema leo nipate kitu cha mnato bas unatanua mkono kidogo....ukitaka korongo basi unatanua kiganja na lotion kwa wingi...mi punyeto imeniweka sana mjini..una lotion yako na maji ya vuguvugu..walah hukumbuki vicheche.
<br />
<br />
We chizi wewe??
 
utamu ukizidi sana sema bandu banduuu!!! synovial fluid ndo unaipoteza hivyo na mwili utakapoamua kuonesha kuchoka lazima ulie na magoti. chunguza pia ukimaliza nyeto macho kama yanakuwa yamepoteza nuru vile. itafikia siku yatabaki hivyo blind. take care man!
 
Ni mwaka wa 4 sasa najitahidi niache ila nashndwa ata nikipata mwanamke naona hana ladha nisaidieni wakuu!
 
Iron Finger... it seems you have an iron....
 
badili mtizamo na imani yako juu ya hilo jambo huenda itakusaidia. usitazame pornographic contents kwani ni kichocheo kikubwa
 
karibu zamvini inaonyesha wewe ndiyo uemiangaia...inbox nitakupa sheria na taratibu za kufuata..
 
badili mtizamo na imani yako juu ya hilo jambo huenda itakusaidia. usitazame pornographic contents kwani ni kichocheo kikubwa

Naungana nawe mkuu. Pia ni vema huyu jamaa akawa anafanya mazoezi ya kutosha. Vilevile pale wazo la kutaka kufanya kitendo hicho linapomjia ni vema akatafuta kitu cha kufanya kama mbadala. mf. kusoma vitabu n.k.
 
Jitahidi kutokaa idle na peke yako,fanya mazoezi utapunguza hizo mambo
 
karibu zamvini inaonyesha wewe ndiyo uemiangaia...inbox nitakupa sheria na taratibu za kufuata..
mwaga hapa jamvini ndugu,humu hakuna kujificha!wengi wanashida hiyo ila huyo amekuwa wa kwanza kusema hivyo utawasaidia wengine
 
mwaga hapa jamvini ndugu,humu hakuna kujificha!wengi wanashida hiyo ila huyo amekuwa wa kwanza kusema hivyo utawasaidia wengine
Narekebisha tu mkuu najua umekosea, Hapo kwenye RED sema TUNA na sio WANA na hapo chini ni UTATU badala ya UTAWA. Hilo tu!
 
Back
Top Bottom